Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Fid Q nani kakuloga? Umeanza kurithi ujinga na Chuki za Ali Kiba dhidi ya wasanii wenzake! Walichokifanya msibani ni kitendo cha kijinga na kishamba!

Alichofanya harmonize ni ushamba.

Mi sio shabiki kabisa wa ally kiba lakini hata wewe utaonaje ukiwa umeenda msibani na muislamu mwenzako (harmonize) amekuja kavaa mahereni mabodyguard kibao n.k kama anaenda kupiga show kinyume kabisa na maadili yetu ...
[\b]

Ni kheri walivyoondoka maana inaonyesha wazi kabisa bwana mdogo alikuja kuvimba na sio kuzika

maadili yetu yapo wapi nikayasome ??
 
Kibri ya kujificha wewe umeijuaje?

halafu swala la kutotoa mkono hili mimi nalihesabu kama slogani mahususi kulinda heshima ya mziki wake.

Mziki wa hapa bongo bila bifu ni ngumu kutusua, ukifatilia wasanii waliopata mafanikio hapa bifu lilihusika kwa namna fulani, mfano mr nice na dudu baya bila bifu hapa mr nice asingeweza kutusua. Hii nimeiona hata kwenye bongo movies kuna kipindi fulani kulikua na battle kati ya kanumba na ray yaani ni battle ambayo inawagawa mashabiki kuweka upinzani kama wa simba na yanga


Binafsi naamini alikiba na diamond hawana bifu ila bifu liko kwa mashabiki wa hizi timu mbili. Bifu lao ni kama battle yaani lime base kimuziki sio katika maisha ya halisia, mfano bifu ya tory lanez na joyner lucas hua inaishia kwenye mziki tu lakini hainamaana kama wanachukiana

Pengine alikiba angetoa mkono kumpa diamond angepunguza upinzani na kuonekana kama hawana bifu ni acting tu kwa ajili ya manufaa yao kimuziki.


Kuhusu fid q

Kiukweli nilikua namkubali sana fid q wa "ielewe mitaa", "propaganda" na latest "sumu" fid Q wa sasa kalegeza mno yaani nilishangaa naye ameanza mipasho kama ya afande sele kuchambana na wasafi
hapo kwenye mr nice umedanganya..Tengua kauli
 
Fid q mwishonwake umefika anatapatapa na haamini kinachotokea
 
Mnao support huyo konde boy ni wapumbavu kiwango cha Lami kama una chuki na kiba Sema mengine lakin sio kuhalalisha aliyoyafanya Konde boya huwez kwenda msiban ghafla na ma body guard na waandishi halafu watu waanza kuambiwa wawapishe shughuli yenyewe ipi uswahili misiba hii ya kiislam hainaga hata pa kukaa VIP umeenda kuleta vurugu...mtoto wa kiislam marangi kichwan....kama unamkubali mtu mkubali kwa kazi zake na kama unamchukia mtu mchukie kwa kaz zake, Kina kiba alionesha uungwana kumuachia uwanja jamaa afanya yaliyomleta sababu walikuwepo pale muda wote na palikuwa pametulia tu..!..usihalalishe hata upumbavu sababu tu mtu unampenda Konde boya namkubali ila alichofanya sio ubinadamu ile sio shighuli ya lwenda kufanya show off hana u star wa mtu kumvizia had misiban
 
Mnao support huyo konde boy ni wapumbavu kiwango cha Lami kama una chuki na kiba Sema mengine lakin sio kuhalalisha aliyoyafanya Konde boya huwez kwenda msiban ghafla na ma body guard na waandishi halafu watu waanza kuambiwa wawapishe shughuli yenyewe ipi uswahili misiba hii ya kiislam hainaga hata pa kukaa VIP umeenda kuleta vurugu...mtoto wa kiislam marangi kichwan....kama unamkubali mtu mkubali kwa kazi zake na kama unamchukia mtu mchukie kwa kaz zake, Kina kiba alionesha uungwana kumuachia uwanja jamaa afanya yaliyomleta sababu walikuwepo pale muda wote na palikuwa pametulia tu..!..usihalalishe hata upumbavu sababu tu mtu unampenda Konde boya namkubali ila alichofanya sio ubinadamu ile sio shighuli ya lwenda kufanya show off hana u star wa mtu kumvizia had misiban
Acha uongo bana Harmo alikwenda na walinzi wake hakwenda na waandishi bali waandishi ndio walikuwa kwenye msiba.
 

HiCHi kimakonde kina mambo za ajalbu sa
Sema hawa dabiliusibii nao wanapenda sana 'attention', kaja na hao mabodigadi utafikiri labda kuna tishio fulani dhidi ya uhai wake, mbwembwe nyiiingi, watu wapo msibani unakuja na show-off za kishamba, who is Harmonize by the way? Haoni wenzake akina Shetta wapo bize kuhudumia waombolezaje, kawapita moguls Kiba na Fid hapo kama hawaoni, kesho hawahawa ndo unasikia anaumwa sana anahitaji watu wamchangie! Tujifunze kuishi maisha ya kawaida na kuachana na kiki misibani! Shwain!

Kimakonde kina mishe za ajabu sana hafu msibani wanavaa hivyo

Rubbish mi ningefufuka nikizabe makofi ..nyenyenye
 
kama kuna watu misukule ni hawa wanaomshabikia diamond na WCB yake. Hawa wanaongoza kwa kulalamika WCB wanaonewa wakati huo wanakwambia wcb ndio imeteka soko la mziki. Yaani upuuzi upuuzi tu
Tunaheshimu mawazo yako
 
Kuna watu tangu alipoimba kusifia chama tawala basi wanamuona kama ni wa kwao hatakiwi kabisa kuguswa! Kuna watu ni wanafiki sana, critics ndizo zinazomjenga mtu badala ya kusifia tu kila kitu na kutetea hata makosa! SMH!
 
Back
Top Bottom