Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu HAIONEKANI! Unaweza hisi umetupiwa chuma ulete! Kumbe walaa wenyewe tu!
Si jambo la kushtua wala kushangaza kukuta mkaka mmeajiriwa wote mnalipwa 400,000 kwa mwezi, ila mkaka ana kijumba Mbezi Luis na mkopo wa gari anakaribia kuumaliza, ana mke, watoto na ndugu kibaoooo, na anaishi maisha mazuri tu. Ila wewe bi dada mwenzangu na mie umeolewa pesa yako ni yako ama hujaolewa umepanga zako, miaka nenda rudi huna kitu chochote to show that you worked and invested. Holaaaaaaa! Mimi nilivojiriwa fresh from school nilikuta watu wan 5 to 6 years kazini haswaa wadada ila hawana cha kuonesha pamoja na mshahara na vibuzi vyote! Ila wakaka hela hio hio wamejenga, wengine hadi nyumba 2. 3 years na mimi nimejikuta in similar situation! Ndo nilipojiundia jopo la kujichunguza Pesa yangu inaenda wapi? Nikaanzisha DAFTARI/DIARY!!!!!!!!!
Hamaaaaaad! Laki si pesa millioni deni! Kila nachonunua naandika afu mwisho wa mwezi nikajumlisha! Mmmmmmmh! Usitake hata kujua outcome coz ni mambo ya aibu! Ila nimegundua wadada wengi pesa inaishia huku
Nguo, Viatu, Mipochi, Perfume Vipodozi!!!!!!!! Ile zana coz unafanya kazi unakuwa obsessed kuvaa vitu vya ukweli daily, midosho na supra za kariakoo za bei chee huzitaki ndo pesa inakomalizikia. Saivi pamba claassic za town gown 50,000- 80,000, viatu ni 40,000-70,000, suruali na skirt kwenye 20,000/=, mipochi imesimamia 50,000 mpaka 150,000, perfume designer feki original zinasimamia 70,000 mpaka 150,000. Yaani laki si pesa million deni! Ukijilipua shopping kuteketeza 300,000 sio ishu, sasa hapo si kimshahara kimeisha!!!? Afu trend hazidumu, nguo ikakaa kidogo inaisha fashion inabidi uanze upya ku update closet ama wardrobe yako. Ndo mwaka unaisha unafanya kazi ya kufukuza upepo wa fashion!
Kumaintain Class fake ile mtu unakuwa matawi ya juu. Wanaume hawana hizi. Lunch wanatafuta cheapest wanakula lunch, ila sie sasa kazi ipo! Lazima ule sehemu yenye hadhi kidogo! Sasa pale unaacha 8000 hadi 10000 kila mchana! Matoke katikati ya mwezi diet inaanza, mwishoni inaisha! Hapo coz unakula juu unajiona wa maana kinoma unasahau wanaokula vichochoroni wana nyumba 2 wakati mie banda sina! Usipite mchango wa harusi usichange! Simu gani ikupite? Birthday lazima ushushe party la nguvu! In the end 5 years kazini nothing to show for it. Budget ili usave ndo new agenda!
Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.
All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.
sorry 2 say that! wadada wenye kipato kidogo ndio wanaospend sana, cjui kwa nini tu. angalia hata maofisini utaliona hili, wenye kipato cha chini wanalipuka na pamba kweli, wenye kipato cha juu wapo simple. angalia hata kwa wanasiasa Dr Rose migiro, Dr nagu, Dr Nkya wapo simple hakuna leswig wala makeup, afu angalia dada zangu wengine ambao hata CVs zao hazieleweki, utaona tofauti ni kubwa sana. ladies wenye kipato kikubwa (tsh 2M n above wapo busy kupeleka wtt shule nzuri (hata kama wanaume wao hawalipi fees), kuinvest na kusaidia family zao, ladies wenye kipato cha chini wapo busy na mapochi, viatu, designer clothes, outings etc. mi nafikiri ni akili ndogo tu za sie kina dada
Well said lara 1..
Sasa hebu tuandikie na ya upande wa pili hahaa haaaa.. Maana hii tabia yangu ya kuvaa nguo hadi ipate tobo na kiate hadi kila upande hapana kwa kweli..
Mie enzi ya chuo boom nilikuwa naweka kiasi fixed account upo mama!
