gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
diwan anatuhusu wengi kumbe?MI YANGU INAISHIA KUNUNUA MAVITU VYA JIKONI!mwe!\
aibu yangu aibu yangu!
yani hakuna kitu kinakula hela yangu kama shopping ya jikoni!cha
sijui nafanyaje walahi!
ila huu ni ujinga sana sana manake unakuta kwa mwez umekopa nguo za watoto hata pea 6 unashobokea kujaza yumba vitu vya jikoni bila mpango. halafu mwisho wa siku unajikuta hata huko jikon kwenyewe vinavunjika tu manake vinaonekana kama karakana