Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

Fid Q : The King of Plagiarism of all the time

mpaka tunakwenda mitamboni Fid Q pamoja na uzuri wake ktk mistari hajamfikia Moko wa Miujiza hata kwa mita 200. Fid aliwai kutoka na Kuwait kupewa heshima na nyimbo zake huzitoa kwa muda mrefu kutengeneza public demand lakini miujiza ya uandishi ipo kwa Moko na flow ipo Stereo
naona mnajilinganisha tu na fid..siyo FA wala AY..hii inaonesha fid ni nani
 
Nakumbuka kuna msemo mmoja alikuwa anaupenda sana mwalimu wangu wa kishwahili naye aliutoa kwenye kitabu nimekisahau s "akupigae ngumi ya jicho nawe mpige ya sikio" nikaja kuukuta kwenye ngoma ya Fid Q ile ya kwanza kabisa...watoto wadogo naonutawaskia fid q....
we mnafiki tu..hakuna kitabu chenye msemo huo
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Muongozaji mkongwe wa video hapa Tanzania, Adam Juma amedai kuwa watumiaji wengi wa mtandao wa Instagram wanamatatizo kiakili.

Kwani wapo kwenye mtandao huo kwa lengo la kufuatilia umbea. Adam Juma ametoa kauli hiyo, baada ya jana kuposti picha ya Boss wa Clouds Media, Ruge Mutahaba kwenye mtandao huo akimpa pole ya kuugua.

Baadhi ya Watumiaji wa mtandao huo, walimshambulia wakidai ameposti picha hiyo kinafiki. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Adam Juma ameandika "Kuna sababu kubwa huwa sipendelei kushinda instagram, asilimia 80 ya watu insta ni wehu ambao hawana kazi na kupenda udaku. Mara nyingi mimi hutumia instagram kusema jambo linalonisumbua au kunifurahisha, jana niliandika ujumbe kuhusu ruge. Naomba nitoe ufafanuzi kidogo sababu kuna ujinga unaendelea usio na manufaa yoyote maandiko yangu naomba yasitumike kumshambulia mtu yoyote au chombo chochote kile kwani itakua kunikosea heshima.

Kumpa shukrani binadamu mwenzako sio dhambi, kum shukrani haimanishi kila kitu kisimame katika maisha hapana. Sio kila kitu katika maisha yetu ndio iwe bifu tena hizo ndio style za ki clouds clouds, yes labda nirudie ki CLOUDS CLOUDS. Wasanii wengi wanajua uhusiano wangu mimi n ruge sio mzuri kwa vitu vilivyotokea nyuma ambavyo hata wewe mtu uliyeko kwenye ista hujui chochcote ila hii haimanishi simheshimu Ruge.

Naomba ieleweke yakua kuna mihili katika tasnia na panapokesekana muhimili 1 tu basi mapungufu ni makubwa mno mno. Kinachofanyika sasa hivi mimi binafsi nakiponge kwani kinawapa wasanii fursa na kipato. Msanii akienda kwenye FIESTA , WASAFI festival au kingkiba tour atapata kula yake kitu ambacho ni bora katika tasnia.

Tusitengeneze makundi eti ki huyu kaperform huku basi tumtenge tutakua hatuna tafauti na siasa zile za clouds tunayoijua Mwanaume wa kweli katika vita ni yule ambaye anaweza kusimama na adui wake na kumuangal usoni huku akimpa pole kwa ngumi aliyomtandi kichwani na kumshukuru kwa kumpa fursa ya kupigana naye.

Narudia tena naomba maneno yangu yasitumike kurusha vijembe kwenye kam zenu za ugomvi.

Get well RUGE.
 
tusahameane ndo uwezo wangu ulipoishia ktk kuuliza maswali ya kipumbavu kama haya amabyo majibu yake ya kiuwelevu bado nilikuwa nasubiri
unamjua bergkamp wa arsenal!!?..tumia akili vizuri
 
Kwenye maisha kila mtu anavipaumbele vyake, ndio maana kuna wengine hawataki kuona bila ya kujenga nyumba na kuwa na gari na wengine akishapanga kageto na godoro bila hata ya kitanda anavuta mtoto ana serebuka nae daily. Shwala la FID Q kutokuwa na gari inawezekana gari siyo kipaumbele chake kwa sasa
Fid kutokua na Gari ni maamuzi yake binafsi tu,kuna kisanga kiliwahi mtokea ndo maana mpaka Leo hataki kabisa kumiliki gari
 
Mim sitegemei et fid Q kama anafikiria kukubalika na watu wote, kama ana mashabik wengi bas yupo sahih kwa anacho kifanya
Mtu kama hatak bas akabishane na baba yake, Tanzania tupo bize na kubanjua korosho sasa iv
 
Hakuna mtu anaimba mistari yenye Akili ya Hip hop kama fid q na mpaka umuelewe nini anamaanisha lazima umsikilize zaidi ya mara mojaa...! Wewe bogus huo mstari mmoja tu kwenye wimbo mmoja unakuja kufungua uzi humuuu...unataka kusukumiwaa motooo wewe... Kile kichwa Bongo HAKUNAAA...!
 
