Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kimeumana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kuna sheria inasema lazima viwe idadi fulaniHuu haifikii hata robo ya ule uhuni wa jana
Misri wamepeleka malalamiko yao FIFA, Senegal wanachomolewa
Hao waarabu ndo zao hizi hapa ni waliua kwa upanga kinawakuta hicho hicho.
good Senegal..
View attachment 2168750
Misri atafika mbali usiendelee kuteseka sasaSenegal hawafiki mbali
🤣🤣 hivi jana ulijisikiaje ndugu yangu baada ya lile goli la dkk ya mwisho lililoizamisha timu yako pendwa Algeria?Senegal hawafiki mbali
Walichofanya mara ya kwanza hakifiki hata 1% ya uhuni wa janaYani wewe mtoa mada ata mpira hufatilii inabaki kuropoka tu. Embu jaribu kufwatilia game ya kwanza uone hao mafarao walivokuwa wanafanya michezo yao hiyo
Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu
Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti
Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafu
Yaani leo uwanjani kulikuwa hivi...Dunia nzima imeshangaa
View attachment 2168706
Tulia wewe Waarabu kwa figisu ndio wanaangoza, Algeria, Morroco na Tunisia watawawakilisha
Misri wamepeleka malalamiko yao FIFA, Senegal wanachomolewa