Anyways kama ni kweli ujumbe umfikie ajirekebishe
WATU WATAKUHUKUMU UFANYE MAZURI AU MABAYA[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Haya ni majungu hakuna ujumbe hapoo...
Acha kutuongea wewe yule alikuwa anabadilisha nyimbo za Krs one muulize pfunky hata beat ya krs one walishirikiana kuiba na kubadilisha kidogo ila ni mulemuleNatamani kusema mengi sana.
Ila mnamkosea heshima Fid Q sana.
Huyu ndio ni godfather wa Hip hop TZ
Kubali au kataa.
Ukweli ndio huo.
BR
Uduzungwa.
Ntajie Mkali wa hip hop bongo mwenye Hits kalii zaidi ya Fid q???Acha kutuongea wewe yule alikuwa anabadilisha nyimbo za Krs one muulize pfunky hata beat ya krs one walishirikiana kuiba na kubadilisha kidogo ila ni mulemule
Nitakutajia vichwa vya hip hop bongo na siyo hits za kukopi,fid q niliacha sikiliza nyimbo zake miaka mingi tangu alipotoa ft na nature agosti 13Ntajie Mkali wa hip hop bongo mwenye Hits kalii zaidi ya Fid q???
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hao vichwa unadhani hawataki kuhit na kuuza kama fid q?? So mziki ni kipaji mzee huwezi tengeneza beat mpya kabisa leoo...huwezi imba mistari ambayo haipo kabisa tena Fid q ndo anamistari mingi ya kutunga kwenye nyimbo zake kuliko hao hip hop wenuNitakutajia vichwa vya hip hop bongo na siyo hits za kukopi,fid q niliacha sikiliza nyimbo zake miaka mingi tangu alipotoa ft na nature agosti 13
Atakopi na akuimbie wewe siyo mimi.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hao vichwa unadhani hawataki kuhit na kuuza kama fid q?? So mziki ni kipaji mzee huwezi tengeneza beat mpya kabisa leoo...huwezi imba mistari ambayo haipo kabisa tena Fid q ndo anamistari mingi ya kutunga kwenye nyimbo zake kuliko hao hip hop wenu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]niki mbishi atakutungia usikilize mwenyewe...!Atakopi na akuimbie wewe siyo mimi.
ungevitaja mkuuNa hapo ndipo wanapo muua huyu jamaa..wanamuaminisha ni mkali sana kumbe sivyo..kuna vichwa vinafanya hiphop bongo huyu fid anakaa kushoto.
mbona hata kutaja hujataja umeishia kurusha mate tu mkuuNitakutajia vichwa vya hip hop bongo na siyo hits za kukopi,fid q niliacha sikiliza nyimbo zake miaka mingi tangu alipotoa ft na nature agosti 13
Sasa unataka nikupangie kama wewe unavyotaka kunipangia?wewe msikilize huyo mimi simsikilizimbona hata kutaja hujataja umeishia kurusha mate tu mkuu
ina maana hao vichwa wako ambao hawasikiki wameshindwa hata kukopi nao wasikike??
"me ni high level,sio high level ndo mana hunioni,wulize wenzako fid q yuko juu zaidi yako homi"
Niki mbishi ndo nani?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]niki mbishi atakutungia usikilize mwenyewe...!
Sasa wew mwanahip hop gani unaemuongelea???[emoji23][emoji23][emoji23]Niki mbishi ndo nani?
nimekuuliza niki mbishi ndo nani???Sasa wew mwanahip hop gani unaemuongelea???[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda uniambie mwana hip hop gani unamuongelea.. Wakazi unaongelea au???nimekuuliza niki mbishi ndo nani???
"mi Ni high level siyo high label....mbona hata kutaja hujataja umeishia kurusha mate tu mkuu
ina maana hao vichwa wako ambao hawasikiki wameshindwa hata kukopi nao wasikike??
"me ni high level,sio high level ndo mana hunioni,wulize wenzako fid q yuko juu zaidi yako homi"
Kabisa Mkuu!!!Kwa kuwa umesema hakuna kazi rahisi kama anayofanya Fid q, ningeomba uniquote kwa verse hata moja tu ya kucopy kwenye vitabu au kutranslate popote pale kuthibitisha madai yako.
NB : Ukishindwa leta verse it means jamaa is the best na hicho kinamfanya kuwa Fid Q. Kushindwa kuleta verse maana yake anachofanya ni kitu kigumu na sio rahisi kama unavyotaka kuaminisha watu.