Female financial economics! Jinsi wanawake tunavoteketeza mamillion kwenye vitu visivyo na tija!

Female financial economics! Jinsi wanawake tunavoteketeza mamillion kwenye vitu visivyo na tija!

MI YANGU INAISHIA KUNUNUA MAVITU VYA JIKONI!mwe!\
aibu yangu aibu yangu!
yani hakuna kitu kinakula hela yangu kama shopping ya jikoni!cha
sijui nafanyaje walahi!
diwan anatuhusu wengi kumbe?
ila huu ni ujinga sana sana manake unakuta kwa mwez umekopa nguo za watoto hata pea 6 unashobokea kujaza yumba vitu vya jikoni bila mpango. halafu mwisho wa siku unajikuta hata huko jikon kwenyewe vinavunjika tu manake vinaonekana kama karakana
 
diwan anatuhusu wengi kumbe?
ila huu ni ujinga sana sana manake unakuta kwa mwez umekopa nguo za watoto hata pea 6 unashobokea kujaza yumba vitu vya jikoni bila mpango. halafu mwisho wa siku unajikuta hata huko jikon kwenyewe vinavunjika tu manake vinaonekana kama karakana

tupo wengi!
sasa si bora yawe ya diwani,eheehheh karoti,hoho,nyanya chungu,nazi,pensheni,prwans,sijui mbudhi katoliki(ehehehehe wapi kulwa)
sijui mchele wa bafta mara smoked fish mazaga zaga hayana hata maana kiuchumi basi tu mradi mwanamke sokoni!
mi nakasirikaga mimi!ah!
 
Nimeona aibu kama unanisema mimi, au unanijua nini ndio unanipa vijembe vya live live?
sijui nianzie wapi kujirekebisha maana najiona too late

Anza kwa kuandika kila unachinunua, kisha fanya tathmini kila wiki.
Mimi nilianza kuandika nikiwa mwaka wa kwanza chuo. Hatari ni kwamba unaweza kuwa bahili wa kupindukia. Baada ya miezi kadhaa kubana matumizi inakuwa sehemu ya tabia. Nakumbuka nilikuwa nakunywa chai na kiporo asubuhi, kisha pasi ndefu hadi nirudi gheto usiku wa saa nne, ndipo tupike tule. Ilifika wakati natumia Tsh. 350,000/- kwa semester nzima (kodi ya chumba, umeme, maji, chakula, stationeries, vocha n.k). Nilikuwa mchumi hata jamaa zangu wa karibu walilijua hilo, ila kwa kuwa ni mwanaume na ni Mchaga,hawakushtuka sana.
 
Anza kwa kuandika kila unachinunua, kisha fanya tathmini kila wiki.
Mimi nilianza kuandika nikiwa mwaka wa kwanza chuo. Hatari ni kwamba unaweza kuwa bahili wa kupindukia. Baada ya miezi kadhaa kubana matumizi inakuwa sehemu ya tabia. Nakumbuka nilikuwa nakunywa chai na kiporo asubuhi, kisha pasi ndefu hadi nirudi gheto usiku wa saa nne, ndipo tupike tule. Ilifika wakati natumia Tsh. 350,000/- kwa semester nzima (kodi ya chumba, umeme, maji, chakula, stationeries, vocha n.k). Nilikuwa mchumi hata jamaa zangu wa karibu walilijua hilo, ila kwa kuwa ni mwanaume na ni Mchaga,hawakushtuka sana.

hiyo sasa ni zaidi ya kubana matumizi...vidonda vya tumbo vilikukwepa kweli!!?? God forbid kupata mwanaume wa design yako!!
 
hiyo sasa ni zaidi ya kubana matumizi...vidonda vya tumbo vilikukwepa kweli!!?? God forbid kupata mwanaume wa design yako!!

Vidonda vya tumbo haviletwi na sabau moja tu, hususani kutokula mchana. Hii mbinu ya kubana matumizi haipaswi kuendekezwa kwa muda mrefu, ndio maana nikatoa tahadhari. Zama za shule ni zama za kufanya kazi. Kuna kipindi cha kukaza mkanda, na kipindi cha kulegeza kidogo. Usiogope!!!
 
lara 1 the way unavyo mature so fast is so scary ...

cc Kaunga snowhite

mimi like this!i wish ningekuwa na akili yake at her age!
yani unashika mihela mingiiiii af hujui ya kuifanyia as hulipi kodi,huulizwi ada ya shule,hudaiwi sijui hela ya nini!uuuuwih!
too late to catch the train now! lara 1 i really envy,AND SALUTE you!
YU GOT IT ALL!
 
