Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
kumbe naongea na kikongwe mwenye menopause,pole sana hope hujawa mjane🙌nimesoma vitabu vyote vya kiswahili ndiyo..nilikua librarian miaka ya 90..ndomana nakwambia we binti mnafiki tu,unabetua midomo bure tu humu na tabia zako za kishangingi
Fid q ndo nani kwani[/
Bodyguard wa magufuli
mi nipo na hiphop bongo tangu sele jabir anaiba beat za watu..kipindi hicho mama yako bdo msichana na maziwa yamemsimama..jibu ulichoulizwa
Duhmi nipo na hiphop bongo tangu sele jabir anaiba beat za watu..kipindi hicho mama yako bdo msichana na maziwa yamemsimama..jibu ulichoulizwa
Kwaiyo jamaa anatembea kwa miguu sio? Kama ni kuogopa kununua gari kisa alinusurika ajal ya gari huo kweli ni ungosha,,,sasa mbona anapanda magari bado? Au ajali itampata kweny gali lake tu ?kuna ajali mbaya sana iliwahi mtokea,akanusurika kupona ,tangu siku hiyo akasema hatokaa amiliki gari
Na hapo ndipo wanapo muua huyu jamaa..wanamuaminisha ni mkali sana kumbe sivyo..kuna vichwa vinafanya hiphop bongo huyu fid anakaa kushoto.Ninachosema hiki nakirudia tena.
Huyu jamaa mnamuoverrate sana.
Ngoja Mimi ntakuja mistari yote aliyokopinimesoma vitabu vyote vya kiswahili ndiyo..nilikua librarian miaka ya 90..ndomana nakwambia we binti mnafiki tu,unabetua midomo bure tu humu na tabia zako za kishangingi
Yap huo upo katika album yake I got next, ngoja na Mimi ntakuja kuweka mistari yote aliyokopiA friend.
Umemaliza kila kitu Mkuu.Sijaona tatizo lolote lile kwa yeye kusoma vitabu na kurahisisha yale anayoyapata humo kwa njia ya mistari, nilishawahi kumsikia kwenye interview moja akisema yeye anapenda sana kusoma vitabu, ningeshauri na wasanii wengine wajisomee vitabu ili waimbe vitu vinavyoeleweka, pia nikukumbushe mdau, kusoma kitabu au vitabu ni jambo moja na ule ufundi wa kuunganisha hayo mawazo katika mtitiriko unaoeleweka na yakaimbika ni jambo jingine, hivyo tusiwabembeze wasanii wanaojisomea kaka, sijajua pia kama ulitaka kila mwisho wa wimbo pawe na references na ziwekweje.
😎Fid q ndo nani kwani