Fifa XI 2015, kulikoni wachezaji EPL?

Fifa XI 2015, kulikoni wachezaji EPL?

Huyu jamaa naona kaamua kubisha tu na anajua kuwa la liga ina timu kali zote kwa ujumla ukiacha madrid na barca..

Kama madrid na barca ndo wakali peke yao mbona team za england zinambwela europa mashindano ambayo madrid na barca hawapo na bado europa inachukuliwa na team za spain tena mfululizo?

Kama ligi ya spain ni mbovu kwann team zote za engalnd zikikutana na madrid,barca zinakuwa regarded as underdogs?
Yaani hata man united na chelsea zilipokuwa katika ubora wao kila wakikutana na madrid au barca wanakuwa regarded as underdogs... huyo jamaa anayebisha hapo juu hata hiki kitu kidogo tu kashindwa kujiuliza?

Akili kumkichwa
 
Huyu jamaa naona kaamua kubisha tu na anajua kuwa la liga ina timu kali zote kwa ujumla ukiacha madrid na barca..

Kama madrid na barca ndo wakali peke yao mbona team za england zinambwela europa mashindano ambayo madrid na barca hawapo na bado europa inachukuliwa na team za spain tena mfululizo?

Kama ligi ya spain ni mbovu kwann team zote za engalnd zikikutana na madrid,barca zinakuwa regarded as underdogs?
Yaani hata man united na chelsea zilipokuwa katika ubora wao kila wakikutana na madrid au barca wanakuwa regarded as underdogs... huyo jamaa anayebisha hapo juu hata hiki kitu kidogo tu kashindwa kujiuliza?

Akili kumkichwa


Huyo jamaa muache tu nafikiri ni wale CCM damudamu.Anaongozwa na mahaba kwenye mjadala badala ya ukweli( facts). Yaani cjui watu wengine wanakuaje, kwa nini huwa hawataki kusema ukweli, mi mbona pia mshabiki wa simba na Liverpool lakini ninakubali kwamba hizi timu zimebaki historia tu lakini hakuna mpira wowote. Kwa kipindi hiki timu za uingereza zote zina viwango vya kawaida sana , labda man city kidogo. Ndo maana unaona zinakabana koo alafu mtu anahitimisha kwa kusema ligi ya Uingereza ni ngumu. Liverpool yenyewe imepigwa nje ndani na katimu kasikojulikana kanaitwa SOTON eti nayo ni timu kubwa.
 
Haha sanchez na ozil wote walikimbia kwa sababu gani.. si kwa sababu walikuwa hawapati namba au unafkiri tu sanchez aliamua kuondoka barca kisa anaipenda sana arsenal?
Ozil alimkimbia Bale so Bale ni mchezaji bora kuliko Ozil ?
Football is team sports and not individual sport,kusajiliwa na Barca/Madrid ha-kujustify kuwa wewe ni mchezaji bora kuna average players wamecheza huko kwa sasa wachezaji kama Vermalein,Matheu,Pepe,Jesse,Albeloa hawa wote kwa sasa ni average players
 
Ozil alimkimbia Bale so Bale ni mchezaji bora kuliko Ozil ?
Football is team sports and not individual sport,kusajiliwa na Barca/Madrid ha-kujustify kuwa wewe ni mchezaji bora kuna average players wamecheza huko kwa sasa wachezaji kama Vermalein,Matheu,Pepe,Jesse,Albeloa hawa wote kwa sasa ni average players
Ozil anacheza namba ngapi na Bale ngapi? Umejichanganya kidogo Mkuu!
 
Uingereza wanavunjana miguu kila siku! sio rahisi kufunga magoli 50, lazima wakuvunje miguu..... hiyo inawezekana la liga tu, ambapo unakuwa free kucheza mpira ,......unamwona Neymah anavyoleta burudani..
Aguerro akienda la liga, atakuwa zaidi ya Suarez. Atakuwa hatari!
 
Aguerro akienda la liga, atakuwa zaidi ya Suarez. Atakuwa hatari!


Kwani kabla hajaja man city alikuwa wapi? Si alikuwa Atletico de madrid ambapo msimu wa mwisho alishiriki kuitoa liverpool Europa league nusu fainal na kuchukua ubingwa
 
Huyu jamaa naona kaamua kubisha tu na anajua kuwa la liga ina timu kali zote kwa ujumla ukiacha madrid na barca..

Kama madrid na barca ndo wakali peke yao mbona team za england zinambwela europa mashindano ambayo madrid na barca hawapo na bado europa inachukuliwa na team za spain tena mfululizo?

Kama ligi ya spain ni mbovu kwann team zote za engalnd zikikutana na madrid,barca zinakuwa regarded as underdogs?
Yaani hata man united na chelsea zilipokuwa katika ubora wao kila wakikutana na madrid au barca wanakuwa regarded as underdogs... huyo jamaa anayebisha hapo juu hata hiki kitu kidogo tu kashindwa kujiuliza?

Akili kumkichwa
madrid na arsenal washawah kutana uefa,ilikuaje?madrid iliburuzwa na nonda shaban unakuja kuongea nini hapa,tena akiwepo zizou na carlos,madrid wanakusanya wachezaj overrated ambao hawachez kitimu
 
Huyo jamaa muache tu nafikiri ni wale CCM damudamu.Anaongozwa na mahaba kwenye mjadala badala ya ukweli( facts). Yaani cjui watu wengine wanakuaje, kwa nini huwa hawataki kusema ukweli, mi mbona pia mshabiki wa simba na Liverpool lakini ninakubali kwamba hizi timu zimebaki historia tu lakini hakuna mpira wowote. Kwa kipindi hiki timu za uingereza zote zina viwango vya kawaida sana , labda man city kidogo. Ndo maana unaona zinakabana koo alafu mtu anahitimisha kwa kusema ligi ya Uingereza ni ngumu. Liverpool yenyewe imepigwa nje ndani na katimu kasikojulikana kanaitwa SOTON eti nayo ni timu kubwa.
wanyama aliifunga barcelona akichezea timu gan?
 
