Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

Fiji: Nchi inayokaliwa na Watanganyika wa kale

kwan jina tanganyika limeanza kutumika lin. na hawa babu zao walitoka lin. tuanze na hapo kwanza
 
Nayo tukaungane nayo kama Zanzibar!ili mkuu asiende kuwa mkuu wa malaika mbinguni..apate pa kutembelea kwanza maana yupo kama mbuzi wa krismas..kagoma kwenda!
 
Na hawa ndo wenye nchi yao, sisi wengine tuliwafukuza tukajitwalia nchi!! Warudi kwenye nchi yao
Nadhani Kwa sababu zamani visiwa vingi avikuwa na mwenyewe basi Fiji ni sehemu ya Mali ya Tanzania ,hao wasafiri wangekuwa ni wazungu wakakuta kisiwa wangekitangaza kuwa ni Mali yao sema sisi waafrika akili zetu zilikuwa zimelala sana
 
Duh tukachukue nchi yetu huko fiji
Akili zako kama zangu mbona wazungu walichukua visiwa kibao vilivyokua avijulikani baharini Fiji ni yetu tatangaze rasmi na serikali ifuatilie hilo ingekua historia ya pekee kwa nchi yetu kuwa ya kipekee kuwa na ardhi maeneo ya huko so nice
 
uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Acha ulofa wamechanganya damu na watu wa maeneo ya huko na waamiaji kisiwa cha Fiji ni Mali ya tanzania
 
Kabla hujaondoka tunakudaka ,,hatuwez kuona viashria vya kuvunja aman yetu watanganyka na watu wa Fiji afu tukawavumilia!!! Yaan hat ukiandaman kuzunguka ktanda tukikubain umeisha
Oy mtaani kwetu kuna mtu kavaa chupi ya kijani kichwani anapitapita mitaani hivi ni viashilia nya uvunjifu wa amani kama unayo no ya mkuu wa majeshi nipatia nimjulishe kuusu huyu MTU atume kikosi cha makomando wamkamate

Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
 
Hili ni jambo zuri sana umelileta, kama vipi tungebadilishana hata uongozi ili huyu wa kwetu wa nchi ya v-wonder akamalizie hii mika miwili huko na wa huko aje huku kwetu, kiujamaa zaidi !!!
 
Kumbe ukiwa ni Rais was Tanzania basi unakuwa ni An International President kwa kuwa utakuwa unatawala na nchi nyingine zenye utamaduni unaokaribiana na nchi yako!
 
Personally nimeshakutana na wafiji wenye asili ya india ndo wakaniambia kuwa wakaazi asili wa fiji wapo kama mimi mpaka nywele za afro wanazo. Ilibidi nishtuke kwanza. Ndo kilichonifanya kuandika huu uzi baada ya kutafiti. Nimeshakunywa hadi kinywaji chao mashuhuri kinaitwa Kava. Wanasema ni dawa safi sana kuweka mwili sawa ila ukinywa unahisi ulimi umepooza na inalevya kidogo.

Kuna ka ukweli flani kuhusu asili ya hawa jamaa na Tanganyika.

Kwanza, Geographicallly tuu utakubali kuwa uwezekano huo upo maana hatitofautiani sana latitude. Nini zamani, hata leo tu ukitoka na jahazi Mafia pale kisha upepo ukakuchenchia baharini huchelewi kujikuta Comoro au Madagascar.

Pili historically, Wazungu ndio waanzilishi wa biashara ya utumwa Na waliwachukua babu zetu kuwapeka mahali tofauti duniani kwenda kulima mashamba ya miwa nk... hivyo huenda walifika huko kama watumwa kisha wakachanganyika Na wahindi ambao nao pia walikuwa ni wahanga wa hiyo biashara ya utumwa.

