bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
[emoji23][emoji23]kuna njemba zitakua zina kwenye box tu zinasubiri mipira mirefuSafi Sana. Kwanza inatakiwa ifutwe kabisa offside isiwepo. Kama mipaka ya uwanja inafahamika na idadi ya wachezaji ni sawa huko kuzidi kunatokea wapi? Wamechelewa Sana.