Real madrid ni timu ya kawaida ... tukubaliane na wewe..

Je ni kwa misimu mingapi mfululizo real madrid wamefika nusu fainali champions league?
fuatilia huwa anapangwa na nani makundi,anakutana na nani mtoano,na anapotolewa anatolewa na timu ya kiwango gani?
 
Ozil alimkimbia Bale so Bale ni mchezaji bora kuliko Ozil ?
Football is team sports and not individual sport,kusajiliwa na Barca/Madrid ha-kujustify kuwa wewe ni mchezaji bora kuna average players wamecheza huko kwa sasa wachezaji kama Vermalein,Matheu,Pepe,Jesse,Albeloa hawa wote kwa sasa ni average players
Unauliza bale ni mchezaji nini??

Bale ameshakuwa mchezaji bora wa england.... ozil tokea aanze kucheza soka amewahi kuwa mchezaji bora wa ligi gani?
 
madrid na arsenal washawah kutana uefa,ilikuaje?madrid iliburuzwa na nonda shaban unakuja kuongea nini hapa,tena akiwepo zizou na carlos,madrid wanakusanya wachezaj overrated ambao hawachez kitimu
Tuongelee hii madrid ya kuanzia era ya jose mourinho achana na madrid ya zamani matatizo yake yanajulikana...

Ni timu ipi ya engalnd ina ubavu wa hata kabla ya kucheza naoa iseme ina 60-40 kuifunga madrid...haipo hata moja
 
Ozil anacheza namba ngapi na Bale ngapi? Umejichanganya kidogo Mkuu!
Baada ya Bale kusajiliwa ilikuwa lazima mchezaji mmoja auzwe so ilikuwa either Ozil au Di Maria mwisho Ozil akauzwa Di Maria akabaki.Ozil anacheza winga au no 10 na Bale anacheza winga au no 10
 
fuatilia huwa anapangwa na nani makundi,anakutana na nani mtoano,na anapotolewa anatolewa na timu ya kiwango gani?
Waneshapangwa na totenham wakawapiga kipigo cha mbwa mwizi..

Wamekutana na liverpool wakawapa total humiliation..

Wamekutana na man united wakawatoa pia....

Asa unataka nini tena?
 
Kwani kabla hajaja man city alikuwa wapi? Si alikuwa Atletico de madrid ambapo msimu wa mwisho alishiriki kuitoa liverpool Europa league nusu fainal na kuchukua ubingwa
Alikuwa soft, sasa hivi kajengeka! EPL imemjenga. Atakuwa hatari zaidi na hatokuwa na majeruhi.
 
madrid na arsenal washawah kutana uefa,ilikuaje?madrid iliburuzwa na nonda shaban unakuja kuongea nini hapa,tena akiwepo zizou na carlos,madrid wanakusanya wachezaj overrated ambao hawachez kitimu
Unajifanya hautaki kuzungumzia man united ilivyokutana mara mbili na Barcelona na kupigwa zote hadi kocha kutetemeka..

Unajifanya haujui arsenal wamekutana na Barcelona mara ngapi na wamefanywa nini....

Unajifanya haujui man city imepigwa kipigo cha mbwa mwizi mara ngapi na barcelona..

Unajifanya haujui mbinu za mourinho alivyokuwa chelsea alipoamua kutifua uwanja ili barcelona wasiweze kucheza mpira wa passi..

Endelea kujifanya haujui
 
Waneshapangwa na totenham wakawapiga kipigo cha mbwa mwizi..

Wamekutana na liverpool wakawapa total humiliation..

Wamekutana na man united wakawatoa pia....

Asa unataka nini tena?
Targer ya timu za EPL ni Champions League, wurope wanapangaga second eleven au yosso! Spurs hufanya hivyo, everton hufanya hivyo! Ni timu za Spainna kwingine hukodolea macho na huwekwza nguvu zote ktk europa, ukitoa Madrids na Barca!
 
Waneshapangwa na totenham wakawapiga kipigo cha mbwa mwizi..

Wamekutana na liverpool wakawapa total humiliation..

Wamekutana na man united wakawatoa pia....

Asa unataka nini tena?


Mpe za uso huyo inaonekana anaongozwa na mahaba sana kuliko ukweli
 
Unajifanya hautaki kuzungumzia man united ilivyokutana mara mbili na Barcelona na kupigwa zote hadi kocha kutetemeka..

Unajifanya haujui arsenal wamekutana na Barcelona mara ngapi na wamefanywa nini....

Unajifanya haujui man city imepigwa kipigo cha mbwa mwizi mara ngapi na barcelona..

Unajifanya haujui mbinu za mourinho alivyokuwa chelsea alipoamua kutifua uwanja ili barcelona wasiweze kucheza mpira wa passi..

Endelea kujifanya haujui
unajifanya umesahau scholes alchowafanya barcelona,unajfanya umesahau sababu ya drogba kutaka kumpiga refa baada ya mechi na barca,unajfanya umesahau torres wa chelsea alchowafanya barca,unajfanya umesahau kwamba barca walivurugwa na wilshere wakawa wanazurula tu pale kati,unajfanya umesahau refa alimtoa kimagumash van persie pale nou camp baada ya hali kutokueleweka
 
Back
Top Bottom