Female financial economics! Jinsi wanawake tunavoteketeza mamillion kwenye vitu visivyo na tija!

Female financial economics! Jinsi wanawake tunavoteketeza mamillion kwenye vitu visivyo na tija!

IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu HAIONEKANI! Unaweza hisi umetupiwa chuma ulete! Kumbe walaa wenyewe tu!

Si jambo la kushtua wala kushangaza kukuta mkaka mmeajiriwa wote mnalipwa 400,000 kwa mwezi, ila mkaka ana kijumba Mbezi Luis na mkopo wa gari anakaribia kuumaliza, ana mke, watoto na ndugu kibaoooo, na anaishi maisha mazuri tu. Ila wewe bi dada mwenzangu na mie umeolewa pesa yako ni yako ama hujaolewa umepanga zako, miaka nenda rudi huna kitu chochote to show that you worked and invested. Holaaaaaaa! Mimi nilivojiriwa fresh from school nilikuta watu wan 5 to 6 years kazini haswaa wadada ila hawana cha kuonesha pamoja na mshahara na vibuzi vyote! Ila wakaka hela hio hio wamejenga, wengine hadi nyumba 2. 3 years na mimi nimejikuta in similar situation! Ndo nilipojiundia jopo la kujichunguza Pesa yangu inaenda wapi? Nikaanzisha DAFTARI/DIARY!!!!!!!!!

Hamaaaaaad! Laki si pesa millioni deni! Kila nachonunua naandika afu mwisho wa mwezi nikajumlisha! Mmmmmmmh! Usitake hata kujua outcome coz ni mambo ya aibu! Ila nimegundua wadada wengi pesa inaishia huku

Nguo, Viatu, Mipochi, Perfume Vipodozi!!!!!!!! Ile zana coz unafanya kazi unakuwa obsessed kuvaa vitu vya ukweli daily, midosho na supra za kariakoo za bei chee huzitaki ndo pesa inakomalizikia. Saivi pamba claassic za town gown 50,000- 80,000, viatu ni 40,000-70,000, suruali na skirt kwenye 20,000/=, mipochi imesimamia 50,000 mpaka 150,000, perfume designer feki original zinasimamia 70,000 mpaka 150,000. Yaani laki si pesa million deni! Ukijilipua shopping kuteketeza 300,000 sio ishu, sasa hapo si kimshahara kimeisha!!!? Afu trend hazidumu, nguo ikakaa kidogo inaisha fashion inabidi uanze upya ku update closet ama wardrobe yako. Ndo mwaka unaisha unafanya kazi ya kufukuza upepo wa fashion!

Kumaintain Class fake ile mtu unakuwa matawi ya juu. Wanaume hawana hizi. Lunch wanatafuta cheapest wanakula lunch, ila sie sasa kazi ipo! Lazima ule sehemu yenye hadhi kidogo! Sasa pale unaacha 8000 hadi 10000 kila mchana! Matoke katikati ya mwezi diet inaanza, mwishoni inaisha! Hapo coz unakula juu unajiona wa maana kinoma unasahau wanaokula vichochoroni wana nyumba 2 wakati mie banda sina! Usipite mchango wa harusi usichange! Simu gani ikupite? Birthday lazima ushushe party la nguvu! In the end 5 years kazini nothing to show for it. Budget ili usave ndo new agenda!

Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.

All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.

Pongezi kwako mwana mama,ujumbe mzuri tena umeuandika kikikekike(yani kama udaku flani ivi)
 
sorry 2 say that! wadada wenye kipato kidogo ndio wanaospend sana, cjui kwa nini tu. angalia hata maofisini utaliona hili, wenye kipato cha chini wanalipuka na pamba kweli, wenye kipato cha juu wapo simple. angalia hata kwa wanasiasa Dr Rose migiro, Dr nagu, Dr Nkya wapo simple hakuna leswig wala makeup, afu angalia dada zangu wengine ambao hata CVs zao hazieleweki, utaona tofauti ni kubwa sana. ladies wenye kipato kikubwa (tsh 2M n above wapo busy kupeleka wtt shule nzuri (hata kama wanaume wao hawalipi fees), kuinvest na kusaidia family zao, ladies wenye kipato cha chini wapo busy na mapochi, viatu, designer clothes, outings etc. mi nafikiri ni akili ndogo tu za sie kina dada

CC. Waziri wa vijana habari utamaduni na michezo

Chezeya yeye (but that is too much)

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Well said lara 1..