Last edited by a moderator:
sorry 2 say that! wadada wenye kipato kidogo ndio wanaospend sana, cjui kwa nini tu. angalia hata maofisini utaliona hili, wenye kipato cha chini wanalipuka na pamba kweli, wenye kipato cha juu wapo simple. angalia hata kwa wanasiasa Dr Rose migiro, Dr nagu, Dr Nkya wapo simple hakuna leswig wala makeup, afu angalia dada zangu wengine ambao hata CVs zao hazieleweki, utaona tofauti ni kubwa sana. ladies wenye kipato kikubwa (tsh 2M n above wapo busy kupeleka wtt shule nzuri (hata kama wanaume wao hawalipi fees), kuinvest na kusaidia family zao, ladies wenye kipato cha chini wapo busy na mapochi, viatu, designer clothes, outings etc. mi nafikiri ni akili ndogo tu za sie kina dada
 
@lara1 ukipita huku tindikali inakuhusu! Ndio nini kutuumbua dada zako? Yaani sijui tutajiokoaje na kadhia hii. Nilijaribu na huo mdaftari, mwisho wa mwezi hata mwenyewe nilishindwa kuuelewa!
 
lara 1 the way unavyo mature so fast is so scary ...

cc Kaunga snowhite

Sijui kwanini sikuuona huu uzi kabla.
Leo asubuhi, tafakuri yangu ilikuwa sio matumizi kwa wanawake tuu, ila kwa waajiriwa au watumishi. Nilijitafakali mwenyewe jinsi gani masurufu yanavyoongezeka ndivyo ninavyoongeza matumizi au gharama ya matumizi.
Nikilinganisha na wafanya biashara ambao wengi humaintain matumizi na kuiimarisha biashara.
Nikafikia conclusion ya kubadlika.

Mada ya Lara 1 kwa wadada ni ya kuzingatia, lucky me kwa kufuatana na mabro zaidi niliishi na kuwaza kidume dume zaidi. So sikuwa mfuata mkumbo, na mara karibu na zote sipendi kufuata fashion, so nafanya mambo niliyoyapanga mwenyewe. Of course nina weak points zangu lkn sio damaging sana.
 
Last edited by a moderator:
BIG UP lara 1 nimeipenda sana hii wanawake tunatamani vitu sana. utakuta mtu ana nguo mpaka nyingine anasahau kuzivaa halafu hakuna cha maana. mimi binafsi ninajipiga marufuku kununua vitu ambavyo sio vya muhimu. ni baada ya kuona nguo zimejaa kabati nyingine zinakaa hata mwaka bila kuvaliwa nkasema n a viatu kibao. Mimi hatua niliyochukua ni kukopa hela bank na kununua kiwanja sasa nabaki na fedha kidogo tu ya kula na kuwekeza kwenye vikundi sasa nakuwa nawaza tu kuwekeza. wanawake tuwe na nidhamu ya fedha na hata kama hujaolewa anza kujiandaa na maisha. wengine wanasema tutaanza maisha tutakapokuwa wawili wakati muda unaenda inabidi tuelewa kuwa maisha yanatakiwa kuandaliwa tukiwa na nguvu hivyo tuzingatie vitu vya msingi. hii mada imekuja wakati nikiwaza kupambana na hizi anasa alizosema lara.
 
sorry 2 say that! wadada wenye kipato kidogo ndio wanaospend sana, cjui kwa nini tu. angalia hata maofisini utaliona hili, wenye kipato cha chini wanalipuka na pamba kweli, wenye kipato cha juu wapo simple. angalia hata kwa wanasiasa Dr Rose migiro, Dr nagu, Dr Nkya wapo simple hakuna leswig wala makeup, afu angalia dada zangu wengine ambao hata CVs zao hazieleweki, utaona tofauti ni kubwa sana. ladies wenye kipato kikubwa (tsh 2M n above wapo busy kupeleka wtt shule nzuri (hata kama wanaume wao hawalipi fees), kuinvest na kusaidia family zao, ladies wenye kipato cha chini wapo busy na mapochi, viatu, designer clothes, outings etc. mi nafikiri ni akili ndogo tu za sie kina dada

ni kweli kabisa hapa ofisini kwetu wahudumu wanalipuka kuliko hata mabosi wao.
 
Mmh. Hivi ulipoanguka haukuvunjika mdomo weeh mtoto? Sasa paw akishaona hii leo hamna soul food tunajadili haya makitu! Hebu pona uende kazini bwana, kha!
AshaDii njoo ujisute. Make sure kaka haoni hii.
 
Last edited by a moderator:
Hebu poozeni jamani. Current discussion ofisini kwangu ni kuwa chief wetu ambae ni mmama anavaa ovyo. Vibatiki vya kuchovya na mashono ya elfu 8! Hahaha aibu zetu na mishahara mbuzi
ni kweli kabisa hapa ofisini kwetu wahudumu wanalipuka kuliko hata mabosi wao.
 
yani hapa umenigusa, kweli wanawake hasa wadada hatuangalii maisha ya mbele, wala hatuwazi kuwa ipo siku tutakuja kuwa wazee je kama hatukuzingatia sasa katika kujiwekea akiba itakuwaje? bestito umenigusa sana leo Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.

All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.
 
Hii kitu imeambukiza mpaka serikali yetu,angalia matumizi yetu yalivyo ya anasa,alafu cheki nchi zinazotusadia matumizi yao
"Vox popoli vox dei"
 
Back
Top Bottom