Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa senegal na nigeria wanatushinda vipi fitina?Ndizo fitina zenyewe hizo Chifu
Yaani hakuna hata mmoja aliyejitokeza kumsapoti. Hakuna cha kolo wala topolo wote wamemsagia kunguni[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. Hadi hurumaNamuombea msamaha mleta thread,si Kwa madongo haya anayoshushiwa[emoji1787]
dunia nzima ipi??? Sisi tumefurahi Sana Egypt kutolewa, tena waanzilishi wa hizo tochi ni wao waarabu, wakafiee mbele,Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu
Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti
Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti.. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafu
Yaani leo uwanjani kulikuwa hivi...Dunia nzima imeshangaa
View attachment 2168706
Ilikuwa vita ya kisasi akina mane citizen waliumia moyoni wakajiandaa kulipiza.Yani wewe mtoa mada ata mpira hufatilii inabaki kuropoka tu. Embu jaribu kufwatilia game ya kwanza uone hao mafarao walivokuwa wanafanya michezo yao hiyo
Misri wamepeleka malalamiko yao FIFA, Senegal wanachomolewaItakuwa wew n fata mkumbo mpira huujui nenda kaangalie bongo movie
Waarabu na michezo sio mchezo🤣🤣Jamaa anawapenda warabu huyu [emoji3][emoji3]
Ripoti za waamuzi ndio za msingi..Misri wamepeleka malalamiko yao FIFA, Senegal wanachomolewa
vp na hawa walifungiwa ?Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu
Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti
Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafu
Yaani leo uwanjani kulikuwa hivi...Dunia nzima imeshangaa
View attachment 2168706
Unafikiri ni rahisi kama kuchukua kadi ya fisiemuMisri wamepeleka malalamiko yao FIFA, Senegal wanachomolewa
Huu haifikii hata robo ya ule uhuni wa janavp na hawa walifungiwa ?View attachment 2168984
Algeria walitolewaTulia wewe Waarabu kwa figisu ndio wanaangoza, Algeria, Morroco na Tunisia watawawakilisha
Atakuwa mchelemcheleJamaa anawapenda warabu huyu [emoji3][emoji3]