Uchaga + uchumi = ( ........) Uwiiiii
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
lara 1, sio wadada tu.. Wanaume wa kizazi hiki ndio balaa.. Swala la kujenga hadi mwanamke aje akukomalie ndio unakaa sawa.. Usiombe ukutane na mwanamke kama wewe unaemuongelea hapo ndio mshakufa masikini
Kuna mkaka najuana nae anafanya benk moja tu ya kigeni salary ya kawaida sana kama 1m net,,
Sasa amekopa hela kanunua OPA anakatwa kama 350,000 kwa kulipia deni.. Pia amepanga nyumba 250,000 tena nje ya mji huko sema ye karidhika kisa nyumba kali,, kila siku kwenda kazini anatumia mafuta 10,000 so kwa mwezi kama laki 3 hivi ndio budget ya mafuta..
Bado sijampigia budget yake ya chakula kuanzia asubuh, mchana na jioni..
Jamaa alimaliza mbele yetu ana miaka kazaa ofisini lakini hasomeki kabisa,
Ukimwambia swala la kutafuta mwenza na kuoa anaogopa huyo eti maisha magumu, wakati yeye mwenyewe kayafanya magumu..
Ndio starehe muhimu lakini lazima ujiangalie na mbele itakuaje..
Mimi nina principle moja, hela yeyote nikiipata tofauti na mshahara, ni pamba, na good time, maana sikuitegemea..
Hela ya mshahara yote ipo budgeted kabla hata haijapokelewa imeshaisha..
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu HAIONEKANI! Unaweza hisi umetupiwa chuma ulete! Kumbe walaa wenyewe tu!
Si jambo la kushtua wala kushangaza kukuta mkaka mmeajiriwa wote mnalipwa 400,000 kwa mwezi, ila mkaka ana kijumba Mbezi Luis na mkopo wa gari anakaribia kuumaliza, ana mke, watoto na ndugu kibaoooo, na anaishi maisha mazuri tu. Ila wewe bi dada mwenzangu na mie umeolewa pesa yako ni yako ama hujaolewa umepanga zako, miaka nenda rudi huna kitu chochote to show that you worked and invested. Holaaaaaaa! Mimi nilivojiriwa fresh from school nilikuta watu wan 5 to 6 years kazini haswaa wadada ila hawana cha kuonesha pamoja na mshahara na vibuzi vyote! Ila wakaka hela hio hio wamejenga, wengine hadi nyumba 2. 3 years na mimi nimejikuta in similar situation! Ndo nilipojiundia jopo la kujichunguza Pesa yangu inaenda wapi? Nikaanzisha DAFTARI/DIARY!!!!!!!!!
Hamaaaaaad! Laki si pesa millioni deni! Kila nachonunua naandika afu mwisho wa mwezi nikajumlisha! Mmmmmmmh! Usitake hata kujua outcome coz ni mambo ya aibu! Ila nimegundua wadada wengi pesa inaishia huku
Nguo, Viatu, Mipochi, Perfume Vipodozi!!!!!!!! Ile zana coz unafanya kazi unakuwa obsessed kuvaa vitu vya ukweli daily, midosho na supra za kariakoo za bei chee huzitaki ndo pesa inakomalizikia. Saivi pamba claassic za town gown 50,000- 80,000, viatu ni 40,000-70,000, suruali na skirt kwenye 20,000/=, mipochi imesimamia 50,000 mpaka 150,000, perfume designer feki original zinasimamia 70,000 mpaka 150,000. Yaani laki si pesa million deni! Ukijilipua shopping kuteketeza 300,000 sio ishu, sasa hapo si kimshahara kimeisha!!!? Afu trend hazidumu, nguo ikakaa kidogo inaisha fashion inabidi uanze upya ku update closet ama wardrobe yako. Ndo mwaka unaisha unafanya kazi ya kufukuza upepo wa fashion!
Kumaintain Class fake ile mtu unakuwa matawi ya juu. Wanaume hawana hizi. Lunch wanatafuta cheapest wanakula lunch, ila sie sasa kazi ipo! Lazima ule sehemu yenye hadhi kidogo! Sasa pale unaacha 8000 hadi 10000 kila mchana! Matoke katikati ya mwezi diet inaanza, mwishoni inaisha! Hapo coz unakula juu unajiona wa maana kinoma unasahau wanaokula vichochoroni wana nyumba 2 wakati mie banda sina! Usipite mchango wa harusi usichange! Simu gani ikupite? Birthday lazima ushushe party la nguvu! In the end 5 years kazini nothing to show for it. Budget ili usave ndo new agenda!
Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.
All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.
Nimeona aibu kama unanisema mimi, au unanijua nini ndio unanipa vijembe vya live live?
sijui nianzie wapi kujirekebisha maana najiona too late
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu HAIONEKANI! Unaweza hisi umetupiwa chuma ulete! Kumbe walaa wenyewe tu!
