Feisal umemalizana na uongozi bado ujamalizana na mashabiki na wanachama wa yanga wenye hasira kali juu yako

Feisal umemalizana na uongozi bado ujamalizana na mashabiki na wanachama wa yanga wenye hasira kali juu yako

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Mara zote mchezaji anapoondoka yanga kihuni na kwa ngebe na kebehi nyingi uwa mwisho wake ni mbaya sana, Tunarejea habari za wakina Frank Domayo, Gadiel Michael, Ibrahim Ajibu, na wengine kilichowakuta wanakijua mpaka sasa wamepotea kwenye ramani ya soka.

Kwa maana iyo waombe msamaha wanachama na mashabiki wa yanga kwa maneno ya ovyo uliyokuwa unayatoa vinginevyo kamati ya ufundi aitokuacha salama!
 
Cha muhimu kwanza pesa pesa pesa. Ndio lilikua hitaji lake.
 
22M × 12Months = 264M
264M × 3yrs =
Sasa wewe endelea na ufundi wako na kumnanga huku kwa keyboard ila tayari amekunja mpunga wa kutosha ambao wewe na familia yako yote hamtakaa muushike mpaka kifo.
 
Mimi asponirudishia pesa yangu atakuja kusimulia maishani mwake nmemwambia Kwa meseji ila haski kunijib mwizi huyu hafai, anajifanya mtu wa swala kumbe shwetani tu
 
Acheni kijana atafute maisha.
Ninyi wenye roho kama hizi mnatofauti gani na wachawi?

Hakuna uhusiano wa kuondoka na kuwa na mwisho mbaya.
 
Tumesha kubaliana hapa.


Nyuzi nyingi zinazoanzishwa na Yanga Zimekaa kitoto toto sana.

1. Mchezaji amesema HATAKI kucheza yanga UNALAZIMIAHA Ili iweje????

2.Ameona Maisha ya mpira ni mafupi sana, ameamua kuvunja MKATABA Bado hamtaki.

Mwacheni kijana WA WATU akatafute Riziki.
Hawezi kucheza Maisha yote HAPO tu.

MNATAKA AFE MASIKINI AU AANZE KUCHOMA MISHKAKI BUGURUNI KAMA.........

FICHENI UJINGA.
 
Huna uwezo wa kumfanya chochote fei toto [emoji23][emoji23][emoji23]

Dua la kuku halimpati mwewe ...
 
22M × 12Months = 264M
264M × 3yrs =
Sasa wewe endelea na ufundi wako na kumnanga huku kwa keyboard ila tayari amekunja mpunga wa kutosha ambao wewe na familia yako yote hamtakaa muushike mpaka kifo.
Anachukua 14M per month.
 
FB_IMG_1682646137959.jpg
 
Amesajoliwa na Waswahili, timu inaendeshwa kienyeji, mchezaji amesajiliwa bika kufafanyiwa vipimo vya mwili na afya
 
Back
Top Bottom