Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,518
- 10,839
😂😂😂 Naangalia China vs England.Huna lolote sema unaangalia makalio na chuchu zinavyoruka ruka.
Sasa hawa Wachina wana kitu gani cha kuangalia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Naangalia China vs England.Huna lolote sema unaangalia makalio na chuchu zinavyoruka ruka.
Nimeona Wachina wakichezea kichapo murua kabisa...😂😂😂 Naangalia China vs England.
Sasa hawa Wachina wana kitu gani cha kuangalia?
Leo wachina wamecheza kichapo cha mbwa koko mabao 6-1 na hivyo kutolewa nje ya mashindano kwa vile kwenye group lao sasa ni England na Denmark ndio wanaosonga mbele kwenye round ya 16. Bao moja walilipata la penalty ambayo ilikuwa ya mauzauza tu. England likuwa inafunga mabao mazuri sana.Nimeona Wachina wakichezea kichapo murua kabisa...
Mchezo wa S.Africa ulinifurahisha sana kwani nilipata matokeo niyokuwa napenda. Ingawa Itally nao walicheza vizuri sana, ni wazi kuwa S.Afrika iliwaelemea zaidi. Italy walijifunga bao ambalo liliwaongezea nguvu sana S.Africa.Hatimaye South Africa waingia round ya pili baada ya ushindi wa 3 -2 dhiidi ya Italy
Bingwa, Sweden, US, au BrazilNina wasiwasi kombe litakwenda ama Uingereza, Uholanzi, Sweden au Ufaransa. Japan iko nyuma labda upepo ubadilike
Brazil imeshatolewa labda ifanikiwe kupata goli la dakika za mwisho mwishoni. Mpaka sasa wamekaliwa koo na Jamaika bado wako 0-0 na kuifanya Jamaika iwe ya pili kwenye kundi lao. Hadi naandika post hii zimebaki kama dakika 10 tu mpira uishe. Brazili ikipata goli moja basi yenyewe ndiyo itakuwa ya pili ili kuendelea kwenye kundi la 16.