Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha ndio tunaenda wa darMsipeleke wanaume wa Dar.
Maendeleo yao ni kama bongo tu, ila kuna apartment za whites ambazo ndo ziko vizuri, ubaguzi ni mwingi, whites na red Indians wanawabagua blacks as well as South Afrika, Hakuna fujo wala kutekanatekana.Vipi maendeleo huko?
Mmmmm sjui kama unasema ukweliMara ya mwisho nilienda Fiji mwaka '98 na huko kuna ndugu zetu kabisa upande wa baba mkubwa, wapo huko na historia inaonesha baba wa babu mkubwa ndo alienda huko, ni watanzania pure!
Ukwel mkuu, ndo ivo. Nikirudi home nitapiga picha passport nikutumie PMMmmmm sjui kama unasema ukweli
Uchumi ni kanjanja kama kwetu bongo, demokrasia sio sana coz kingship still dominates japo kutekanatekana hakupo huko, King wa eneo fulani ni maarufu kuliko Rais, ni wakarimu sana.Vipi hali yao ya kiuchumi?demokrasia?
ahahahahaha moana ni kule HAWAIII kwa kina UMAGA😀😀😀Huko sio kwa akina moana?
Nadhani Kwa sababu zamani visiwa vingi avikuwa na mwenyewe basi Fiji ni sehemu ya Mali ya Tanzania ,hao wasafiri wangekuwa ni wazungu wakakuta kisiwa wangekitangaza kuwa ni Mali yao sema sisi waafrika akili zetu zilikuwa zimelala sanaNa hawa ndo wenye nchi yao, sisi wengine tuliwafukuza tukajitwalia nchi!! Warudi kwenye nchi yao
Akili zako kama zangu mbona wazungu walichukua visiwa kibao vilivyokua avijulikani baharini Fiji ni yetu tatangaze rasmi na serikali ifuatilie hilo ingekua historia ya pekee kwa nchi yetu kuwa ya kipekee kuwa na ardhi maeneo ya huko so niceDuh tukachukue nchi yetu huko fiji
Acha ulofa wamechanganya damu na watu wa maeneo ya huko na waamiaji kisiwa cha Fiji ni Mali ya tanzaniauongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Tudai nchi yetuWahindi wamehamia huko, siunajua makanjibai Wazee wa furusa
Ila population kubwa Ni blacks 56%
Wahindi 39%
Iliyobak Ni wazungu
Oy mtaani kwetu kuna mtu kavaa chupi ya kijani kichwani anapitapita mitaani hivi ni viashilia nya uvunjifu wa amani kama unayo no ya mkuu wa majeshi nipatia nimjulishe kuusu huyu MTU atume kikosi cha makomando wamkamateKabla hujaondoka tunakudaka ,,hatuwez kuona viashria vya kuvunja aman yetu watanganyka na watu wa Fiji afu tukawavumilia!!! Yaan hat ukiandaman kuzunguka ktanda tukikubain umeisha
Personally nimeshakutana na wafiji wenye asili ya india ndo wakaniambia kuwa wakaazi asili wa fiji wapo kama mimi mpaka nywele za afro wanazo. Ilibidi nishtuke kwanza. Ndo kilichonifanya kuandika huu uzi baada ya kutafiti. Nimeshakunywa hadi kinywaji chao mashuhuri kinaitwa Kava. Wanasema ni dawa safi sana kuweka mwili sawa ila ukinywa unahisi ulimi umepooza na inalevya kidogo.
Hata msiwe na mawazo ya kwenda kuharibu kisiwa cha watu kama mlivyoiharibu zanzibar,mkuu Fiji hao watu wake hawana DNA ya kiafirka hata kidogo,watu weusi wenye wasifu huo wako nchi za Papua New Guine,Indonesia,Philipines,...hawa watu DNA zao ni za wahindi sio za wafrika,watanganyika hawana nchi hapo,achane tamaaAkili zako kama zangu mbona wazungu walichukua visiwa kibao vilivyokua avijulikani baharini Fiji ni yetu tatangaze rasmi na serikali ifuatilie hilo ingekua historia ya pekee kwa nchi yetu kuwa ya kipekee kuwa na ardhi maeneo ya huko so nice
Mbona kuna baadhi ya makabila wana nywele hzo ...kama warangi,uongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Hata msiwe na mawazo ya kwenda kuharibu kisiwa cha watu kama mlivyoiharibu zanzibar,mkuu Fiji hao watu wake hawana DNA ya kiafirka hata kidogo,watu weusi wenye wasifu huo wako nchi za Papua New Guine,Indonesia,Philipines,...hawa watu DNA zao ni za wahindi sio za wafrika,watanganyika hawana nchi hapo,achane tamaa
Kabila la Aeta wazawa wa Philipines
View attachment 716742
Kabila la watu weusi Indonesia
View attachment 716743
View attachment 716744
Watu wa papua new quinea,..hawa watu wanakunala mwenyewe kwa wenyewe
View attachment 716745
Mkuu unatakiwa ufahamu hii dunia Mtu wa mwanzo alioumbwa na mungu alikuwa mtu mweusi...kitabu cha kuran kinasema hivyo sura ya 15 aya ya 26(15:26) aya inasema "nilimumba binaadamu kwa udongo mweusi wa ufinyazi"..hayo ni maneno ya mungu vipi alivyoimba binaadamu wa mwanzao
Kama vile Afrika watu ake wa Asili ni wenye ngozi nyeusi,na hizo nchi watu wake wa asiali ni weusi,..
Watu weusi wako duniani kote,hawaonekani hawazungumzwi kwasababu watu wenye ngozi nyeupe wanawakandamiza kkwa kila aina kuanzaia kielimu,kiuchumi nk....
Mfano India kuna watu weusi walifanana na wafrika lakini huwasiki,wamekandamizwa huwaoni kabisa,wametupwa kwenye kisiwa kimoja huko India hawaonekani kabisa...
Hao watu wa Fiji ni moja katika makabila ya watu weusi walitapakaa hizo nchi,hao watu hawana uhusiano wowote na waafrika...,