Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Argue rationally, rather than emotionally. Ushabiki mwingine ni hovyo kabisa.
Nani alisema kumpa mtu mkono ni kumtukuza???

Halafu ungetoa mawazo yako bila kutumia lugha chafu yenye kukera kusoma usingeeleweka??
kama kumpa mkono si kumtukuza kwa nini usipo mpa iwe nongwa ichukulie kawaida unalalamika nini sasa
 
Kibri ya kujificha wewe umeijuaje?

halafu swala la kutotoa mkono hili mimi nalihesabu kama slogani mahususi kulinda heshima ya mziki wake.

Mziki wa hapa bongo bila bifu ni ngumu kutusua, ukifatilia wasanii waliopata mafanikio hapa bifu lilihusika kwa namna fulani, mfano mr nice na dudu baya bila bifu hapa mr nice asingeweza kutusua. Hii nimeiona hata kwenye bongo movies kuna kipindi fulani kulikua na battle kati ya kanumba na ray yaani ni battle ambayo inawagawa mashabiki kuweka upinzani kama wa simba na yanga


Binafsi naamini alikiba na diamond hawana bifu ila bifu liko kwa mashabiki wa hizi timu mbili. Bifu lao ni kama battle yaani lime base kimuziki sio katika maisha ya halisia, mfano bifu ya tory lanez na joyner lucas hua inaishia kwenye mziki tu lakini hainamaana kama wanachukiana

Pengine alikiba angetoa mkono kumpa diamond angepunguza upinzani na kuonekana kama hawana bifu ni acting tu kwa ajili ya manufaa yao kimuziki.


Kuhusu fid q

Kiukweli nilikua namkubali sana fid q wa "ielewe mitaa", "propaganda" na latest "sumu" fid Q wa sasa kalegeza mno yaani nilishangaa naye ameanza mipasho kama ya afande sele kuchambana na wasafi
"Hii yote baada ya kuoa"
 
kibongo bongo ukifanikiwa utachukiwa na ulowazd bila sabab xa mi hua najiulz je wahusika wanahc chuk itapunguz rizk ya unaemchukia...?, tujifunz kuwapenda w2 ili 2barikiw nasi

Kwa nini unaandika hivi? Una matatizo ya ubongo?
 
Alichofanya harmonize ni ushamba.

Mi sio shabiki kabisa wa ally kiba lakini hata wewe utaonaje ukiwa umeenda msibani na muislamu mwenzako (harmonize) amekuja kavaa mahereni mabodyguard kibao n.k kama anaenda kupiga show kinyume kabisa na maadili yetu ...

Ni kheri walivyoondoka maana inaonyesha wazi kabisa bwana mdogo alikuja kuvimba na sio kuzika
 
kama mlikuwa hamjui wale walionyanyuka na Kuondoka na Alikiba ndio bodyguard wake akiwemo na fid q
 
maisha bila fitna hayaendi lakn muda mwingine kwenye shughuli ya kijamii mfano hapo msibani walitakiwa wasionyeshe tofaut zao
 
Back
Top Bottom