Feitoto kama unataka kurejea Yanga SC rejea tu

Feitoto kama unataka kurejea Yanga SC rejea tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani Wewe badala ya Kufanya Kazi (Kucheza Mpira wa Nguvu) ili uisaidie Azam FC yako Wewe kila mara uko busy Kuchekeana (Kukenua Mimeno yako mibovu) na Wachezaji wa Yanga SC akina Aucho, Mudathir, Job na Mwamnyeto.

Ndiyo maana hata sijashangaa baada ya Mechi Kumalizika na Kufungwa kwa Uzembe wa Kipa Wenu na CEO Wenu Popat Kuuza ramani ya Vita kwa Yanga SC anayoipenda Wachezaji Wenzako wote wakiongozwa na Amoah walikuwa Wameumia (hata ukiwaangalia tu Machoni) unawaona Wewe ulikuwa busy kwenda lilipo Benchi la Ufundi la Yanga SC na Kuanza Kufurahi nao hadi Kupiga Picha nao.

Kumbe ndiyo maana Kiongozi Mmoja wa Yanga SC ( Mtoto wa Mjini ) ulipokuwa Yanga SC huko alikufanyia Mambo ya Kimjini Mjini hadi ukatokea Kumchukia na Mimi GENTAMYCINE namuunga mkono kwa Usela aliokufanyia ambao unapelekea kila Ukiulizwa kakufanya nini Unaogopa Kujibu na unabaki Kulia tu.

Hovyo kabisa Wewe Kijana. Umenikera leo kuliko hata ambavyo Walio nchini Misri Kukamilisha Ratiba ya AFL kwa Mwarabu watakavyonikera.
 
Kile mlichokifanya Jana Klabuni Kwenu ndiyo Dawa yao na mmeshawaweza na Kuwamaliza hivyo GENTAMYCINE najua leo ni ama mnawafunga au wakibahatika mnatoka nao Sare, ila Wao hawashindi kabisa na Kufungwa nanyi leo ni 75% baada ya Kujiridhisha kwa mlichokifanya cha Nje ya Uwanja huku mkilishana Yamini kwa Watakaowasaliti ( hasa hasa Watu wenu Watatu ) ambao GENTAMYCINE nilishawahi Kuwataja hapa JamiiForums katika Uzi wangu wa Wiki Nne ( 4 )

HAYA HIYOO YAMINI NDO TUNATAKA UFAFANUZI WAKE.
 
Baada ya kujifanya kwako unajua kukutokea puani kwa uzi uliokuja kuumbuka, umeona utafute mlango wa kutokea kwa Feisal. Mpira sio uchawi, mpira sio uadui huyo Feisal unayemtafutia sababu kwa chuki na hasira zako za ushindi wa Yanga na kuumbuliwa kwako kwa nyuzi yako ya kujifanya mtabiri kipipa, Feisal leo kajitoa sana na alionesha dhahiri shahiri kuwa anataka kunyamazisha wanaombeza na wanaomzomea ila mambo hayakuwa upande wake.
 
utabiri wako umenichekesha sana leo.

75% yanga atafungwa haya kashafungwa feisal wanini tena mtoto wa watu unamsagia kunguni.
TMA tokea Mwezi April, 2023 Wslitabiri kuwepo kwa Mvua Kubwa ya El Nino kuanzia tarehe 1 Oktoba hadi tarehe 13 Oktoba, 2023 je, mpaka leo tarehe 23 Oktoba, 2023 imeshanyesha? Mbona hamuwashushui TMA na hamuwaabii kuwa ni Waongo na Watabiri Feki? Hamna Akili...!!
 
Baada ya kujifanya kwako unajua kukutokea puani kwa uzi uliokuja kuumbuka, umeona utafute mlango wa kutokea kwa Feisal. Mpira sio uchawi, mpira sio uadui huyo Feisal unayemtafutia sababu kwa chuki na hasira zako za ushindi wa Yanga na kuumbuliwa kwako kwa nyuzi yako ya kujifanya mtabiri kipipa, Feisal leo kajitoa sana na alionesha dhahiri shahiri kuwa anataka kunyamazisha wanaombeza na wanaomzomea ila mambo hayakuwa upande wake.
TMA tokea Mwezi April, 2023 Wslitabiri kuwepo kwa Mvua Kubwa ya El Nino kuanzia tarehe 1 Oktoba hadi tarehe 13 Oktoba, 2023 je, mpaka leo tarehe 23 Oktoba, 2023 imeshanyesha? Mbona hamuwashushui TMA na hamuwaabii kuwa ni Waongo na Watabiri Feki? Hamna Akili...!!
 
hivi unarudia kusoma unachoandika unaandika utoto mtupu yani hukui wewe jamaa.

ikikupendeza jaribu kukua ndugu
Pumbavu.

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Pumbavu.

ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.


Ikiwa unaleta uzi hapa na hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu nakueleza utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa chuku chuku utake usitake!

Juha wewe!
 
Back
Top Bottom