Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Hawa waarabu majinga sana acha yatoke tu,kwanza yanacheza mpira wa kijinga jinga muda wote kupoteza muda na kumzingua zingua refa......pili tabia zote kama kuwasha moto viwanjani na kutumia tochi Kwa wapinzani ni wao wenyewe waasisi........ni Raha kuona Algeria na Misri wamechomoka , pamoja na kuwa na wachezaji wenye vipaji ila wanaboa sana kuangalia mechi zao