Sasa hebu tuandikie na ya upande wa pili hahaa haaaa.. Maana hii tabia yangu ya kuvaa nguo hadi ipate tobo na kiatu hadi kilale upande hapana kwa kweli..

Mie enzi ya chuo boom nilikuwa naweka kiasi fixed account upo mama!

Uchaga + uchumi = ( ........) Uwiiiii

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kuna wakaka wanaspend na kujipe da beyond your imagination. Kuna mkaka ana pair 50 za nice leather boots! Vests na pants ni kama 60 hivi for each.

Hakuna standard ya maisha. Mtazamo wa sasa ukisaidiana na background huwa vinaamua mtu ataishije.
Well said lara 1..

Sasa hebu tuandikie na ya upande wa pili hahaa haaaa.. Maana hii tabia yangu ya kuvaa nguo hadi ipate tobo na kiate hadi kila upande hapana kwa kweli..

Mie enzi ya chuo boom nilikuwa naweka kiasi fixed account upo mama!

Uchaga + uchumi = ( ........) Uwiiiii

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
lara 1, sio wadada tu.. Wanaume wa kizazi hiki ndio balaa.. Swala la kujenga hadi mwanamke aje akukomalie ndio unakaa sawa.. Usiombe ukutane na mwanamke kama wewe unaemuongelea hapo ndio mshakufa masikini

Kuna mkaka najuana nae anafanya benk moja tu ya kigeni salary ya kawaida sana kama 1m net,,

Sasa amekopa hela kanunua OPA anakatwa kama 350,000 kwa kulipia deni.. Pia amepanga nyumba 250,000 tena nje ya mji huko sema ye karidhika kisa nyumba kali,, kila siku kwenda kazini anatumia mafuta 10,000 so kwa mwezi kama laki 3 hivi ndio budget ya mafuta..

Bado sijampigia budget yake ya chakula kuanzia asubuh, mchana na jioni..

Jamaa alimaliza mbele yetu ana miaka kazaa ofisini lakini hasomeki kabisa,

Ukimwambia swala la kutafuta mwenza na kuoa anaogopa huyo eti maisha magumu, wakati yeye mwenyewe kayafanya magumu..

Ndio starehe muhimu lakini lazima ujiangalie na mbele itakuaje..

Mimi nina principle moja, hela yeyote nikiipata tofauti na mshahara, ni pamba, na good time, maana sikuitegemea..

Hela ya mshahara yote ipo budgeted kabla hata haijapokelewa imeshaisha..

Kwa hiyo unafanyia mambo ya maana ka mshahara tuu!! Kwa mfano kamshahara kako laki saba,ukipata milioni nje ya mshahara unafanya yako? Duh increment yenyewe bongo hii ni majanga! Kwa staili hii miaka nenda rudi una ka kipato kale kale.
 
Last edited by a moderator:
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu HAIONEKANI! Unaweza hisi umetupiwa chuma ulete! Kumbe walaa wenyewe tu!

