FIFA inatakiwa kuwaondoa Senegal World Cup kwa mchezo mchafu dhidi ya Egypt

FIFA inatakiwa kuwaondoa Senegal World Cup kwa mchezo mchafu dhidi ya Egypt

Hakuna watu wenye michezo michafu katika soka kama hao waarabu.
 
Misri atafika mbali usiendelee kuteseka sasa

Mimi ni big fan wa Algeria and Morocco, japo nimeumia sana kutolewa kwa Algeria.....Algeria anafanya vizuri w/c, huyo Cameroon sina imani nae kamanda, yani hata 16 bora hawaingii, mark my words!
 
Mimi ni big fan wa Algeria and Morocco, japo nimeumia sana kutolewa kwa Algeria.....Algeria anafanya vizuri w/c, huyo Cameroon sina imani nae kamanda, yani hata 16 bora hawaingii, mark my words!
Yaani kufuzu tu mtihani ndiyo akafanye vizuri mbele ya wababe wa ulaya kweli?
 
Kama umeshaona movie Django: unchained huyu mtoa mada ndio yule mzee black snitch flani hivi
 
Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu

Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti

Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafu

Yaani leo uwanjani kulikuwa hivi...Dunia nzima imeshangaa

View attachment 2168706
Wenzako washapangiwa kundi A, wewe endelea kulalama.
0_FIFA-World-Cup-Qatar-2022-Final-Draw.jpg
 
Unapata wapi nguvu za kuwalilia waarabu dhidi ya watu!
 
Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu

Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti

Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafu

Yaani leo uwanjani kulikuwa hivi...Dunia nzima imeshangaa

View attachment 2168706
Waarab wakifanya haya kwa waafrika waafrika mnashangilia ila wakifanyiwa waarab mnakasirika, hivi waafrika mna akili gani nyie?
 
Back
Top Bottom