Feitoto kama unataka kurejea Yanga SC rejea tu

Mental case.
 
Popoma kama Popoma.
 
Mvua mbona imenyesha matakoni kwako huko?
 
Napitiaga post zako,huwa unaanidka uharo mtupu,
 
CHIZI WA JF ANAENDELEA.

"75% Yanga SC inafungwa leo na 25% wataibahatisha Sare kwa Azam FC. Kuna Mambo yamefanyika ( Nje ya Uwanja ) na yamewashinda Wataalam Watatu wa Yanga SC na hata baadhi ya Viongozi Wao wameshajua kuwa leo ( hasa Jumatatu ) Kinujumu ( Kinyota na Kitarehe ) si Siku nzuri Kwao Kimatokeo".
 
Azam ni timu nyepesi sana kwa vilabu vya Kariakoo, hadi sasa kocha wao anajisifia kuwa walishindwa kulinda ushindi wa 2-1 wakati goli lao la kwanza ni offside tupu...

Jamaa huwa wanajiona wana jina kubwa, ila wakiwa uwanjani na timu za Kariakoo wanaogopa kinoma kucheza mpira...

Na jana Yanga wangecheza kama kawaida yao, nahisi Azam angepigwa nyingi...
 
kupelekea sio kusabanisha,kupelekea inatokana na kitenzi peleka yaani kutoa kitu mahali fulani na kukipeleka sehemu nyingine,hivyo haiwezi kutumika kwa kumaanisha kusabanisha,ama kuhusu fei ni mjinga sana huyo kijana
 
kupelekea sio kusabanisha,kupelekea inatokana na kitenzi peleka yaani kutoa kitu mahali fulani na kukipeleka sehemu nyingine,hivyo haiwezi kutumika kwa kumaanisha kusabanisha,ama kuhusu fei ni mjinga sana huyo kijana
Acha kupoteza muda Kunifundisha Kiswahili chako ambacho mpaka leo wala hakijakusaidia Kuondoa Umasikini mkubwa Ulionao na Upumbavu unaokukabili sawa?
 
WATANZANIA WENGI ni wapumbavu.

Wanapenda kufuatilia Mambo ya kipumbavu.

UKIONA Nyuzi zako zinafuatiliwa sana Ujue UNAANDIKA sana UPUMBAVU.

WENGINE Huwa tunakuja kusahihisha UJINGA NA UPUMBAVU.

USIJE UKAAMBUKIZA KUNDI KUBWA ZAIDI
 
ANAANDIKA TUKANA UONE.

Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake

"TUKANA UONE"
 
Piga spana mkuu,ipige spana hiyo Ng'ombeeeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…