Si jambo la kushtua wala kushangaza kukuta mkaka mmeajiriwa wote mnalipwa 400,000 kwa mwezi, ila mkaka ana kijumba Mbezi Luis na mkopo wa gari anakaribia kuumaliza, ana mke, watoto na ndugu kibaoooo, na anaishi maisha mazuri tu. Ila wewe bi dada mwenzangu na mie umeolewa pesa yako ni yako ama hujaolewa umepanga zako, miaka nenda rudi huna kitu chochote to show that you worked and invested. Holaaaaaaa! Mimi nilivojiriwa fresh from school nilikuta watu wan 5 to 6 years kazini haswaa wadada ila hawana cha kuonesha pamoja na mshahara na vibuzi vyote! Ila wakaka hela hio hio wamejenga, wengine hadi nyumba 2. 3 years na mimi nimejikuta in similar situation! Ndo nilipojiundia jopo la kujichunguza Pesa yangu inaenda wapi? Nikaanzisha DAFTARI/DIARY!!!!!!!!!

Hamaaaaaad! Laki si pesa millioni deni! Kila nachonunua naandika afu mwisho wa mwezi nikajumlisha! Mmmmmmmh! Usitake hata kujua outcome coz ni mambo ya aibu! Ila nimegundua wadada wengi pesa inaishia huku

Nguo, Viatu, Mipochi, Perfume Vipodozi!!!!!!!! Ile zana coz unafanya kazi unakuwa obsessed kuvaa vitu vya ukweli daily, midosho na supra za kariakoo za bei chee huzitaki ndo pesa inakomalizikia. Saivi pamba claassic za town gown 50,000- 80,000, viatu ni 40,000-70,000, suruali na skirt kwenye 20,000/=, mipochi imesimamia 50,000 mpaka 150,000, perfume designer feki original zinasimamia 70,000 mpaka 150,000. Yaani laki si pesa million deni! Ukijilipua shopping kuteketeza 300,000 sio ishu, sasa hapo si kimshahara kimeisha!!!? Afu trend hazidumu, nguo ikakaa kidogo inaisha fashion inabidi uanze upya ku update closet ama wardrobe yako. Ndo mwaka unaisha unafanya kazi ya kufukuza upepo wa fashion!

Kumaintain Class fake ile mtu unakuwa matawi ya juu. Wanaume hawana hizi. Lunch wanatafuta cheapest wanakula lunch, ila sie sasa kazi ipo! Lazima ule sehemu yenye hadhi kidogo! Sasa pale unaacha 8000 hadi 10000 kila mchana! Matoke katikati ya mwezi diet inaanza, mwishoni inaisha! Hapo coz unakula juu unajiona wa maana kinoma unasahau wanaokula vichochoroni wana nyumba 2 wakati mie banda sina! Usipite mchango wa harusi usichange! Simu gani ikupite? Birthday lazima ushushe party la nguvu! In the end 5 years kazini nothing to show for it. Budget ili usave ndo new agenda!

Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.

All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.

umegonga Ikulu dada....maneno kuntu kabisa!!!!
 
nzuri sana kwa wadada
haswa wanaopenda party party ni mitoko kila wikiend

akienda party hii lazima kila kitu kiwe kipya kuanzia wigi,kucha,mikope ile,apitie saluni afanye miscrub apake kucha rangi,kiatu kipya ,pochi mpya hapo kwenye gauni sasa laki 1,

pia hiii ipo sana kwa wadada wasio jiamini kwa sababu atataka aonekane mzuuiri wakati si kweli ama alivyo hivyo hajiamini hii tunaita kutokujiamini hivyo unakuta kila kitu katika mwili wake ni cha kunua(uzuri wa kutengeneza)

binafsi ama guud sinaga hizo expenses sababu najiamini hata nikienda part(ya muhimu kama harusi ya watu wangu wa karibu) always niko simple sababu najiamini
 
Nimeona aibu kama unanisema mimi, au unanijua nini ndio unanipa vijembe vya live live?
sijui nianzie wapi kujirekebisha maana najiona too late

Take action my dear, the only time you've is NOW, LATE is just an imaginary phenomenon.
 
Safi sanaaaaa mtoa mada! Na hiyo ndio njia nzuri zaidi ya kujiendeleza
 
Good article.

Mwenye macho haambiwi tazama, mwenye njaa haambiwi kula.
 
