Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

Feisala Salum Shtuka Mapema Mdogo wangu!

Yanga SC hawana shida ya kuvunja mkaataba naye.

Swali ni Je! Gharama za kuvunja mkataba ataziweza?

Hapo sasa ndipo hofu ilipo.

Ninavyojua contract termination fee = Transfer fee ya mchezaji.
Sio kweli kua termination fee inalingana na transfer fee,
 
Utaangaliwa pia sio kujipangia tu.

Uzuri kwenye mkataba kuna vipengele hivyo, issue si ilikuwa Fei amejiamulia. Sasa maombi yameletwa rasmi.

Tunawasubiria mpuyangr na Tff, wameshawekewa mtego.

Yanga waweke 1bln kuvunja mkataba, ndo akili za uto hizo.
Yanga hawana uwezo huo wa kujipangia hela ya kuvunja mkataba kwa sasa,kwa sababu hela ya kuvunja mkataba inapangwa mwanzoni kabisa mkataba ukiwa unasainiwa na sio mwishoni.
 
Huyo kurudi ngumu sababu tayari ametengeneza uhasama na viongozi Cha msingi hapa namna ya kuvunja mkataba shida hataki kwenda sehemu husika Ili wazungumze auvunje wanataka kuvunja kwa social media sijui
Hakuna anaye taka Feisal arudi.

Hakuna anaye taka Feisal arudi.

Sisi sote tunataka aondoke hukooo alikoahidiwa mshahara mkubwa.

Ila HAWEZI KUONDOKA BURE wakati bado ana mkataba.


Aidha asubiri mkataba wake uishe au timu inayo muhitaji imsaidie kulipa ada ya uhamisho.
 
Sio kweli kua termination fee inalingana na transfer fee,
Unapo peleka offer ya kumnunua mchezaji fulani kimsingi ile offer inalenga kuvunja mkataba alio nao hivi sasa na klabu yake ili awe huru kujiunga na klabu anayo tarajia kuitumikia.

Thus Transfer fee = Contract termination fee.
 
Lete kesi moja yanga waliyoshinda yoyote nakusubiria unadhani aliyesema wenye akili ni wawili alikosea aliongea vile kwa kujua kabisa utopolo walivyo.
Kesi ya athuman iddi chuji, kelvin yondani, mbuyu twite, na ramadhan kessy hizi kesi zote ni za kimkataba na Yanga walishinda, nadhani hiki kipindi ulikua bado hujaanza kushabikia mpira
 
Yanga hawana uwezo huo wa kujipangia hela ya kuvunja mkataba kwa sasa,kwa sababu hela ya kuvunja mkataba inapangwa mwanzoni kabisa mkataba ukiwa unasainiwa na sio mwishoni.
Kwa hiyo nani anapanga hela hiyo?

TFF?

au

Mchezaji?

Kumbuka mchezaji alikwisha jipangia pesa ya kuvunja(kununua) mkataba wake hapo awali, na TFF iyo iyo ikaamua kuwa hilo jambo halikuwa sahihi.
 
Hakuna anaye taka Feisal arudi.

Hakuna anaye taka Feisal arudi.

Sisi sote tunataka aondoke hukooo alikoahidiwa mshahara mkubwa.

Ila HAWEZI KUONDOKA BURE wakati bado ana mkataba.


Aidha asubiri mkataba wake uishe au timu inayo muhitaji imsaidie kulipa ada ya uhamisho.
Sio bure kuondoka kihuni kwanza ni dharau kwa club kuruhusu kitu kama hicho
 
Kesi ya athuman iddi chuji, mbuyu twite, na ramadhan kessy hizi kesi zote za kimkataba na Yanga walishinda, nadhani hiki kipindi ulikua bado hujaanza kushabikia mpira

Asije akawa ni dogo wa 92.... 😁 😁
 
Kwa hiyo nani anapanga hela hiyo?

TFF?

au

Mchezaji?

Kumbuka mchezaji alikwisha jipangia pesa ya kuvunja(kununua) mkataba wake hapo awali, na TFF iyo iyo ikaamua kuwa hilo jambo halikuwa sahihi.
Anayeamua ela ya kuvunja mkataba ni timu inayommiliki mchezaji na sio TFF
 
Unapo peleka offer ya kumnunua mchezaji fulani kimsingi ile offer inalenga kuvunja mkataba alio nao hivi sasa na klabu yake ili awe huru kujiunga na klabu anayo tarajia kuitumikia.

Thus Transfer fee = Contract termination fee.
Hapana sio kweli,fanya research yako vizuri,usiende kwenye hitimisho kwa maoni/mawazo yako wewe,
Nakupa mifano Messi ili kuvunja mkataba wake psg bila sababu yoyote(without just cause) termination fee yake ni euro 700M,
Vile vile lewandoski nae ili kuvunja mkataba wake na barcelona ni euro 500M, tukija sokoni transfer fee zao hazifiki wala hazikaribiii hiyo hela hata kidogo.
 
Humjui jasmine ww kakojoe ukalale kaangalie kwanza alivyoshinda kesi ya msuva alitumia kipengele cha lugha tu na msuva akawa huru na akalipwa mabilion ya hela.
kesi ya msuva inafanana vipi na ya fei? msuvaalikuwa halipwi mshahara wakati fei analipwa na yeye ndio kakimbia na mshahara wa watu. Igeuze msuva ndio yanga, fei ndio waydAd
 
Kwa hiyo nani anapanga hela hiyo?

TFF?

au

Mchezaji?

Kumbuka mchezaji alikwisha jipangia pesa ya kuvunja(kununua) mkataba wake hapo awali, na TFF iyo iyo ikaamua kuwa hilo jambo halikuwa sahihi.
Aisee hili nalo jipya
 
Feisal kwangu mimi ni shujaa sana. Kajitoa hasa kutetea maslahi ya wachezaji wazawa. Yanga na Simba wezi sana. Muacheni huyu mtoto aende huko. Maisha sio kucheza mpira tu.
 
Haya ndiyo ha WCB na Harmonize! Unachukuliwa huko huna mbele wa nyuma, unakaa sehemu unapikwa kwa miaka 4, mwaka wa 5 unaanza kuwaka ila kufika mwaka 6 wa utumishi wako unapata chawa anakuambia pale hapakifai njoo huku! Huwazi hiyo miaka 4 ukiyopikwa, unavaa, unakula, unalipwa posho na vitu kibao kwamba vinahitajika kufidiwa! We unaamka tu mi nataka kutoka! Aisee! Embu rudisha ghalama zetu hakuna shortcut pale zaidi yanga lazima wakae then Yanga waseme kwakuwa anavunja mkataba kwa mapenz yake basi atulipe Million 500!.
Umeongea vema Mkuu
Mazwazwa wanakazania 100M aliyolipa kua ndio gharama pekee anayostahili kuirudisha yanga kwa kua ndio ilikua signing fee
Ila zile gharama za training facility, platform ya kuonyesha kipaji chake na mwalimu aliyemtengeneza mpaka kua mashuhuri wanajisahaulisha
Kuna mwamba aliwakumbusha kua kama Kuvunja mkataba ni rahisi kama kuvunja nazi, wamuambie mpiga kampeni wao Manzoki avunje huko alipo ili aje simba Sio kukomalia ya Feisal
 
Back
Top Bottom