Atapewa jukumu la kubeba jezi na mipira kupelea uwanjani na mazoezini,huku akisugua bench kusubiria mkataba uishe.Hatutaki mahaba yake sisi tunataka arudi yanga asugue benchi mkataba ukiisha aondoke,dawa ya mtu jeuri ni kumfanyia makusudi
Mpunga gani unaousemea? Kwan Azam au timu nyingine inayomtaka wamepeleka ofa kwa Yanga?huwa nashindwaga kuelewa kama mchezaji hakutaki unamng'ang'ania wa nn maana hata ukibaki nae hawezi cheza kama alivyokua mwanzo utakuwa unamlipa mshahara wa bure si bora uchukue uo mpunga umwache asepe
Kwa ajili yako undhani yanga inamtaka mchezaji?huwa nashindwaga kuelewa kama mchezaji hakutaki unamng'ang'ania wa nn maana hata ukibaki nae hawezi cheza kama alivyokua mwanzo utakuwa unamlipa mshahara wa bure si bora uchukue uo mpunga umwache asepe
Hapo atakaa tu mpaka mwakani mkataba unaisha anaondoka huku mnamlipa.Wachukue mpunga upi labda? Kwani wanaomtaka washatuma ofa yao? Au unasemea mpunga upi? Tunachojua hao wahuni waliomuingiza chaka washaogopa ata kunusa pua zao pale jangwani kwakuwa washachafua hali ya hewa wanajua ata wakienda awatouziwa uyo feisal labda klabu toka nje ya nchi ndio imnunue na sio wahuni wahuni waliomvuruga kijana
We unafikiri mchezaji analipwa tu hela hata asipotokea mazoezini?Hapo atakaa tu mpaka mwakani mkataba unaisha anaondoka huku mnamlipa.
Ninachoshangaa kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa timu yao ikiachwa ni kama laana. [emoji28]
Hakuna cha sheria wala niniKwaiyo kamati ingeangalia mahaba ya mchezaji na sio sheria na mkataba wake🤣🤣🤣
Ataondoka tuHapo atakaa tu mpaka mwakani mkataba unaisha anaondoka huku mnamlipa.
Ninachoshangaa kwa mashabiki wa Yanga ni kuwa timu yao ikiachwa ni kama laana. [emoji28]
Kambebeni kwa nguvu mmepeleke Avic Town [emoji3][emoji3]Aendelee sasa kukaza fuvu, halafu tuone mwisho wake.
Una uhakika hatokata rufaa? Kwanini usisubiri Jumatatu hukumu ikishatoka ndiyo uhoji haya.Kama ni wakili wake na anaona feitoto hajatendewa haki akate rufaa vinginevyo watakuwa hajamshauri vizuri mteja wao
Jamaa maboya sanaKambebeni kwa nguvu mmepeleke Avic Town [emoji3][emoji3]
ukiachwa achikaSawa muache akae bila kucheza hadi mkataba wake utakapoisha May 2024
Lakini si kuna Sheria za FIFA zinazolinda kipaji cha mchezaji kisipotee,unadhani ni rahisi kumrudisha kwa nguvu ili umuweke bench?Hatutaki mahaba yake sisi tunataka arudi yanga asugue benchi mkataba ukiisha aondoke,dawa ya mtu jeuri ni kumfanyia makusudi
nisawa una saini simba sc leo,kesho unaamka una mahaba kwenda geita gold,upuuzi.Wakili Nduruma Majembe amebainisha msimamo wa mchezaji Faisal Salum juu ya sakata lake na waajiri wake, Yanga SC na kueleza kuwa nyota huyo hana tena mahaba ya kurudi na kuendelea kuitumikia klabu hiyo.
Feitoto alihojiwa na wajumbe wa kamati aliweka dhahiri kwamba hakuna uwezekano na hawezi tena kurudi kuichezea ile klabu.
“Mchezaji ameshasema hana mahaba na timu na hawezi kuitumikia" Nduruma Majembe wakili wa feitoto akizungumza kupitia #tbctaifa
Majembe ameongeza kuwa Uamuzi wa Kamati kutoa hukumu kuwa Feitoto arejee kuendelea kuitumikia klabu hiyo ni kitu kigumu kwa Feitoto na kubainisha kwamba labda kama atapatiwa msaada wa kisaikolojia wa kumuwezesha kutamani kurudi.
#KitengeSports
Mambo si rahisi kiasi hicho na Feisal atacheza na haitakuwa Yanga.Hilo hata Viongozi wa Yanga wanalijua fika.Atapewa jukumu la kubeba jezi na mipira kupelea uwanjani na mazoezini,huku akisugua bench kusubiria mkataba uishe.
Shwain zake
Uwezekano mkubwa itakatwa rufaa ila tusubiriUna uhakika hatokata rufaa? Kwanini usisubiri Jumatatu hukumu ikishatoka ndiyo uhoji haya.
Ikiuma semanisawa una saini simba sc leo,kesho unaamka una mahaba kwenda geita gold,upuuzi.
🤣🤣🤣 Hukumu inatoka mara ngapi mzee, hukumu ishatoka kinachofanyika jumatatu ni ufafanuzi wa kisheria kilichopelekea kuhalalishwa kwa mkataba wake na waajiri wake na si vinginevyo, mtaambiwa ni vifungu vipi vya mkataba vinavyombana asifanye icho alichokifanya, kwaiyo kama anaenda CAS na ajiandae kwenda akishapata nakala yake ya hukumuUna uhakika hatokata rufaa? Kwanini usisubiri Jumatatu hukumu ikishatoka ndiyo uhoji haya.
So hamna sheria FIFA zinazo ilinda club mchezaji hasipo fuata taratibu?Lakini si kuna Sheria za FIFA zinazolinda kipaji cha mchezaji kisipotee,unadhani ni rahisi kumrudisha kwa nguvu ili umuweke bench?
Ni tofauti na unavyofikiria wewe na akili zako, Tofautisha mambo ya kisheria na mambo ya kihuni ni vitu viwili tofauti, unachokisema apo ndio kimemkost na akiendelea kushupaza shingo itakula kwake mazimaHakuna cha sheria wala nini
Hakuna duniani anayezuiwa kuacha kazi
Kazi siyo kifungo
Hata ndoa zinavunjwa
Tuache ubwege