Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Safi sana. Hivi ndio inatakiwa sio mtu kazidi kisigino eti offside.Shirikisho la soka la Kimataifa (FIFA) wamekuja na sheria mpya ya offside ambayo ili mchezaji ahesabiwe alikuwa offside ni lazima awe amempita mchezaji wa timu pinzani kwa mwili wake wote
View attachment 2675466
EPL wameigomeaWaeke Tech kama ya world cup ile 3d, haya mambo ya mistari yashapitwa na wakati
Nzuri sana mbona hata goli ili lihesabike lazima mpira wote uwe umevuka mstari?Shirikisho la soka la Kimataifa (FIFA) wamekuja na sheria mpya ya offside ambayo ili mchezaji ahesabiwe alikuwa offside ni lazima awe amempita mchezaji wa timu pinzani kwa mwili wake wote
View attachment 2675466