FIFA waja na sheria mpya ya Offside, je hili litavuruga soka au ni bora?

FIFA waja na sheria mpya ya Offside, je hili litavuruga soka au ni bora?

Safi Sana. Kwanza inatakiwa ifutwe kabisa offside isiwepo. Kama mipaka ya uwanja inafahamika na idadi ya wachezaji ni sawa huko kuzidi kunatokea wapi? Wamechelewa Sana.
Itawezaje kufutwa? Na striker akiamuwa kubakia na kipa akisubiri mpira si itabidi beki mmoja naye abakie naye. Kiujumla unadhani mpira utachezeka? Itakuwa kuviziana tuu😄
 
Mimi pia huwa siwezi kuelewa logic ya offside!! Kazi ya mabeki ni kumkaba mshambuliaji!! Kama wanaona mshambuliaji anasogea mbele zaidi, ni juu yao kumfuata na kumkaba na siyo kumkimbia ili awe offside!! Na mimi ningependa sheria ya offside ifutwe kabisa!! Inatunyima utamu sana!
Wakiondoa offside, basi tambuwa kuwa watatakiwa waruhusu subs hata 10. Maana lazima watachoka sana.

Kuna striker huwezi kumwacha na beki mmoja. Sasa hapo uwanja utapanuka zaidi. Watakimbizana mbaya kabisa na watachoka mapema sana.
 
Wakiondoka offside, basi tambuwa kuwa watatakiwa waruhusu subs hata 10. Maana lazima watachoka sana.

Kuna striker huwezi kumwacha na beki mmoja. Sasa hapo uwanja utapanuka zaidi. Watakimbizana mbaya kabisa na watachoka mapema sana.
Sawa, acha wachoke lakini burudani itakuwa nzuri mno!! Haya mambo ya kumkimbia strikewr ili aonekane kuzidi yametupora uhondo sana!! Sasa hakuna kumtoroka Mayele, pambana n aye!!
 
hii ndo niliyokuwa nataka mimi tangu kitambo,imagine watu walinyimwa magoli kisa kazidi kifundo cha goti!!!
Kombe la funia tako lilikuzwa na 3D technology ikawa offside 😁😁😁
Greatest Of All Time unalakusema hapa? Unaikumbuka hii?
Screenshot_20230702-173229.png
 
Bora tu waondoe off side. Itafanya mpira uchangamke na mechi ziwe na Magoli ya kutosha
Halafu hii Sheria ya offside ukitafakari imekaa kifala kweli
Mchezaji anazidi vipi wakati timu zote wapo 11
Kama vp si striker akae golini kwa mpinzani wake kama vile anasubiria embe ianguke
Eti hutakiwi kua eneo fulani kabla ya mpira, wakati Hilo eneo lote ni uwanja wa kucheza
 
Safi Sana. Kwanza inatakiwa ifutwe kabisa offside isiwepo. Kama mipaka ya uwanja inafahamika na idadi ya wachezaji ni sawa huko kuzidi kunatokea wapi? Wamechelewa Sana.
Nakuunga mkono
Binaadamu saa ingine tunakufa hamnazo,yaani bwege mmoja anawaperemba kundi la watu na wao wanamsikiliza na kumkubali
Kila timu Ina wachezaji 11 huyo wa kuzidi ametokea wapi?
Eti Kuna eneo fulani usifike bila ya kuwepo wapinzani wako, inanihusu Nini Mimi,
 
Mimi pia huwa siwezi kuelewa logic ya offside!! Kazi ya mabeki ni kumkaba mshambuliaji!! Kama wanaona mshambuliaji anasogea mbele zaidi, ni juu yao kumfuata na kumkaba na siyo kumkimbia ili awe offside!! Na mimi ningependa sheria ya offside ifutwe kabisa!! Inatunyima utamu sana!
Wewe na mm tunawaza sawa
Hii Sheria ni ya hovyo
Anazidi vp wakati timu zote Zina idadi sawa
Huu ujinga sijui nani aliuanziaha
 
Ingekuja kipindi Ronaldo akiwa kwenye peak makipa wangekoma. Ila kwasasa Rashford ataifaidi sana.
All in all, washambuliaji wenye speed watanufaika sana kwa sheria hii.
 
Shirikisho la soka la Kimataifa (FIFA) wamekuja na sheria mpya ya offside ambayo ili mchezaji ahesabiwe alikuwa offside ni lazima awe amempita mchezaji wa timu pinzani kwa mwili wake wote


View attachment 2675466
Mkuu, pitia hicho kipengele hapo chini. Siyo lazima mwili wote uwe offside…kiungo atakachofunga nacho goli, kikiwa offside siyo goli.

“However, FIFA is reportedly considering a modification wherein only the goalscoring part of an attacker’s body must be beyond the last defender for an offside call to be made.”
 
Ni sheria mbovu hiyo; ni ngumu ku-enforce wakati wa mcehzo italazimisha kila uwanja uwe na VAR halafu kila mara mchezo uwe unasimama ili waamuzi waangalie video
 
Back
Top Bottom