Female financial economics! Jinsi wanawake tunavoteketeza mamillion kwenye vitu visivyo na tija!

Female financial economics! Jinsi wanawake tunavoteketeza mamillion kwenye vitu visivyo na tija!

Yaani mpendwa umenigusa mimi nafikiri na wengine pia ila nilishajitambua kitambo kidogo, yaani kuna siku nilitumia 1m kwenye viatu,wigs na body lotion sasa kasheshe hayo mafuta ya ngozi yakaniaribujeeee nikaikumbuka Dove body lotion yangu na kujuta juu!!!!!!!!!!!!!!!!!
pole mama ndo madhara ya kutokujitambua, hongera pia kwa kuchukua hatua
 
Umesahau na nywele zenu za bandia zinanyofolewa maiti ya Brazil. Nywele unanunua hadi za laki?
 
kabisa my dear, tena kwa mwanamke kushusha maendeleo ni very simple kuliko mwanaume, sema tu tunaendekeza matumizi yasiyo na umuhimu!!!!
leo mmeligundua tatizo mpunguze kupiga yale mawigi makubwa mtu anakuwa kama kabeba wingu kichwani kiasi cha kupepesuka akitembea.
 
Back
Top Bottom