Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
FIFA wamebadilisha sheria nyingi sana. Zamani mchezaji aliweza kumrudishia kipa wake mpira kwa miguu ndani ya 18 akaudaka. Lakini sasa hivi ukifanya hivyo ni free kick. Sheria inaruhusu tu kipa kuudaka kwa kumrudishia kwa kichwa, kifua, goti, paja, mgongo na tako.Sawa Sawa Warudi Tena Kama Zamani Kuchomekea Jezi Ndiyo Wanapendeza Sana
Joto la dunia limeongezeka, zamani Dar hazikuwepo baa za kukaa nje, zilikuwa ndani na nyingine vyumbani, lakini kwa kuwa kiwango cha joto kilikuwa chini haikuwa shida, ujue hazikuwa na feni, usibishe. Siku hizi hata hapo nje bado hapakaliki sasa mchezaji anayetamani avue jezi unataka achomekee! Mlima Kilimanjaro ile barakashia imelika imebaki utosini kama ya muuza madafu.Kuchomekea shati au tu kochomekea tu ni ishara ya udhanifu na heshima duniani kote. Hilo linafahamika wazi.
Ukiangalia wachezaji wa mpira kabla 2005 kurudi chini walikuwa na heshima, dhanifu sana kwasababu walikuwa wanachomekea jezi.
View attachment 2616882
Lakini baada ya 2005 FIFA walipoivunja sheria ya kuchomekea na kuruhusu wachezaji kutochomekea vijana wachezaji wamekaa kuhuni huni tu hadi hawafanyi vizuri.
View attachment 2616876
FIFA waliangalie hili. FIFA walikataza pia kuvaa herini, mkufu chain hata wrist band na pete. Kabla ya hapo wachezaji walivaa hivi vitu.
View attachment 2616865
Mchezaji pekee maarufu aliyesalia kuchomekea jezi wakati wote ni Rodri wa Manchester city.
View attachment 2616853
Na anakera haswa. Namuona Moroko naye kaiga.kama aziz ki anaweka ile bukta kama kavaa chupi..
Kuchomekea shati au tu kochomekea tu ni ishara ya udhanifu na heshima duniani kote. Hilo linafahamika wazi.
Ukiangalia wachezaji wa mpira kabla 2005 kurudi chini walikuwa na heshima, dhanifu sana kwasababu walikuwa wanachomekea jezi.
View attachment 2616882
Lakini baada ya 2005 FIFA walipoivunja sheria ya kuchomekea na kuruhusu wachezaji kutochomekea vijana wachezaji wamekaa kuhuni huni tu hadi hawafanyi vizuri.
View attachment 2616876
FIFA waliangalie hili. FIFA walikataza pia kuvaa herini, mkufu chain hata wrist band na pete. Kabla ya hapo wachezaji walivaa hivi vitu.
View attachment 2616865
Mchezaji pekee maarufu aliyesalia kuchomekea jezi wakati wote ni Rodri wa Manchester city.
View attachment 2616853
Mkuu hapana FIFA haikatazi mchezaji kuchomekea kwasasa l. Ila kabla hapo ilikuwa inakataza mchezaji kutochomekea. Lakini baada ya 2005 ikaruhusu mchezaji anaweza kuchomekea ama kutochomekea. Sasa baada iyo sheria wachezaji wote hawachomekei.Dhanifu ni nini?
Halafu hebu leta kifungu cha hizo sheria za FIFA kinachokataza mchezaji kuchomekea kwa sasa!
Ikibidi ulete reference ya kifungu cha sheria kabla ya mabadiliko 2005 kilichoeleza mchezaji anaruhusiwa kuchomekea pia!
Na kama sheria kwa sasa inakataza iweje Rodri aendelee kuchomekea bila kuchukuliwa hatua?
Mkuu hapana FIFA haikatazi mchezaji kuchomekea kwasasa l. Ila kabla hapo ilikuwa inakataza mchezaji kutochomekea. Lakini baada ya 2005 ikaruhusu mchezaji anaweza kuchomekea ama kutochomekea. Sasa baada iyo sheria wachezaji wote hawachomekei.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama huyu kipa wa yanga ni kama gasho hivi
Sasa huyu shaulile na hili umbo lake hafai kuchomekea, cheki sasa hips na tako zote ziko bampaaaaa,Katika mifano yako umemsahau mwamba huyu hapa, Peter Shalulile. Huyu naye anaendeleza utamaduni uliosahaulika.
Ni kweli mchezaji anayechomekea katika zama hizi anaonekana tofauti sana na ni nzuri katika branding yako hasa kama kiwango chako ni kizuri. Iachwe tu uwe uamuzi binafsi maana marefa walikuwa na kazi za ziada kuwaadhibu wasiochomekea kama vile walimu wa shule za msingi.
View attachment 2617610
Juzi juzi nilimuona Clatous Chama amechomekea mazoezini.
AaaaahaaaaJoto la dunia limeongezeka, zamani Dar hazikuwepo baa za kukaa nje, zilikuwa ndani na nyingine vyumbani, lakini kwa kuwa kiwango cha joto kilikuwa chini haikuwa shida, ujue hazikuwa na feni, usibishe. Siku hizi hata hapo nje bado hapakaliki sasa mchezaji anayetamani avue jezi unataka achomekee! Mlima Kilimanjaro ile barakashia imelika imebaki utosini kama ya muuza madafu.
Mechi dhidi ya Rivers referee alimwambia acha utoto Mimi sio refa wa bongo fumua bukta hiyokama aziz ki anaweka ile bukta kama kavaa chupi..
π€£ππ€£π anapenda nguo zinazobana ili ajihisi anacheza akiwa mtupu π€£ππ€£Sasa huyu shaulile na hili umbo lake hafai kuchomekea, cheki sasa hips na tako zote ziko bampaaaaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We ndo kitu umeona? Unamtamani?Sasa huyu shaulile na hili umbo lake hafai kuchomekea, cheki sasa hips na tako zote ziko bampaaaaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii picha ni muhimu katika huu uziKatika mifano yako umemsahau mwamba huyu hapa, Peter Shalulile. Huyu naye anaendeleza utamaduni uliosahaulika.
Ni kweli mchezaji anayechomekea katika zama hizi anaonekana tofauti sana na ni nzuri katika branding yako hasa kama kiwango chako ni kizuri. Iachwe tu uwe uamuzi binafsi maana marefa walikuwa na kazi za ziada kuwaadhibu wasiochomekea kama vile walimu wa shule za msingi.
View attachment 2617610
Juzi juzi nilimuona Clatous Chama amechomekea mazoezini. Pia Augustine Okrah naye mara kwa mara nimemuona akichomekea.