Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Caf na wadhamini wa ligi za ndani wapi na wapi,?Simba ni kubwa kuliko TFF,waulize jana walivyobandua matangazo ya GSM , uzuri Simba wako smart na kila kitu wanafanya kwa kusimamia sheria,huo mkataba wa GSM isije ikatokea tu TFF wakapewa za uso na CAF
Kwa sasa timu mwenyeji(ambayo kwa leo ni Simba)ndio mwenye mechi na mapato yote ni ya kwake ukiondoa zile gharama na makato ya lazima.ndo maana wiki nzima hii Simba ndo waliokuwa wakihangaika kuitangaza hiyo mechi na maeneo zinapopatikana tiketi, Yanga wala walikuwa hawajisumbui kwa vile walikuwa wanajua hakuna watakachopata.Binafsi sikubaliani na kurudishwa kwa hao watoto wa Mohamed. Lakini naomba ufafanuzi toka kwako unaposema Simba kwa kuwa mwenyeji alitakiwa apange kila kitu ikiwemo Nani aingie Nani asiingie. Ninavyojua mechi ni Mali ya tff na bodi isipokuwa mapato ndo ya mwenyeji kati ya timu 2 zinazocheza. Lakini gharama za uwanja, malipo ya Waamuzi, ulinzi, wageni na mambo mengine yanabaki kwa mwenye ligi. Au utaratibu siku hizi ukiwa mwenyeji wewe ni mmiliki wa kila kitu mpaka protokali za uwanja?
Kwakuwa mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu ngoja nikuelimishe.
Hata Airport anayepita VIP ni yule tu mwenye diplomatic passport na siyo familia yake.
Muache upuuzi kuabudu wahindi pumbavu kabisa.
View attachment 2040807
Mkiitwa mbumbumbu mnakasirika, ile barua ni fake na TFF imeikana jana.
Simple logic tu CAF ijiingize kwenye upumbavu kama huu hiyo itakuwa ni CUF ya Lipumba.
Jamani atakama umbumbumbu ni kipaji muwe mnajitathmin, kuwa mwenyeji katika mpira ni kanuni za ki soka, haikufanyi wewe mwenyeji kuwa juu ya FA ya nchi. FA ndio inayo ratibu mechi na Taratibu zote za sehemu inayo chezwa mechi. Iwe mechi za kitaifa au kimataifa wao ndio wanao wajibika Kwanza.Kwa sasa timu mwenyeji(ambayo kwa leo ni Simba)ndio mwenye mechi na mapato yote ni ya kwake ukiondoa zile gharama na makato ya lazima.ndo maana wiki nzima hii Simba ndo waliokuwa wakihangaika kuitangaza hiyo mechi na maeneo zinapopatikana tiketi, Yanga wala walikuwa hawajisumbui kwa vile walikuwa wanajua hakuna watakachopata.
Utaratibu wa sasa mwenyeji anabeba kila kitu
Ndio maana mnaitwa MAKOLO......simba ina ukubwa gan kuizd TFFSimba ni kubwa kuliko TFF,waulize jana walivyobandua matangazo ya GSM , uzuri Simba wako smart na kila kitu wanafanya kwa kusimamia sheria,huo mkataba wa GSM isije ikatokea tu TFF wakapewa za uso na CAF
Rejea ishue ya GSM na TFF, hapo ndo unapokuja ukubwa wa simba dhidi ya TFFNdio maana mnaitwa MAKOLO......simba ina ukubwa gan kuizd TFF
busara imetumika tu......Rejea ishue ya GSM na TFF, hapo ndo unapokuja ukubwa wa simba dhidi ya TFF
CEO wa Makolo hana nidhamu, anataka kuigeuza TFF kuwa ya Familia ya Dewji kama alivyoigeuza Simba kuwa timu ya familia ya Dewji.Mbumbumbu ni wale walioaminishwa watashinda kesi CAS.... Na hili pia mtaumbuka maana Tifuatifua wataomba msamaha kabla jogoo hajawika baada ya saa 72
Kwa kifupi CEO wa Makolo hana nidhamu anataka kuigeuza TFF kuwa ya Familia ya Dewji kama alivyoigeuza Simba kuwa timu ya familia ya Dewji.Swali jepesi nani alikuwa mwenyeji wa mchezo? hivi mgeni unaweza kumshauri Mama mwenye nyumba juu ya chakula alichowaandalia wageni kama kitatosha wageni ama lah? kama hujatumwa..
CEO wa Makolo hana nidhamu anataka kuigeuza TFF kuwa ya Familia ya Dewji kama alivyoigeuza Simba kuwa timu ya familia ya Dewji.Hii kashfa na dharau za reja reja kwa CEO wetu.
Hana nidhamu CEO wa Makolo. Anataka kuionfoza TFF Kama anavyoongoza Makolo.hilo Dada ni lipumbavu linadhani tff ya baba yake..
safi sana
na akataka ayaweke matoto yake ya nje ya ndoa kwenye seat za watuAnadhani tff ni mali ya gabachori.
Hapana mimi ni Nguvuni VVIP Mkuu...wewe ni GT?
Pumba express.Kwa hiyo kumnyanyasa mhindi, muarabu, mzungu , latino ruksa?
Kwahyo uwanja wa kwa mkapa ni miliki ya simba na sio serikali ndo mana mnataka kuvunja taratibu?AIPORT ni mali ya serikali na kila kitu kinakuwa controlled na serikali ndio maana Job au Kassim anaweza fika pale VVP na watoto wake wamchemko bila kuulizwa maswali yoyote tofauti na kama ingekuwa kampuni binafsi...kukusaidi mechi ya leo ilikuwa chini ya miliki ya Simba na ndio walikuwa na uwezo wa kuamua watu wangapi waingie bure na wangapi walipe zwazwa wewe
Ukiwa mwenyeji wa mchezo ni katika mapato tu, sio kwamba ndo unakuwa mmiliki wa uwanja na kuanza kuvunja utaratibu uliopo. Uyo Barbara kuja na watoto wa mo haimfanyi kuwa ndo mke halali wa uyo ponjoroSwali jepesi nani alikuwa mwenyeji wa mchezo? hivi mgeni unaweza kumshauri Mama mwenye nyumba juu ya chakula alichowaandalia wageni kama kitatosha wageni ama lah? kama hujatumwa..
Linadhani uwanja ni wa Mo na kuanza kuvunja utaratibu. Videmu vilivyozoea kuwa mchepuko wa maboss ndo tabia zao hizohilo Dada ni lipumbavu linadhani tff ya baba yake..
safi sana
Including mamako?Mwanamke akiwa 🌙 hatakiwi kuangalia mpira. Alizuiwa ili kulinda mkebe wake wa kuhidhia watoto usiharibike