Hili nalo nenoNzuri sana mbona hata goli ili lihesabike lazima mpira wote uwe umevuka mstari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo nenoNzuri sana mbona hata goli ili lihesabike lazima mpira wote uwe umevuka mstari?
Aaahhaaaa,pamoja mkuuBoth teams to score za kutosha
Over za kutosha au nasema uongo ndugu
HIMARS
Buddy
WIMICKY
Kilimbatzz
avogadro
Mtoto wa nzi
tpaul
VAR ilituchania sana mikeka hasa dakika za majeruhihii ndo niliyokuwa nataka mimi tangu kitambo,imagine watu walinyimwa magoli kisa kazidi kifundo cha goti!!!
Kama nikweli bas WAMEFANYA VEMA,HAKUNA KITU INAUMA UMEFUNGA GOLI LA USHINDI THEN VAR INAKUAMBIA UNEZIDI UKUCHAShirikisho la soka la Kimataifa (FIFA) wamekuja na sheria mpya ya offside ambayo ili mchezaji ahesabiwe alikuwa offside ni lazima awe amempita mchezaji wa timu pinzani kwa mwili wake wote
View attachment 2675466
Hivi huoni hata kwa akili ya kawaida tu hilo haliwezekani?mpira utachezwaje hapo?TFF wafanye majaribio kwa kuwa na mechi 3 msimu ujao zisiwe na offside. Wazichague hizo mechi randomly, ila ikitokea debi imechaguliwa sijui itakuwaje.
Mpira wetu kivyetuvyetu.
Kutakuwa na gombania goli tuuBila ya sheria ya kuotea hamna mpira hapo. Wakianza kuilegeza hii sheria wanaua mpira.
Sio kweli mechi nyingi tena nyingine za hivi karibuni unakuta mpira haujavuka wote goli linakataliwa.Mbona ipo mkuu!
kina Mayele watakuwa hawabanduki goli la timu pinzani bloanguBora tu waondoe off side. Itafanya mpira uchangamke na mechi ziwe na Magoli ya kutosha
Timu ipi ndio itang'ang'ania na ipi haitang'ang'ania? Huoni kama uwezo wa timu ndio unafanya timu ing'ang'anie langoni Kwa mpinzani na wala haihusiani na offside? Vile vile ni ngumu Wachezaji wote wa timu moja kung'ang'ania langoni Kwa timu nyingine bila mahesabu sababu itakuwa ni raisi wao kufungwa.Hivi huoni hata kwa akili ya kawaida tu hilo haliwezekani?mpira utachezwaje hapo?
Si wachezaji karibu wote watang'ang'ania kwenye lango la mpinzani!
Wangese hao!EPL wameigomea
Mpaka uvuke wote,Wacha porojoMpira ukizidi robo tatu inahesabika kamba Mzee baba..
Wakija kukabia juu wanashangaa wenzao wanaokota mipira kambani kwaoWazee wa high line a.k.a kukabia kwa juu wanasalimiwa
Wewe Ni shabiki mandazi bila Shaka😂Bora tu waondoe off side. Itafanya mpira uchangamke na mechi ziwe na Magoli ya kutosha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halland atamaliza msimu na magoli 77
Mimi pia huwa siwezi kuelewa logic ya offside!! Kazi ya mabeki ni kumkaba mshambuliaji!! Kama wanaona mshambuliaji anasogea mbele zaidi, ni juu yao kumfuata na kumkaba na siyo kumkimbia ili awe offside!! Na mimi ningependa sheria ya offside ifutwe kabisa!! Inatunyima utamu sana!Bora tu waondoe off side. Itafanya mpira uchangamke na mechi ziwe na Magoli ya kutosha
Sawa, ni juu ya mabeki kwenda kuwakaba huko kwenye box![emoji23][emoji23]kuna njemba zitakua zina kwenye box tu zinasubiri mipira mirefu