Upeo mdogo wa wateule wa Rais ndipo unapoishia.Hali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!
Ukumbuke Chadema wamepanga kufanya kongamano la Mjadala wa Katiba Mwanza.
Kwa akili za RC mikusanyiko ya Mazishi na ibada huwa Virusi vya Covid-19 vinakaa nje kwanza hadi wamalize ibada.
Waoga sana sana
Wakujibu mapema ili tusiharibu nauli.Kwahiyo mechi ya Yanga vs Simba haitakuwepo?
Hii Nchi Mbona Tunakuwa Kama Si Binadamu wajameni.Kwahiyo mechi ya Yanga vs Simba haitakuwepo?
Simba na Yanga,ni Kigoma sio Mwanza,alafu kasema Mpaka uombe kibari, hivo mikusanyiko inarusiwa ila mpaka kibari cha mkuu wa mkoa 😁😄😄😃😀Hio Virus havihusikii vinaogopa Simba na Yanga. Huyu RC akili zake hazina akili
Kongamano Kama la chadema ,tumeona kila lilipo fanyika watu wamekua wakichukua hatua ,Sasa ACHA ajichanganye KWA kufuata mkumbo wa kutoa kauli, ipo kesho yake atakua yupo peke yakeHali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!
Ukumbuke Chadema wamepanga kufanya kongamano la Mjadala wa Katiba Mwanza.
Kwa akili za RC mikusanyiko ya Mazishi na ibada huwa Virusi vya Covid-19 vinakaa nje kwanza hadi wamalize ibada.
Waoga sana sana
Ujumbe sahihi kabisa huuKongamano Kama la chadema ,tumeona kila lilipo fanyika watu wamekua wakichukua hatua ,Sasa ACHA ajichanganye KWA kufuata mkumbo wa kutoa kauli, ipo kesho yake atakua yupo peke yake
Viongozi watambue mda unaenda kasi Sana, na kesho yetu hatujui bila kujali ni kiongonzi au la, nyakati Kama izi viongozi wanatakiwa kuwa makini, bora pale uonapo unacholazimishwa fanya KWA akili yako hakifai , piga chini KAZI, ili ukaishi na amani ya roho
Mhu!#Breakingnews
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima mkoani humo katika jitihada za kudhibiti Ugonjwa wa Covid 19."tutaruhusu misiba tu na ibada". "Hakuna kusanyiko lolote bila kuwa na kibali Mwanza" https://t.co/CkxQGvPd9K
Mbona mwenge haupigwi malufuku na leo umekesha Igunga?Mikusanyiko ni hatari sana hapo Mwanza sababu ya COVID imeenea sana, ikiwezekana kuwepo na lockdown anagalau ya wiki 1 kuepusha kusambaa kwa COVID.
Mikusanyiko inazuiwa pale CHADEMA wanapotaka kufanya mikutano tu ila ya CCM haina shida?Mbowe kama anataka mikusanyiko aanzie kwao huko Kilimanjaro kwanza,tuone kama atapata watu...
Kuna wimbi la tatu la Covid 19,kaka yake kafarik sasa anataka nani afe Ili azid kuamin kuwa huu ugonjwa haujitaji masihara
Mkuu wa serikali mkoani ni mkuu wa mkoa sio wizara.Covid guidelines zinatolewa na wizara siyo mkuu wa mkoa.
Tunafuata maelekezo ya waatalamu kuzuia korona..ikiwamo kuzuia mikusanyiko isiyo ya lazima..hii kauli mbiu chadema mshaitosa? Si mlikuwaga hadi mnafanya vikao online sasa kwanini kongamano lisifanyike online pia?Hii delay tactic wala haisadii, tena inamharibia rais Samia maana wananchi watatafsiri kuwa anatumia Corona kama kisingizio cha kisiasa tu!
Kwa hiyo measures zoote atakazotangaza dhidi ya Korona raia wataona ni siasa!
Mkuu wa mkoa anaweza kujiona ana akili lakini kumbe anakwaza mapambano dhidi ya Corona kwa kiwango kikubwa sana, kwa sababu agizo lake lina motive ya siasa ndani yake na si kwa dhati ya kupambana na Korona
Haya madudu ambayo wateule wa rais wanafanya unfortunately lawama zinarudi kwa Samia, kwa sababu tunahisi amebariki dhuluma zao!
Je ana powers za kususpend constitutional rights kwa wananchi katika mkoa wake ?Mkuu wa serikali mkoani ni mkuu wa mkoa sio wizara.
Huyu mkuu wa Mkoa aliekuja kufungua kongamano la maelfu ya wafuasi wa Mwamposa hapo uwanja wa furahisha au ni mwingine? Kama ni yeye awajibishwe kwa kuweka maisha yetu rehani kwa kuruhusu na kushiriki kongamano la Mwamposa huku akijua Bugando mitungi ya gas haitoshi na Covid 19 bado ni tishio.Hali ya kusikitisha, kuogofya na kuumiza, RC wa Mwanza amekataza kwa mtazamo wake mikusanyiko yote isipokua Misiba na Ibada tu ili "kupunguza kasi ya maambukizi ya Covid-19"!
Ukumbuke Chadema wamepanga kufanya kongamano la Mjadala wa Katiba Mwanza.
Kwa akili za RC mikusanyiko ya Mazishi na ibada huwa Virusi vya Covid-19 vinakaa nje kwanza hadi wamalize ibada.
Waoga sana sana