naona mnajilinganisha tu na fid..siyo FA wala AY..hii inaonesha fid ni nanimpaka tunakwenda mitamboni Fid Q pamoja na uzuri wake ktk mistari hajamfikia Moko wa Miujiza hata kwa mita 200. Fid aliwai kutoka na Kuwait kupewa heshima na nyimbo zake huzitoa kwa muda mrefu kutengeneza public demand lakini miujiza ya uandishi ipo kwa Moko na flow ipo Stereo
unamjua bergkamp wa arsenal!!?..tumia akili vizuriKwa hiyo akipaliwa na chakula ? Au akijikwaa na jiwe mguuni?
we mnafiki tu..hakuna kitabu chenye msemo huoNakumbuka kuna msemo mmoja alikuwa anaupenda sana mwalimu wangu wa kishwahili naye aliutoa kwenye kitabu nimekisahau s "akupigae ngumi ya jicho nawe mpige ya sikio" nikaja kuukuta kwenye ngoma ya Fid Q ile ya kwanza kabisa...watoto wadogo naonutawaskia fid q....
unamjua bergkamp wa arsenal!!?..tumia akili vizuri
Fid kutokua na Gari ni maamuzi yake binafsi tu,kuna kisanga kiliwahi mtokea ndo maana mpaka Leo hataki kabisa kumiliki gari
Diamond is untouchableDaah aiseee nikiongea nitaonekana hater ila mbona jina nyegezi lilikuwepo tangu zamani. Huku mdau flan wa music midundo yote anaiga nigeria ila hasemwi
Ndo rąisi wa TanzaniaFid q ndo nani kwani
unakurupuka haukusoma tunaongelea gari, reasonable man tayari amejua ajali ya niniKwa hiyo akipaliwa na chakula ? Au akijikwaa na jiwe mguuni?
Nyie huwa mnasikiliza hip hop kweli? Mbona kumu akcnowledge MTU kwenye hip hop it's so easy na mifano IPO mingi sana.Ktk autro cjui... h h h aa
Ninachosema hiki nakirudia tena.
Huyu jamaa mnamuoverrate sana.
Kibongo bongo ku get away na plagiarism ni rahisi sana...
mnahangaika nae!!..hebu wekeni hit tracks za fid tuone alikokopi..anzeni na propaganda
mbona hakuna cha maana!!?...kusema ukipata watu ndo watakupapatikia tofauti na kipindi huna si msitari wa krs one...ni common sense na vitu vinavyotokea kitaa daily
mnafiki mama ako,umesoma vitabu vyote? shwain!we mnafiki tu..hakuna kitabu chenye msemo huo