Feitoto akwama tena TFF, arudishwa Yanga

Feitoto akwama tena TFF, arudishwa Yanga

Kichuchunge

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
384
Reaction score
970
Hili sakata la Feitoto nadhani sasa lifike mwisho maana linazunguka hapo hapo kila siku na Fei anajifanya kichwa ngumu.

FEI.jpg

 
Kwa hapa ilipo fikia kijana anatakiwa atumie busara ya kawaida tu, akubali kurudi Yanga.
Baada ya hapo, akaongeze bidii na ajinoe vya kutosha ili akafanye maajabu. Maana muda uliobaki ni mchache na pengine hii inaenda kumpa nafasi ya kutazamwa kwa umakini hata kwa tum za nje.
Kijana anatakiwa sasa akalitangaze jina lake kwa kufanya maajabu, na atakua amejipaisha zaidi kisoko, kisoka na uthamani.
 
Wengine Tangu siku ya Kwanza tuliweka ushabiki pembeni na kumshauri afuate sheria. Lakini Mabushlawyer wa Jf na Wachambuzi mchongo wakamkomaza kichwa eti ataahinda. Matokeo yake amebaki kuzurura tu na mwisho amerudishwa huko huko.
 
kiburi si maungwana
yanga wamempa option tatu: 1. kurejea kuitumikia yanga huku mkataba wake ukiboreshwa, 2. kukaa mezani na yanga na kuvunja mkataba, 3. timu inayomtaka kuifuata yanga officially. yote haya hayataki!!! kiburi si maungwana
 
Kwa hapa ilipo fikia kijana anatakiwa atumie busara ya kawaida tu, akubali kurudi Yanga.
Baada ya hapo, akaongeze bidii na ajinoe vya kutosha ili akafanye maajabu. Maana muda uliobaki ni mchache na pengine hii inaenda kumpa nafasi ya kutazamwa kwa umakini hata kwa tum za nje.
Kijana anatakiwa sasa akalitangaze jina lake kwa kufanya maajabu, na atakua amejipaisha zaidi kisoko, kisoka na uthamani.
Dogo wamuangalie kwa karibu huyo. Atakunywa sumu ili ajiue
 
Sheria za mpira wakati fulani ni za kikatili sana... inamaana ukishaingia mkataba na timu hakuna namna tena ya kuvunja mkataba hata kama hutendewi mema au hujapenda mazingira ya timu..... au kwa sababu ya TFF imejaa uoga inapokabiliana na yunga..
 
Back
Top Bottom