Tatu, ni juzi juzi tuu hapa nimekutana na mtu kutoka Fiji [emoji1102] kaja hapa India kimatibabu. Kiasili ni Muhindi mweusi kabisa, yaani kama sisi ila nywele tuu jina ndio tofauti ( kama tuu ilivyo idadi kubwa ya wahindi weusi hapa India). Jamaa baada ya kujua nimetokea Tanzania akawa interested sana kuja Bongo na akawa best yangu sana. Sikujua kwa nini lkn naanza ku connect dot maana sio kwa kunidadisi kule
 
Akili zako kama zangu mbona wazungu walichukua visiwa kibao vilivyokua avijulikani baharini Fiji ni yetu tatangaze rasmi na serikali ifuatilie hilo ingekua historia ya pekee kwa nchi yetu kuwa ya kipekee kuwa na ardhi maeneo ya huko so nice
Hata msiwe na mawazo ya kwenda kuharibu kisiwa cha watu kama mlivyoiharibu zanzibar,mkuu Fiji hao watu wake hawana DNA ya kiafirka hata kidogo,watu weusi wenye wasifu huo wako nchi za Papua New Guine,Indonesia,Philipines,...hawa watu DNA zao ni za wahindi sio za wafrika,watanganyika hawana nchi hapo,achane tamaa

Kabila la Aeta wazawa wa Philipines
aeta.jpg


Kabila la watu weusi Indonesia
indo.jpg


indo2.jpg


Watu wa papua new quinea,..hawa watu wanakunala mwenyewe kwa wenyewe
papu.JPG


Mkuu unatakiwa ufahamu hii dunia Mtu wa mwanzo alioumbwa na mungu alikuwa mtu mweusi...kitabu cha kuran kinasema hivyo sura ya 15 aya ya 26(15:26) aya inasema "nilimumba binaadamu kwa udongo mweusi wa ufinyazi"..hayo ni maneno ya mungu vipi alivyoimba binaadamu wa mwanzao

Kama vile Afrika watu ake wa Asili ni wenye ngozi nyeusi,na hizo nchi watu wake wa asiali ni weusi,..

Watu weusi wako duniani kote,hawaonekani hawazungumzwi kwasababu watu wenye ngozi nyeupe wanawakandamiza kkwa kila aina kuanzaia kielimu,kiuchumi nk....

Mfano India kuna watu weusi walifanana na wafrika lakini huwasiki,wamekandamizwa huwaoni kabisa,wametupwa kwenye kisiwa kimoja huko India hawaonekani kabisa...

Hao watu wa Fiji ni moja katika makabila ya watu weusi walitapakaa hizo nchi,hao watu hawana uhusiano wowote na waafrika...,
 
uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Mbona kuna baadhi ya makabila wana nywele hzo ...kama warangi,
 
Hata msiwe na mawazo ya kwenda kuharibu kisiwa cha watu kama mlivyoiharibu zanzibar,mkuu Fiji hao watu wake hawana DNA ya kiafirka hata kidogo,watu weusi wenye wasifu huo wako nchi za Papua New Guine,Indonesia,Philipines,...hawa watu DNA zao ni za wahindi sio za wafrika,watanganyika hawana nchi hapo,achane tamaa

Kabila la Aeta wazawa wa Philipines
View attachment 716742

Kabila la watu weusi Indonesia
View attachment 716743

View attachment 716744

Watu wa papua new quinea,..hawa watu wanakunala mwenyewe kwa wenyewe
View attachment 716745

Mkuu unatakiwa ufahamu hii dunia Mtu wa mwanzo alioumbwa na mungu alikuwa mtu mweusi...kitabu cha kuran kinasema hivyo sura ya 15 aya ya 26(15:26) aya inasema "nilimumba binaadamu kwa udongo mweusi wa ufinyazi"..hayo ni maneno ya mungu vipi alivyoimba binaadamu wa mwanzao

Kama vile Afrika watu ake wa Asili ni wenye ngozi nyeusi,na hizo nchi watu wake wa asiali ni weusi,..

Watu weusi wako duniani kote,hawaonekani hawazungumzwi kwasababu watu wenye ngozi nyeupe wanawakandamiza kkwa kila aina kuanzaia kielimu,kiuchumi nk....

Mfano India kuna watu weusi walifanana na wafrika lakini huwasiki,wamekandamizwa huwaoni kabisa,wametupwa kwenye kisiwa kimoja huko India hawaonekani kabisa...

Hao watu wa Fiji ni moja katika makabila ya watu weusi walitapakaa hizo nchi,hao watu hawana uhusiano wowote na waafrika...,

Sasa kwa nini wakomae kusema asili yao ni Africa?
 
Back
Top Bottom