Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Kuchomekea shati au tu kochomekea tu ni ishara ya udhanifu na heshima duniani kote. Hilo linafahamika wazi.
Ukiangalia wachezaji wa mpira kabla 2005 kurudi chini walikuwa na heshima, dhanifu sana kwasababu walikuwa wanachomekea jezi.
Lakini baada ya 2005 FIFA walipoivunja sheria ya kuchomekea na kuruhusu wachezaji kutochomekea vijana wachezaji wamekaa kuhuni huni tu hadi hawafanyi vizuri.
FIFA waliangalie hili. FIFA walikataza pia kuvaa herini, mkufu chain hata wrist band na pete. Kabla ya hapo wachezaji walivaa hivi vitu.
Mchezaji pekee maarufu aliyesalia kuchomekea jezi wakati wote ni Rodri wa Manchester city.
Ukiangalia wachezaji wa mpira kabla 2005 kurudi chini walikuwa na heshima, dhanifu sana kwasababu walikuwa wanachomekea jezi.
Lakini baada ya 2005 FIFA walipoivunja sheria ya kuchomekea na kuruhusu wachezaji kutochomekea vijana wachezaji wamekaa kuhuni huni tu hadi hawafanyi vizuri.
Mchezaji pekee maarufu aliyesalia kuchomekea jezi wakati wote ni Rodri wa Manchester city.