mangiTz
JF-Expert Member
- Jul 28, 2019
- 1,820
- 3,062
Mpira ajira ya ajabu sana mkuu , uajiriwe na mtu mwingine ufanye kazi yako vizuri wakuchukie wengineMpira sio uadui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira ajira ya ajabu sana mkuu , uajiriwe na mtu mwingine ufanye kazi yako vizuri wakuchukie wengineMpira sio uadui.
Mental case.Yaani Wewe badala ya Kufanya Kazi (Kucheza Mpira wa Nguvu) ili uisaidie Azam FC yako Wewe kila mara uko busy Kuchekeana (Kukenua Mimeno yako mibovu) na Wachezaji wa Yanga SC akina Aucho, Mudathir, Job na Mwamnyeto.
Ndiyo maana hata sijashangaa baada ya Mechi Kumalizika na Kufungwa kwa Uzembe wa Kipa Wenu na CEO Wenu Popat Kuuza ramani ya Vita kwa Yanga SC anayoipenda Wachezaji Wenzako wote wakiongozwa na Amoah walikuwa Wameumia (hata ukiwaangalia tu Machoni) unawaona Wewe ulikuwa busy kwenda lilipo Benchi la Ufundi la Yanga SC na Kuanza Kufurahi nao hadi Kupiga Picha nao.
Kumbe ndiyo maana Kiongozi Mmoja wa Yanga SC ( Mtoto wa Mjini ) ulipokuwa Yanga SC huko alikufanyia Mambo ya Kimjini Mjini hadi ukatokea Kumchukia na Mimi GENTAMYCINE namuunga mkono kwa Usela aliokufanyia ambao unapelekea kila Ukiulizwa kakufanya nini Unaogopa Kujibu na unabaki Kulia tu.
Hovyo kabisa Wewe Kijana. Umenikera leo kuliko hata ambavyo Walio nchini Misri Kukamilisha Ratiba ya AFL kwa Mwarabu watakavyonikera.
Aaahaaautabiri wako umenichekesha sana leo.
75% yanga atafungwa haya kashafungwa feisal wanini tena mtoto wa watu unamsagia kunguni.
Popoma kama Popoma.Yaani Wewe badala ya Kufanya Kazi (Kucheza Mpira wa Nguvu) ili uisaidie Azam FC yako Wewe kila mara uko busy Kuchekeana (Kukenua Mimeno yako mibovu) na Wachezaji wa Yanga SC akina Aucho, Mudathir, Job na Mwamnyeto.
Ndiyo maana hata sijashangaa baada ya Mechi Kumalizika na Kufungwa kwa Uzembe wa Kipa Wenu na CEO Wenu Popat Kuuza ramani ya Vita kwa Yanga SC anayoipenda Wachezaji Wenzako wote wakiongozwa na Amoah walikuwa Wameumia (hata ukiwaangalia tu Machoni) unawaona Wewe ulikuwa busy kwenda lilipo Benchi la Ufundi la Yanga SC na Kuanza Kufurahi nao hadi Kupiga Picha nao.
Kumbe ndiyo maana Kiongozi Mmoja wa Yanga SC ( Mtoto wa Mjini ) ulipokuwa Yanga SC huko alikufanyia Mambo ya Kimjini Mjini hadi ukatokea Kumchukia na Mimi GENTAMYCINE namuunga mkono kwa Usela aliokufanyia ambao unapelekea kila Ukiulizwa kakufanya nini Unaogopa Kujibu na unabaki Kulia tu.
Hovyo kabisa Wewe Kijana. Umenikera leo kuliko hata ambavyo Walio nchini Misri Kukamilisha Ratiba ya AFL kwa Mwarabu watakavyonikera.
Mvua mbona imenyesha matakoni kwako huko?TMA tokea Mwezi April, 2023 Wslitabiri kuwepo kwa Mvua Kubwa ya El Nino kuanzia tarehe 1 Oktoba hadi tarehe 13 Oktoba, 2023 je, mpaka leo tarehe 23 Oktoba, 2023 imeshanyesha? Mbona hamuwashushui TMA na hamuwaabii kuwa ni Waongo na Watabiri Feki? Hamna Akili...!!
Napitiaga post zako,huwa unaanidka uharo mtupu,Yaani Wewe badala ya Kufanya Kazi (Kucheza Mpira wa Nguvu) ili uisaidie Azam FC yako Wewe kila mara uko busy Kuchekeana (Kukenua Mimeno yako mibovu) na Wachezaji wa Yanga SC akina Aucho, Mudathir, Job na Mwamnyeto.
