Figisu figisu za TFF dhidi ya CEO wa SIMBA (Barbra) mechi ya leo zawavua nguo

Unatoka usenene unakuwa kumbikumbi sasa
 
CEO atambue kuwa uwanja wa taifa sio mali ya Mo naona kajisahau sana mpaka taratibu anazivunja
 
Linadhani uwanja ni wa Mo na kuanza kuvunja utaratibu. Videmu vilivyozoea kuwa mchepuko wa maboss ndo tabia zao hizo
Hizi dharau zako kwa jinsia ya kike ni aibu. Wao ni mama zetu, dada zetu na hata wake zetu. Tutoe hoja kwa kuheshimu jinsia. Kwani wewe una uhakika gani kama baba uliyenaye ndiye baba yako?
 
Hizi dharau zako kwa jinsia ya kike ni aibu. Wao ni mama zetu, dada zetu na hata wake zetu. Tutoe hoja kwa kuheshimu jinsia. Kwani wewe una uhakika gani kama baba uliyenaye ndiye baba yako?
Wapi nmedharau jinsia hapo? Yeye ni mchepuko tu
 
Sawa Nyaniìiìiì
 
Kwakuwa mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbu ngoja nikuelimishe.

Hata Airport anayepita VIP ni yule tu mwenye diplomatic passport na siyo familia yake.

Muache upuuzi kuabudu wahindi pumbavu kabisa.

View attachment 2040807
Barua wameandika haraka sana ila marefa wakiboronga kimya.Hili jambo dogo sana halikuwa na haja ya kuandika barua.Wenye hekima husema usifanye maamuzi ukiwa na hasira au furaha sana.
 
Barua wameandika haraka sana ila marefa wakiboronga kimya.Hili jambo dogo sana halikuwa na haja ya kuandika barua.Wenye hekima husema usifanye maamuzi ukiwa na hasira au furaha sana.
Kwahiyo Barbra alivyo andika mtandaoni kwamba amezuiliwa kuingia uwanjani alikuwa anategemea nini?

Acheni Uzezeta wa kihindi nyie makolo, huyo demu wenu kafanya vurugu uwanjani na malalamiko tayari yameshafika vyombo vinavyosimamia michezo

Acheni u much know nyie mazezeta, sio kila lazima kifanyike mashindano ila ni utaratibu tu umewekwa na lazima ufuatwe
 
Hao watoto ndio walikuwa Uchawi wa Simba,wangeingia Simba ingeshinda,[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unashindwa kumvua nguo Mama yako mzazi ndio uje kuwavua nguo TFF

Nyie mazezeta wa kihindi acheni ujinga huo
 
Babra ameingia kwenye vita amegusa maslahi ya wahuni na wajanja wa mjini,akili za babra hazitakiwi kwenye mpira wa Tanzania,ana mtazamo na akili kubwa sana ila bahati mbaya watanzania hawapendi watu wenye akili kwenye mambo yao.
Wahuni watamtegea mtego na ambao tiyali wameutega ili wamfungie maisha kutojiusisha na mpira wao,nchi hii ukiwa na akili timamu utatengwa na wananchi na mamlaka za nchi,sisi ndio ngozi nyeusi,matendo mpaka mambo yetu ni meusi.
 
Reactions: BRB
“Nafikiri Utaratibu wa eneo la VVIP uliwekwa mapema.. Nani anatazamiwa akakae wapi na kwa Taratibu zipi!

Kadi zilikuwa na majina ya wahusika na ikaelezwa kabisa [Siku moja kabla] NI MARUFUKU MTU KUTUMIA KADI YA MTU

Kadi za VVIP pia zikasema kuwa WATOTO HAWARUHUSIWI eneo Lile..

Kama hizi Taratibu zilizungumzwa na kukubalika pamoja, kwanini iwe Tatizo kwenye Utekelezaji?

Kama kulikuwa na changamoto yoyote kwenye makubaliano, yalitakiwa kuwasilishwa mapema kabla ya siku ya mchezo!

Wachezaji kiwanjani wametuonyesha Thamani ya FAIR PLAY kwenye soka!

Tazama namna wachezaji baada game kuisha walivyokuwa wanafuraha wenyewe kwa wenyewe na hiyo inadhihirisha mchezo wa mpira ni mchezo wa kiungwana

Lakini nje ya uwanja, 'watu wachache' kwa 'sababu zao binafsi' wanataka kutuonyesha kuwa hakuna UUNGWANA kwenye Soka letu

Hii sio Sawa” ..
 
Acha matusi kuwa na heshima
 
Acha matusi kuwa na heshima
“Nafikiri Utaratibu wa eneo la VVIP uliwekwa mapema.. Nani anatazamiwa akakae wapi na kwa Taratibu zipi!

Kadi zilikuwa na majina ya wahusika na ikaelezwa kabisa [Siku moja kabla] NI MARUFUKU MTU KUTUMIA KADI YA MTU

Kadi za VVIP pia zikasema kuwa WATOTO HAWARUHUSIWI eneo Lile..

Kama hizi Taratibu zilizungumzwa na kukubalika pamoja, kwanini iwe Tatizo kwenye Utekelezaji?

Kama kulikuwa na changamoto yoyote kwenye makubaliano, yalitakiwa kuwasilishwa mapema kabla ya siku ya mchezo!

Wachezaji kiwanjani wametuonyesha Thamani ya FAIR PLAY kwenye soka!

Tazama namna wachezaji baada game kuisha walivyokuwa wanafuraha wenyewe kwa wenyewe na hiyo inadhihirisha mchezo wa mpira ni mchezo wa kiungwana

Lakini nje ya uwanja, 'watu wachache' kwa 'sababu zao binafsi' wanataka kutuonyesha kuwa hakuna UUNGWANA kwenye Soka letu

Hii sio Sawa” ..
 
Umeandika kwa hasira na chuki mno,ndio kawaida ya watu maskini ambao mmekosa kila kitu maishani pole sana
Ndio matatizo yetu watanzania inapokuja kwenye Yanga na Simba watu akili huwaruka kabisa.huyu Dada watu wanamchukia kwa kusimamia haki lile swala la kuondolewa mabango ya Gsm limewavua nguo wahusika na sasa wameamua kumuattack.wanasahau siyeye tu ni akili kubwa ya uongozi wa Simba.



Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
“Nafikiri Utaratibu wa eneo la VVIP uliwekwa mapema.. Nani anatazamiwa akakae wapi na kwa Taratibu zipi!

Kadi zilikuwa na majina ya wahusika na ikaelezwa kabisa [Siku moja kabla] NI MARUFUKU MTU KUTUMIA KADI YA MTU

Kadi za VVIP pia zikasema kuwa WATOTO HAWARUHUSIWI eneo Lile..

Kama hizi Taratibu zilizungumzwa na kukubalika pamoja, kwanini iwe Tatizo kwenye Utekelezaji?

Kama kulikuwa na changamoto yoyote kwenye makubaliano, yalitakiwa kuwasilishwa mapema kabla ya siku ya mchezo!

Wachezaji kiwanjani wametuonyesha Thamani ya FAIR PLAY kwenye soka!

Tazama namna wachezaji baada game kuisha walivyokuwa wanafuraha wenyewe kwa wenyewe na hiyo inadhihirisha mchezo wa mpira ni mchezo wa kiungwana

Lakini nje ya uwanja, 'watu wachache' kwa 'sababu zao binafsi' wanataka kutuonyesha kuwa hakuna UUNGWANA kwenye Soka letu

Hii sio Sawa” ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…