Ninaamini thread na maneno haya haya yangetolewa na mwanaume/mkaka ingekuwa gumzo kama vile "lazima kuwe na tofauti kati ya ME na KE", "mwanaume ameshindwa kuhudumia hivyo anakuja kutafuta sympathy" na maneno mengine mengi.

Lakini kutoka kwa KE, inafundisha zaidii, mkuu lara 1 hongera kwa thread makini.

Bado kwa sasa kuna matumizi ya urembo mf. Kucha, nywele, n.k mengine ni simu hasa vocha/muda wa maongezi kuwa na simu nyingi(za bei ghali) n.k

Thread yako ni fundisho tosha kwa wadada, wake zetu..sadly si wote waweza kuwa ba utayari wa kubadilika.
 
Last edited by a moderator:
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Wanawake wengi haswaa wa mjini, tena tunaofanya kazi , na kupenda kwenda na wakati kimjini mjini mishahara yetu HAIONEKANI! Unaweza hisi umetupiwa chuma ulete! Kumbe walaa wenyewe tu!

Si jambo la kushtua wala kushangaza kukuta mkaka mmeajiriwa wote mnalipwa 400,000 kwa mwezi, ila mkaka ana kijumba Mbezi Luis na mkopo wa gari anakaribia kuumaliza, ana mke, watoto na ndugu kibaoooo, na anaishi maisha mazuri tu. Ila wewe bi dada mwenzangu na mie umeolewa pesa yako ni yako ama hujaolewa umepanga zako, miaka nenda rudi huna kitu chochote to show that you worked and invested. Holaaaaaaa! Mimi nilivojiriwa fresh from school nilikuta watu wan 5 to 6 years kazini haswaa wadada ila hawana cha kuonesha pamoja na mshahara na vibuzi vyote! Ila wakaka hela hio hio wamejenga, wengine hadi nyumba 2. 3 years na mimi nimejikuta in similar situation! Ndo nilipojiundia jopo la kujichunguza Pesa yangu inaenda wapi? Nikaanzisha DAFTARI/DIARY!!!!!!!!!

Hamaaaaaad! Laki si pesa millioni deni! Kila nachonunua naandika afu mwisho wa mwezi nikajumlisha! Mmmmmmmh! Usitake hata kujua outcome coz ni mambo ya aibu! Ila nimegundua wadada wengi pesa inaishia huku

Nguo, Viatu, Mipochi, Perfume Vipodozi!!!!!!!! Ile zana coz unafanya kazi unakuwa obsessed kuvaa vitu vya ukweli daily, midosho na supra za kariakoo za bei chee huzitaki ndo pesa inakomalizikia. Saivi pamba claassic za town gown 50,000- 80,000, viatu ni 40,000-70,000, suruali na skirt kwenye 20,000/=, mipochi imesimamia 50,000 mpaka 150,000, perfume designer feki original zinasimamia 70,000 mpaka 150,000. Yaani laki si pesa million deni! Ukijilipua shopping kuteketeza 300,000 sio ishu, sasa hapo si kimshahara kimeisha!!!? Afu trend hazidumu, nguo ikakaa kidogo inaisha fashion inabidi uanze upya ku update closet ama wardrobe yako. Ndo mwaka unaisha unafanya kazi ya kufukuza upepo wa fashion!

Kumaintain Class fake ile mtu unakuwa matawi ya juu. Wanaume hawana hizi. Lunch wanatafuta cheapest wanakula lunch, ila sie sasa kazi ipo! Lazima ule sehemu yenye hadhi kidogo! Sasa pale unaacha 8000 hadi 10000 kila mchana! Matoke katikati ya mwezi diet inaanza, mwishoni inaisha! Hapo coz unakula juu unajiona wa maana kinoma unasahau wanaokula vichochoroni wana nyumba 2 wakati mie banda sina! Usipite mchango wa harusi usichange! Simu gani ikupite? Birthday lazima ushushe party la nguvu! In the end 5 years kazini nothing to show for it. Budget ili usave ndo new agenda!

