labda uwe unaangalia matukio bila kuyachungua,uefa ambayo kimsingi ndio fifa wana chuki na ligi ya uingereza,2009 zilifanyika juhud za makusud ili fainal ya uefa isijirudie kati ya chelsea na man u,chelsea walihujumiwa wakicheza na barcelona drogba akataka kumdunda refa,misimu miwil iliyopita kompany wa man city alikua kwenye kiwango bora,lakin namba yake pale kikosi cha fifa ikachukuliwd na ramos,modric,marcelo,alvez hawakustahik,wanachofanya ni kulazimisha la liga ionekane bora wakat ni ligi ya kipuuzi tu