FIFA inatakiwa kuwaondoa Senegal World Cup kwa mchezo mchafu dhidi ya Egypt

FIFA inatakiwa kuwaondoa Senegal World Cup kwa mchezo mchafu dhidi ya Egypt

Misri wamepeleka malalamiko yao FIFA, Senegal wanachomolewa

IMG_1387.jpg



Angalia hapo wewe mpuuzi
 
Kwasisi wazee wakubet tunaita both teams to score, warabu hizo ndozao, nawenyewe inabidi wafaidi walicho kiwekeza Kwa miaka mingi.
 
Wanasemaga siku zote muosha huoshwa.

Na kwa walichokutana nacho Egypt jana ndo wataamua sasa wazidishe , wapunguze au wabuni kitu kipya sababu maumivu wameyapata moja kwa moja kitu ambacho hawajazowea.
 
Yani wewe mtoa mada ata mpira hufatilii inabaki kuropoka tu. Embu jaribu kufwatilia game ya kwanza uone hao mafarao walivokuwa wanafanya michezo yao hiyo
Walichofanya mara ya kwanza hakifiki hata 1% ya uhuni wa jana
 
ahaaaa kumbe hata mbumbumbuuu fc wanaweza tumia huu ujambazi kwa wale wa Niger !
 
Nimetizama mpira kati ya Senegal vs Egypt, licha ya mchezo mzuri ulioonyeshwa na timu zote lakini mashabiki wa Senegal wametia aibu

Walikuwa wakiwalenga machoni wachezaji wa Egypt na mwanga mkali wa laser kipindi wanacheza na walipokuwa wakipiga penalti

Hili limewaathiri sana wachezaji wa Egypt hasa kwenye upigaji penalti. FIFA haipaswi kuruhusu uhuni huu, Senegal waondolewe au mechi irudiwe bila mashabiki ili kukomesha tabia hii chafu

Yaani leo uwanjani kulikuwa hivi...Dunia nzima imeshangaa

View attachment 2168706

Piga kimya hujui unazi wa waarabu wakiwa kwao katika mechi kama hzi. Achana na uzi wa kukopi kutoka kwa waarabu
 
Back
Top Bottom