Ndiyo maana hata sijashangaa baada ya Mechi Kumalizika na Kufungwa kwa Uzembe wa Kipa Wenu na CEO Wenu Popat Kuuza ramani ya Vita kwa Yanga SC anayoipenda Wachezaji Wenzako wote wakiongozwa na Amoah walikuwa Wameumia (hata ukiwaangalia tu Machoni) unawaona Wewe ulikuwa busy kwenda lilipo Benchi la Ufundi la Yanga SC na Kuanza Kufurahi nao hadi Kupiga Picha nao.
Kumbe ndiyo maana Kiongozi Mmoja wa Yanga SC ( Mtoto wa Mjini ) ulipokuwa Yanga SC huko alikufanyia Mambo ya Kimjini Mjini hadi ukatokea Kumchukia na Mimi GENTAMYCINE namuunga mkono kwa Usela aliokufanyia ambao unapelekea kila Ukiulizwa kakufanya nini Unaogopa Kujibu na unabaki Kulia tu.
Hovyo kabisa Wewe Kijana. Umenikera leo kuliko hata ambavyo Walio nchini Misri Kukamilisha Ratiba ya AFL kwa Mwarabu watakavyonikera.
Like your MOTHER who gave birth to you damn Fool.Mental case.
Kama ilivyonyesha pia na kwa Baba yako.Mvua mbona imenyesha matakoni kwako huko?
Mbona Wewe Ubongo wako huo umejaa Uharo mtupu na wala hujishangai?Napitiaga post zako,huwa unaanidka uharo mtupu,
Wewe ndie umeleta hiyo mada bintiKama ilivyonyesha pia na kwa Baba yako.
kupelekea sio kusabanisha,kupelekea inatokana na kitenzi peleka yaani kutoa kitu mahali fulani na kukipeleka sehemu nyingine,hivyo haiwezi kutumika kwa kumaanisha kusabanisha,ama kuhusu fei ni mjinga sana huyo kijanaYaani Wewe badala ya Kufanya Kazi (Kucheza Mpira wa Nguvu) ili uisaidie Azam FC yako Wewe kila mara uko busy Kuchekeana (Kukenua Mimeno yako mibovu) na Wachezaji wa Yanga SC akina Aucho, Mudathir, Job na Mwamnyeto.
Ndiyo maana hata sijashangaa baada ya Mechi Kumalizika na Kufungwa kwa Uzembe wa Kipa Wenu na CEO Wenu Popat Kuuza ramani ya Vita kwa Yanga SC anayoipenda Wachezaji Wenzako wote wakiongozwa na Amoah walikuwa Wameumia (hata ukiwaangalia tu Machoni) unawaona Wewe ulikuwa busy kwenda lilipo Benchi la Ufundi la Yanga SC na Kuanza Kufurahi nao hadi Kupiga Picha nao.
Kumbe ndiyo maana Kiongozi Mmoja wa Yanga SC ( Mtoto wa Mjini ) ulipokuwa Yanga SC huko alikufanyia Mambo ya Kimjini Mjini hadi ukatokea Kumchukia na Mimi GENTAMYCINE namuunga mkono kwa Usela aliokufanyia ambao unapelekea kila Ukiulizwa kakufanya nini Unaogopa Kujibu na unabaki Kulia tu.
Hovyo kabisa Wewe Kijana. Umenikera leo kuliko hata ambavyo Walio nchini Misri Kukamilisha Ratiba ya AFL kwa Mwarabu watakavyonikera.
Mumeo nimekuwa Binti tena? Makubwa...!!Wewe ndie umeleta hiyo mada binti
Acha kupoteza muda Kunifundisha Kiswahili chako ambacho mpaka leo wala hakijakusaidia Kuondoa Umasikini mkubwa Ulionao na Upumbavu unaokukabili sawa?kupelekea sio kusabanisha,kupelekea inatokana na kitenzi peleka yaani kutoa kitu mahali fulani na kukipeleka sehemu nyingine,hivyo haiwezi kutumika kwa kumaanisha kusabanisha,ama kuhusu fei ni mjinga sana huyo kijana
Piga spana mkuu,ipige spana hiyo Ng'ombeeeee!CHIZI WA JF ANAENDELEA.
"75% Yanga SC inafungwa leo na 25% wataibahatisha Sare kwa Azam FC. Kuna Mambo yamefanyika ( Nje ya Uwanja ) na yamewashinda Wataalam Watatu wa Yanga SC na hata baadhi ya Viongozi Wao wameshajua kuwa leo ( hasa Jumatatu ) Kinujumu ( Kinyota na Kitarehe ) si Siku nzuri Kwao Kimatokeo".