Virtual Private Network ni aina ya network ambayo ina "encrypt"(inazificha) taarifa zote unazotuma na kupokea katika internet ama network yeyote kwa kutumia keys(private na public keys).
Protocols ambazo zinatumika ku-encrypt data ni SSL ambayo inatengeneza kitu kinaitwa "tunneling", yaani kwenye internet kuna devices nyingi ziko interconnected sasa vpn inakuwa inatengeneza kitu kama hole (tundu) la kupitisha data kwa hiyo networks nyingine zinakuwa ni ngumu kuona zile data na pia vpn inafanya device ionekane ipo location nyingine kwa kupewa IP tofauti.
Nadhani hiyo inaweza kukusaidia kuelewa ninachokieleza.
Moja ya kazi kubwa ya vpn inasaidia ku-access blocked website ndani ya nchi husika.
Ndio ila kabla ya matundu kuzibwa hii kitu humuhumu jf ilitumika kwa ajili ya free internet, tafuta nyuzi zamani za vpn humu jfAhsante sana. Swali dogo, tunatumia mbs hizi za kawaida?
Virtual Private Network ni aina ya network ambayo ina "encrypt"(inazificha) taarifa zote unazotuma na kupokea katika internet ama network yeyote kwa kutumia keys(private na public keys).
Protocols ambazo zinatumika ku-encrypt data ni SSL ambayo inatengeneza kitu kinaitwa "tunneling", yaani kwenye internet kuna devices nyingi ziko interconnected sasa vpn inakuwa inatengeneza kitu kama hole (tundu) la kupitisha data kwa hiyo networks nyingine zinakuwa ni ngumu kuona zile data na pia vpn inafanya device ionekane ipo location nyingine kwa kupewa IP tofauti.
Nadhani hiyo inaweza kukusaidia kuelewa ninachokieleza.
Moja ya kazi kubwa ya vpn inasaidia ku-access blocked website ndani ya nchi husika.
Visual # Virtual
Kwa nini inaitwa VIRTUAL network wakati ni network ya ukweli?
Kwa mfano uliotumia wa COCA COLA Company, wafanyakazi au ofisi za kampuni popote duniani wanaweza kukutana ( kuwasiliana na ku access data za kampuni kwenye network moja), at the exclusion of all other unathorized guests, which means ni network ya ukweli.
Why VIRTUAL?
Ngoja waje
Ngoja waje
Jf ina watu weledi sana,ila wengine hovyo kabisa kama tundu la kutolea aja kubwaNi silaa hatari ambazo anazitumia mange kimambi endapo watazima mtandao popote pale
Kama mama yako aliye kuzaaJf ina watu weledi sana,ila wengine hovyo kabisa kama tundu la kutolea aja kubwa
Liquid crystal displays , kioo majimajiAsante mkuu na hili neno LCD ktk monitor huwa linamaanisha nini na nini hasa hii maana utaskia hii ni LCD Mara LED,