Si jambo la kushtua wala kushangaza kukuta mkaka mmeajiriwa wote mnalipwa 400,000 kwa mwezi, ila mkaka ana kijumba Mbezi Luis na mkopo wa gari anakaribia kuumaliza, ana mke, watoto na ndugu kibaoooo, na anaishi maisha mazuri tu. Ila wewe bi dada mwenzangu na mie umeolewa pesa yako ni yako ama hujaolewa umepanga zako, miaka nenda rudi huna kitu chochote to show that you worked and invested. Holaaaaaaa! Mimi nilivojiriwa fresh from school nilikuta watu wan 5 to 6 years kazini haswaa wadada ila hawana cha kuonesha pamoja na mshahara na vibuzi vyote! Ila wakaka hela hio hio wamejenga, wengine hadi nyumba 2. 3 years na mimi nimejikuta in similar situation! Ndo nilipojiundia jopo la kujichunguza Pesa yangu inaenda wapi? Nikaanzisha DAFTARI/DIARY!!!!!!!!!
Hamaaaaaad! Laki si pesa millioni deni! Kila nachonunua naandika afu mwisho wa mwezi nikajumlisha! Mmmmmmmh! Usitake hata kujua outcome coz ni mambo ya aibu! Ila nimegundua wadada wengi pesa inaishia huku
Nguo, Viatu, Mipochi, Perfume Vipodozi!!!!!!!! Ile zana coz unafanya kazi unakuwa obsessed kuvaa vitu vya ukweli daily, midosho na supra za kariakoo za bei chee huzitaki ndo pesa inakomalizikia. Saivi pamba claassic za town gown 50,000- 80,000, viatu ni 40,000-70,000, suruali na skirt kwenye 20,000/=, mipochi imesimamia 50,000 mpaka 150,000, perfume designer feki original zinasimamia 70,000 mpaka 150,000. Yaani laki si pesa million deni! Ukijilipua shopping kuteketeza 300,000 sio ishu, sasa hapo si kimshahara kimeisha!!!? Afu trend hazidumu, nguo ikakaa kidogo inaisha fashion inabidi uanze upya ku update closet ama wardrobe yako. Ndo mwaka unaisha unafanya kazi ya kufukuza upepo wa fashion!
Kumaintain Class fake ile mtu unakuwa matawi ya juu. Wanaume hawana hizi. Lunch wanatafuta cheapest wanakula lunch, ila sie sasa kazi ipo! Lazima ule sehemu yenye hadhi kidogo! Sasa pale unaacha 8000 hadi 10000 kila mchana! Matoke katikati ya mwezi diet inaanza, mwishoni inaisha! Hapo coz unakula juu unajiona wa maana kinoma unasahau wanaokula vichochoroni wana nyumba 2 wakati mie banda sina! Usipite mchango wa harusi usichange! Simu gani ikupite? Birthday lazima ushushe party la nguvu! In the end 5 years kazini nothing to show for it. Budget ili usave ndo new agenda!
Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.
All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.
Muonekano wake unakua hauakisi maisha yake asilia, ingekuwa na upande wa misosi (balanced diet) watu wanajali ingekuwa poa sananzuri sana kwa wadada
haswa wanaopenda party party ni mitoko kila wikiend
akienda party hii lazima kila kitu kiwe kipya kuanzia wigi,kucha,mikope ile,apitie saluni afanye miscrub apake kucha rangi,kiatu kipya ,pochi mpya hapo kwenye gauni sasa laki 1,
pia hiii ipo sana kwa wadada wasio jiamini kwa sababu atataka aonekane mzuuiri wakati si kweli ama alivyo hivyo hajiamini hii tunaita kutokujiamini hivyo unakuta kila kitu katika mwili wake ni cha kunua(uzuri wa kutengeneza)
binafsi ama guud sinaga hizo expenses sababu najiamini hata nikienda part(ya muhimu kama harusi ya watu wangu wa karibu) always niko simple sababu najiamini
Anza kwa kuandika kila unachinunua, kisha fanya tathmini kila wiki.
Mimi nilianza kuandika nikiwa mwaka wa kwanza chuo. Hatari ni kwamba unaweza kuwa bahili wa kupindukia. Baada ya miezi kadhaa kubana matumizi inakuwa sehemu ya tabia. Nakumbuka nilikuwa nakunywa chai na kiporo asubuhi, kisha pasi ndefu hadi nirudi gheto usiku wa saa nne, ndipo tupike tule. Ilifika wakati natumia Tsh. 350,000/- kwa semester nzima (kodi ya chumba, umeme, maji, chakula, stationeries, vocha n.k). Nilikuwa mchumi hata jamaa zangu wa karibu walilijua hilo, ila kwa kuwa ni mwanaume na ni Mchaga,hawakushtuka sana.