Feitoto hana tena mahaba ya kuendelea kucheza Yanga


Ngoja aende cas,muone mtaambulia nini?
 
Na sisi Yanga sc tunasema hatuna kabisa mahaba naye, nadhani ujumbe wa salamu zetu anao.
 
Hata mimi nimesikia huyo Wakili, nadhani huyo ni "Bush Lawyer"
 
Matutusa hawawezi kukujibu. Haya matutusa SC Feisal Ana mahaba nanyi case closed
 
SIMBA TUMEAMKA DUBAI
YANGA WAMEAMKIA MANZESE UWANJA WA FISI
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Mmebebeshwa Ngada a.k.a Sembe, tusubiri mkirudi tuone Kama hamjagongwa. Kanjibahi anawachezea tu
 
Utopolo ndo wanamngangania Fei
 
Yanga ndo mahuni yaliwalagai kina yondani
 
Hana mahaba ila ana mkataba. Tuache hoja zisizo mashiko, mikia wamegeuka wasemaji wa Feisal. Mchezaji hachezi kwa mahaba bali mkataba, tusiwe taifa la mambumbumbu. Tanzania inahitaji elimu, elimu, elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…