Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angegoma kukaa golini
Misri atafika mbali usiendelee kuteseka sasa
Yaani kufuzu tu mtihani ndiyo akafanye vizuri mbele ya wababe wa ulaya kweli?Mimi ni big fan wa Algeria and Morocco, japo nimeumia sana kutolewa kwa Algeria.....Algeria anafanya vizuri w/c, huyo Cameroon sina imani nae kamanda, yani hata 16 bora hawaingii, mark my words!
Wenzako washapangiwa kundi A, wewe endelea kulalama.Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu
Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti
Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafu
Yaani leo uwanjani kulikuwa hivi...Dunia nzima imeshangaa
View attachment 2168706
Yaani kufuzu tu mtihani ndiyo akafanye vizuri mbele ya wababe wa ulaya kweli?
Aliye perform ndiye aliyeshinda au wewe ulionaje?Uliangalia mechi ya Algeria na Cameroon kweli? Nani ali-perform hiyo game?
Kwenye mpira kuna muda asiyeshinda sio yule bora.. bahati pia inachangia, kama ni mtazamaji wa mpira utajuaAliye perform ndiye aliyeshinda au wewe ulionaje?
Acha ubaguzi kila mtu anashabikia anachokitakaUnapata wapi nguvu za kuwalilia waarabu dhidi ya watu!
Aliye perform ndiye aliyeshinda au wewe ulionaje?
Unapata wapi nguvu za kuwalilia waarabu dhidi ya watu!
Waarab wakifanya haya kwa waafrika waafrika mnashangilia ila wakifanyiwa waarab mnakasirika, hivi waafrika mna akili gani nyie?Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu
Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti
Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafu
Yaani leo uwanjani kulikuwa hivi...Dunia nzima imeshangaa
View attachment 2168706