Ktk autro cjui... h h h aa
Nyie huwa mnasikiliza hip hop kweli? Mbona kumu akcnowledge MTU kwenye hip hop it's so easy na mifano IPO mingi sana.

Mfano Snoop sogg mwaka 94 kuna ngoma ambayo ndani yake anasema " we dont love them hoe" 50 mwaka 2009 kwenye track ya Eminem Anthem of the Kings anasema " Snoop said this in 94 we dont love them hoes"
Kuna track moja ya kibongo dogo anasema " Karibu kwangu pamoja nawe tuishi.
Am not a playboy kama Niki Mbishi,
Sitowapanga kwangu muwe wawili
Coz am a good boy kama Nikki wa pilli"

Its so easy hata Mimi na uchawi wangu naweza fanya track nikamu acknowledge Fa kwenye mstari wake anaosema " Nna nyota ya bundi kupendwa na wachawi"

Mi ntasema " Nna nyota ya bundi kupendwa na wachawi kama vile Fa"
 
Unataka kuwa mimi " basi Forge " hauna code piga chini naitwa landrod ..

mkuu fid Q ni hatari nyingine muache kama alivyo akili yake iko extra miles mnoo " umemvunjia heshima mnoo kumfananisha na some body nikki wa pili " binafsi baada ya Good boy. ,higher . Kiujamaa,, utamaduni wetu ni kuuliza why . " ... hakuna nyimbo nyingine yoyote ya maana ambayo naweza kusema amewahi kuziimba zaidi ya ujinga ujinga tu
 
We jamaa likuda sana kama jina lako lilivyo tu sioni logic yoyote hapa hakuna sehemu fid alishawahi claim hiyo mistari ni his own creation anachofanya ni hip hop representing his own hood yaani kitaa ,as hiphop ni culture ya maneno ,by word of mouth anapresent pia mawazo ya watu !
So quotation na citaton unafanya ww mlaji wa hiyo bidhaa according to ww unavyopambanua mambo!
So hapa unachofanya unatuonesha namna gn ulivyo shallow kweny mziki was hiphop so please nakuomba endelea kusikiliza bolingo na bongofleva za mind na kiba bro huku tuache kdg......
Kwa reference zaidi review nyimbo ya olle chiza upunguze ushamba
I'm out
D
 
jamaa kani saidia nisome vitu vingi, kuna mstari "bandidu kama tsotsi sipigi goti kama PNC" sikua namjua Tsotsi saivi namjua, nilisoma story yake ni muhuni flani wa SA alimuokota mtoto akamtunza kama mwanae, kumbuka PNC alimpigia magoti ndama mutoto ya ng'ombe. Alafu kuna hii "siwezi mcon Oprah kama James Frey" yani ukisoma hiyo story ya Opray na James Frey ilikua issue kweli kweli america, kitabu cha a little million pieces, jamaa aliandika kitabu cha maisha yake akaongeza na chumvi, Opra akamuita kwenye interview bila kumwambia context ya interview akachomekea na hiyo. Mi sioni ubaya wa Fid ila kutoa credit ni vizuri. Tuwape moyo watu wanao soma vitabu.
 
Ataendelea kuwa kinara maana copying and pasting yake anachukua sehemu AMBAZO mwafrika hua hagusi wala kupendelea VITABUNI
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Sidhani kama kuna 'idea' mpya kabisa kabisa Msanii anaweza kuja nayo ili awaridhishe watu wa sampuli yako.

Hata nyimbo za wasanii wakubwa duniani, tayari zilishawahi kuimbwa na wasanii wengine kabla yao, tena wao wamepita mulemule -- bora hata ya Fid Q anayeleta mawazo yake kutoka katika 'quotes' za watu -- lakini bado hakimiliki ni zao.

Mifano halisi ni hii michache:
1. Wimbo YOUNG FOREVER wa msanii mkongwe wa Hip Hop nchini Marekani, JAY-Z ulishawahi kuimbwa miaka ya '80 na msanii NASHVILLE, na ukiusikiliza, Jigga amepita mulemule, lakini bado dunia imemtambua SHAWN CARTER @ JAY-Z kwa ngoma yake hiyo.

2. Wimbo maarufu wa MAD WORLD ulioimbwa na msanii GARY JULES ulishaimbwa na SHADE OF TEARS miaka ya nyuma, na ni vilevile 90%. Kwahiyo ni suala la kawaida kabisa.

Kwa hapa Bongo kuna nyimbo kama Siwema, Sina Makosa, nk. zimekuwa 'severely sampled,' NI SUALA LA KAWAIDA KABISA.

Kwahiyo FID Q is still a genious.
 
Back
Top Bottom