Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
- Thread starter
- #21
Kwa wanaoikumbuka timu ya Jamaica mwaka 2019 ilivyoichakza Australia bila huruma. Kwenye mchezo wao wa kwanza mwaka huu dhidi ya timu mchachari ya Ufaransa ya akina Kadidiatou Diani (Mbape wa Kike), Eugénie Sommer (Mayele wa Kike) na wafaransa wengine machachari wa kike wamebanana na kutoka droo 0-0. Kisiwa cha Jamaika kwenye upande wa michezo kiko vizuri sana; kinalingana ukubwa na mkoa wa Morogoro.
Ufaransa leo hawakuwa na golikpia wao mdaka mishale Sarah Bouhaddi kwa sababu inasemekena alianza maisha ya kulea familia kuanzia mwaka 2020; ametunza maisha ya familia yake binafsi haiandikwi hovyo mitandaoni.
Ufaransa leo hawakuwa na golikpia wao mdaka mishale Sarah Bouhaddi kwa sababu inasemekena alianza maisha ya kulea familia kuanzia mwaka 2020; ametunza maisha ya familia yake binafsi haiandikwi hovyo mitandaoni.