Fezza Kessy ajinadi live live

mbona povu chief, ni dada yako nn [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kashaolewa huyu binti? nilikuwa nampendaga wakati yuko BBA
Mh!wanaume wameweka mgomo ataishia kuhudhuria harusi za wenzie wewe unazani kuna mwanaume anaeweza kuoa mwanamke wa akili hii
 
Uku ni kujikubali nako
Sikuwa najua...ila unaweza ukajikubali for nothing ndo kama huyu bidada kujikubali si vibaya ila kavuka mipaka aisee
 

Huko insta kuna mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…