Kutoa pesa ovyo na ukarimu kupitliza! Wanaume pesa yao haitoki ovyo ovyo ni kwa mahesabu, ila wadada sasa, mtu akikuomba ushamkirimia 20, mdogo wako akikupiga kizinga umemkirimia msimbazi, bi mkubwa akikohoa umezama kwenye wallet. Sherehe ukialikwa ushazama kwa mchango na zawadi, kuterat marafiki weekend, kufanya mabo ambayo pesa inatoka hakuna inachoingiza! Matokeao yake wale uliwakirimia wanaanza flani hamna kitu pale, unaona mdogo wake keshajenga, huyo dogo hawapi hata kumi.

All in all wadada tuna spending issues! Yaani unashika hela ila haionekani, it better tukajifunza bajeti kali kama wenzetu. Mwnaume nguo alizo nazo hakuna inayozidi, zote zinavaliwa, ila sisi nguo hujaivaa miezi 3 na bado unanunua! Viatu pair 50!!!!!!! Hadi unaulizwa hivi vote unavaa? Tuwaze uzee wajameni! Ujana maji ya moto! Tuinvest tuishi kwa amani. Kazi za watu hizi zinaisha any time.

Hii ni miongoni mwa post bora ulzowahi post, zile post zako za kubwa la maadui mhhh, huwa hata husomeki sometimes! Thanks by the way
 
nzuri sana kwa wadada
haswa wanaopenda party party ni mitoko kila wikiend

akienda party hii lazima kila kitu kiwe kipya kuanzia wigi,kucha,mikope ile,apitie saluni afanye miscrub apake kucha rangi,kiatu kipya ,pochi mpya hapo kwenye gauni sasa laki 1,

pia hiii ipo sana kwa wadada wasio jiamini kwa sababu atataka aonekane mzuuiri wakati si kweli ama alivyo hivyo hajiamini hii tunaita kutokujiamini hivyo unakuta kila kitu katika mwili wake ni cha kunua(uzuri wa kutengeneza)

binafsi ama guud sinaga hizo expenses sababu najiamini hata nikienda part(ya muhimu kama harusi ya watu wangu wa karibu) always niko simple sababu najiamini
Muonekano wake unakua hauakisi maisha yake asilia, ingekuwa na upande wa misosi (balanced diet) watu wanajali ingekuwa poa sana
 
Anza kwa kuandika kila unachinunua, kisha fanya tathmini kila wiki.
Mimi nilianza kuandika nikiwa mwaka wa kwanza chuo. Hatari ni kwamba unaweza kuwa bahili wa kupindukia. Baada ya miezi kadhaa kubana matumizi inakuwa sehemu ya tabia. Nakumbuka nilikuwa nakunywa chai na kiporo asubuhi, kisha pasi ndefu hadi nirudi gheto usiku wa saa nne, ndipo tupike tule. Ilifika wakati natumia Tsh. 350,000/- kwa semester nzima (kodi ya chumba, umeme, maji, chakula, stationeries, vocha n.k). Nilikuwa mchumi hata jamaa zangu wa karibu walilijua hilo, ila kwa kuwa ni mwanaume na ni Mchaga,hawakushtuka sana.

nakupa tano mkuu, mm napiga chai na leftover ya ubwabwa, nikizama chuo mm nikubadilisha class tu. bjet ya semister laki 175 tu.
 
ujumbe mzuri sana lara kitu kinachonimalizia pesa ni nywele tu kuvaa mawigi sipendi na kusuka twende kilioni ni ngumu kwangu pagumu hapo wallah ingawa bado sina majukumu mengi nitaanza kusave
 
Tumia kanuni hii itakusaidia "ukipata pesa hata iwe ndogo anza kwanza ku save inayobaki tumia kwa busara" kumbuka siku zote pesa huwa haitoshi,"pesa uliyo save think something to invest in that will bring money again in circle".
 
Back
Top Bottom