Female financial economics! Jinsi wanawake tunavoteketeza mamillion kwenye vitu visivyo na tija!

Female financial economics! Jinsi wanawake tunavoteketeza mamillion kwenye vitu visivyo na tija!

yani umenipa mawazo, mana nimejitafakari, nabadilika. hasa katika point ya kupokea mshahara na wakaka afu wenzetu kumiliki nyumba, nasisi kubaki na mahandbag uwii.
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu HAIONEKANI! Unaweza hisi umetupiwa chuma ulete! Kumbe walaa wenyewe tu!

Si jambo la kushtua wala kushangaza kukuta mkaka mmeajiriwa wote mnalipwa 400,000 kwa mwezi, ila mkaka ana kijumba Mbezi Luis na mkopo wa gari anakaribia kuumaliza, ana mke, watoto na ndugu kibaoooo, na anaishi maisha mazuri tu. Ila wewe bi dada mwenzangu na mie umeolewa pesa yako ni yako ama hujaolewa umepanga zako, miaka nenda rudi huna kitu chochote to show that you worked and invested. Holaaaaaaa! Mimi nilivojiriwa fresh from school nilikuta watu wan 5 to 6 years kazini haswaa wadada ila hawana cha kuonesha pamoja na mshahara na vibuzi vyote! Ila wakaka hela hio hio wamejenga, wengine hadi nyumba 2. 3 years na mimi nimejikuta in similar situation! Ndo nilipojiundia jopo la kujichunguza Pesa yangu inaenda wapi? Nikaanzisha DAFTARI/DIARY!!!!!!!!!

Hamaaaaaad! Laki si pesa millioni deni! Kila nachonunua naandika afu mwisho wa mwezi nikajumlisha! Mmmmmmmh! Usitake hata kujua outcome coz ni mambo ya aibu! Ila nimegundua wadada wengi pesa inaishia huku

Nguo, Viatu, Mipochi, Perfume Vipodozi!!!!!!!! Ile zana coz unafanya kazi unakuwa obsessed kuvaa vitu vya ukweli daily, midosho na supra za kariakoo za bei chee huzitaki ndo pesa inakomalizikia. Saivi pamba claassic za town gown 50,000- 80,000, viatu ni 40,000-70,000, suruali na skirt kwenye 20,000/=, mipochi imesimamia 50,000 mpaka 150,000, perfume designer feki original zinasimamia 70,000 mpaka 150,000. Yaani laki si pesa million deni! Ukijilipua shopping kuteketeza 300,000 sio ishu, sasa hapo si kimshahara kimeisha!!!? Afu trend hazidumu, nguo ikakaa kidogo inaisha fashion inabidi uanze upya ku update closet ama wardrobe yako. Ndo mwaka unaisha unafanya kazi ya kufukuza upepo wa fashion!

Kumaintain Class fake ile mtu unakuwa matawi ya juu. Wanaume hawana hizi. Lunch wanatafuta cheapest wanakula lunch, ila sie sasa kazi ipo! Lazima ule sehemu yenye hadhi kidogo! Sasa pale unaacha 8000 hadi 10000 kila mchana! Matoke katikati ya mwezi diet inaanza, mwishoni inaisha! Hapo coz unakula juu unajiona wa maana kinoma unasahau wanaokula vichochoroni wana nyumba 2 wakati mie banda sina! Usipite mchango wa harusi usichange! Simu gani ikupite? Birthday lazima ushushe party la nguvu! In the end 5 years kazini nothing to show for it. Budget ili usave ndo new agenda!

Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.

All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.

NATAMAN UNGEKUA MWALIM WA WADADA WOTE,,, mi hiyo tabia inanikeeeeraaaaa
 
nice post from a wise woman to a right pipo at a right moment...

Hope watakusoma na kukuelewa sis.:smile-big:
 
ujumbe huu umetulia ndo hali halisi ya maisha ya watumishi tuliowengi tubadilikeni
 
Kwakweli tufundisheni na jinsi ya kutunza maana mi naweza nisivae ila ndugu zangu washanijulia ukifika mwisho wa mwezi tu kila mtu anatuma maombi yake...nlivyodhaifu sasa hata bank naenda kuchukua nafikiria kuingia kwenye michezo ya upatu sometimes.
 
