Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,516
- 1,854
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwel hawa ndug zetu kabsaa maana hat sura kama za watu wa maranguNaona waingereza waliwapeleka ndugu zetu huko kuwalimisha
Na wahindi wakaenda pia ndio maana hata rangi zimebadilika
Wakarimu sana kama sisi
Mmmh haw wenzetu jaman maana mbona kama pale tanga tuu !!I see, staple food yao wanakula samaki wa nazi, wali, mihogo viazi vitamu na mboga.
Uskute ni kichaga maana mbona kama wamarangu au wamachame flan ..shimboni ....Lugha yao ni gani mkuu
Mm cpend mtu amtukane mdada ,bora tusi lake ukantukana mm!! Kama mdada kakukera huku uwe unamwambia namtukana kibaoni badili yako afu ndo uporomoshe matus yote kwang...We nae unajifanya huelewi?
Kwani kabla ya boti hakukuwa na mitumbwi au majahazi?
Kenge we
Na maudui yuko hukoHuko sio kwa akina moana?
Aahaasaaaahaaaa kisamvu mixer...Kwa maana hiyo nguvu walokua nazo ni sawa na sie tuu kumbe, ule Ubantu bantu kwa sana nini
Ugali dona, Ugali wa muhogo plus kisamvu mixer kunde
Chinese hapa kati, Matembele nasikia wanakula pia, hadi Mlenda
Kwel inatakiwa Wade wazalendo wasilete habar za ajabu hapa wake kweny kaz hapa na walipe kodi ya ongezeko la maisha ....Magufongo akawarudishe kwa nguvu waje wajenge nchi yao.
Kabla hujaondoka tunakudaka ,,hatuwez kuona viashria vya kuvunja aman yetu watanganyka na watu wa Fiji afu tukawavumilia!!! Yaan hat ukiandaman kuzunguka ktanda tukikubain umeishaNaenda kuandamana Fiji, hao watanganyika wenzetu wa huko wameniomba nikasimamie maandamano huko
Una ubongo mzitouongo mtupu, ukiangalia hao jamaa, sura zao ni nyeusi lakini nywele zao ni ndefu na laini kama za kihindi, huwezi kusema hao asili yao Tanganyika, hapa hatupo hivyo.
Ukiambiwa boti unaelewajeWalienda kwa BOTI miaka mingi iliyopita????
Hivi boti zimegunduliwa mwaka gani?
Ndo walitumia mwakasasa waliwezaje kutumia boti ndgo kutoka Tanganyika mpaka Madagascar mpaka huko Fiji??
Walipiga kasia??
Meli tu inatumia mwezi mmoja, huko walifikaje kwa boti ndogo??
Hata sielewiUkiambiwa boti unaelewaje
Boti=BoatHata sielewi
Msipeleke wanaume wa Dar.
Aisee hii ndo nchi yetu hasa na sio zenj,,natamani tilianzishe tu maana hisia za utaifa zimeniingia fasta,wanafanana sana na wabongo ukiacha nywele,kama wamakonde miili minene na kimo cha wastani plus rangiI see, staple food yao wanakula samaki wa nazi, wali, mihogo viazi vitamu na mboga.