Jamni lara 1 hii mada imenigusa mie jamani ebu wadada tubadilike yaani kiukweli tena hata ikibidi tufikirie ku investnow jamani yaani usipoanagalia unakuta hata kati kati ya mwezi hela haifiki ndo ukiendeleza pochi mpya gauni mpya,sherehe za kitchen party jamani ebu wadada tuchange tena kweli yaaani hili nalo neno please dadas ebu tuchange
 
Kuna mtu aliwahi andika thread kwamba anataman kuwa na mke upstairs kama lara 1. Unajua nilimshangaa sana nikawa najiuliza huyu naye vipi. Apeleke shobo zake huko. Now nimekubali the guy was right the lady yuko safi upstairs. Thanks Lara you are genius. Kila ulichoandika hapa ni right
 
hivi wadada hawahongii

mbna sijaona kuhonga kiserengeti boi

kukipeleka savana weekend
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu HAIONEKANI! Unaweza hisi umetupiwa chuma ulete! Kumbe walaa wenyewe tu!

Si jambo la kushtua wala kushangaza kukuta mkaka mmeajiriwa wote mnalipwa 400,000 kwa mwezi, ila mkaka ana kijumba Mbezi Luis na mkopo wa gari anakaribia kuumaliza, ana mke, watoto na ndugu kibaoooo, na anaishi maisha mazuri tu. Ila wewe bi dada mwenzangu na mie umeolewa pesa yako ni yako ama hujaolewa umepanga zako, miaka nenda rudi huna kitu chochote to show that you worked and invested. Holaaaaaaa! Mimi nilivojiriwa fresh from school nilikuta watu wan 5 to 6 years kazini haswaa wadada ila hawana cha kuonesha pamoja na mshahara na vibuzi vyote! Ila wakaka hela hio hio wamejenga, wengine hadi nyumba 2. 3 years na mimi nimejikuta in similar situation! Ndo nilipojiundia jopo la kujichunguza Pesa yangu inaenda wapi? Nikaanzisha DAFTARI/DIARY!!!!!!!!!

Hamaaaaaad! Laki si pesa millioni deni! Kila nachonunua naandika afu mwisho wa mwezi nikajumlisha! Mmmmmmmh! Usitake hata kujua outcome coz ni mambo ya aibu! Ila nimegundua wadada wengi pesa inaishia huku

Nguo, Viatu, Mipochi, Perfume Vipodozi!!!!!!!! Ile zana coz unafanya kazi unakuwa obsessed kuvaa vitu vya ukweli daily, midosho na supra za kariakoo za bei chee huzitaki ndo pesa inakomalizikia. Saivi pamba claassic za town gown 50,000- 80,000, viatu ni 40,000-70,000, suruali na skirt kwenye 20,000/=, mipochi imesimamia 50,000 mpaka 150,000, perfume designer feki original zinasimamia 70,000 mpaka 150,000. Yaani laki si pesa million deni! Ukijilipua shopping kuteketeza 300,000 sio ishu, sasa hapo si kimshahara kimeisha!!!? Afu trend hazidumu, nguo ikakaa kidogo inaisha fashion inabidi uanze upya ku update closet ama wardrobe yako. Ndo mwaka unaisha unafanya kazi ya kufukuza upepo wa fashion!

Kumaintain Class fake ile mtu unakuwa matawi ya juu. Wanaume hawana hizi. Lunch wanatafuta cheapest wanakula lunch, ila sie sasa kazi ipo! Lazima ule sehemu yenye hadhi kidogo! Sasa pale unaacha 8000 hadi 10000 kila mchana! Matoke katikati ya mwezi diet inaanza, mwishoni inaisha! Hapo coz unakula juu unajiona wa maana kinoma unasahau wanaokula vichochoroni wana nyumba 2 wakati mie banda sina! Usipite mchango wa harusi usichange! Simu gani ikupite? Birthday lazima ushushe party la nguvu! In the end 5 years kazini nothing to show for it. Budget ili usave ndo new agenda!

Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.

All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.

well said lara 1, wadada wengi wamjini wanakimbilia kuinvest kwenye mavazi, vipodozi na mazagazaga mengine yasiyo yamaana, mwisho wa siku anajikuta hana hata cha maana!!!!!!!
Hakuna kitu kizuri kama kusimama kiume kwenye maendeleo hata jamii itakupigia SALUTE!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Jamni lara 1 hii mada imenigusa mie jamani ebu wadada tubadilike yaani kiukweli tena hata ikibidi tufikirie ku investnow jamani yaani usipoanagalia unakuta hata kati kati ya mwezi hela haifiki ndo ukiendeleza pochi mpya gauni mpya,sherehe za kitchen party jamani ebu wadada tuchange tena kweli yaaani hili nalo neno please dadas ebu tuchange

kabisa my dear, tena kwa mwanamke kushusha maendeleo ni very simple kuliko mwanaume, sema tu tunaendekeza matumizi yasiyo na umuhimu!!!!
 
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu HAIONEKANI! Unaweza hisi umetupiwa chuma ulete! Kumbe walaa wenyewe tu!

Si jambo la kushtua wala kushangaza kukuta mkaka mmeajiriwa wote mnalipwa 400,000 kwa mwezi, ila mkaka ana kijumba Mbezi Luis na mkopo wa gari anakaribia kuumaliza, ana mke, watoto na ndugu kibaoooo, na anaishi maisha mazuri tu. Ila wewe bi dada mwenzangu na mie umeolewa pesa yako ni yako ama hujaolewa umepanga zako, miaka nenda rudi huna kitu chochote to show that you worked and invested. Holaaaaaaa! Mimi nilivojiriwa fresh from school nilikuta watu wan 5 to 6 years kazini haswaa wadada ila hawana cha kuonesha pamoja na mshahara na vibuzi vyote! Ila wakaka hela hio hio wamejenga, wengine hadi nyumba 2. 3 years na mimi nimejikuta in similar situation! Ndo nilipojiundia jopo la kujichunguza Pesa yangu inaenda wapi? Nikaanzisha DAFTARI/DIARY!!!!!!!!!

Hamaaaaaad! Laki si pesa millioni deni! Kila nachonunua naandika afu mwisho wa mwezi nikajumlisha! Mmmmmmmh! Usitake hata kujua outcome coz ni mambo ya aibu! Ila nimegundua wadada wengi pesa inaishia huku

Nguo, Viatu, Mipochi, Perfume Vipodozi!!!!!!!! Ile zana coz unafanya kazi unakuwa obsessed kuvaa vitu vya ukweli daily, midosho na supra za kariakoo za bei chee huzitaki ndo pesa inakomalizikia. Saivi pamba claassic za town gown 50,000- 80,000, viatu ni 40,000-70,000, suruali na skirt kwenye 20,000/=, mipochi imesimamia 50,000 mpaka 150,000, perfume designer feki original zinasimamia 70,000 mpaka 150,000. Yaani laki si pesa million deni! Ukijilipua shopping kuteketeza 300,000 sio ishu, sasa hapo si kimshahara kimeisha!!!? Afu trend hazidumu, nguo ikakaa kidogo inaisha fashion inabidi uanze upya ku update closet ama wardrobe yako. Ndo mwaka unaisha unafanya kazi ya kufukuza upepo wa fashion!

Kumaintain Class fake ile mtu unakuwa matawi ya juu. Wanaume hawana hizi. Lunch wanatafuta cheapest wanakula lunch, ila sie sasa kazi ipo! Lazima ule sehemu yenye hadhi kidogo! Sasa pale unaacha 8000 hadi 10000 kila mchana! Matoke katikati ya mwezi diet inaanza, mwishoni inaisha! Hapo coz unakula juu unajiona wa maana kinoma unasahau wanaokula vichochoroni wana nyumba 2 wakati mie banda sina! Usipite mchango wa harusi usichange! Simu gani ikupite? Birthday lazima ushushe party la nguvu! In the end 5 years kazini nothing to show for it. Budget ili usave ndo new agenda!

Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.

All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.

na wengine inawazoea tabia hii na kufanya ni majukumu kwa mwanaume...huyo huyo mwanaume unamtegemea kwa chakula kizuri, gari ya familia, nyumba ya familia na matumizi nyumbani kwenu na kwao... please punguzeni matumizi yasio ya lazima muyajenge maisha yenu na familia zenu...
 
Ndugu yangu, umenizindua kweli kwa hili, baada ya kusoma maelezo yako nmeenda moja kwa moja kujumlisha cost za handbag na viatu per month. Dah ukweli ningeweza nunua mifuko mingi ya cement, jengine limalizalo pesa zangu ni maswala ya jikoni na mapambo ya nyumba ambayo yakupanga. Asante sana nachukua hatua kujirekebisha ingawa ni kazi
 
Back
Top Bottom