Aya ya mwisho nimetafakari sana[emoji38][emoji38][emoji38]Nani kakomaa mkuu,hizo ni stori za mitandaooni sio stori zote ni za kweli,Hawa watu ni wapolonesia,watu kama hawa wanapatikina takribani visiwa vyote vya bahari ya hindi upande wa Australia...kuanzia New zaland,Hawai,Tango,Fiji,Papua New Guinea,Phiilipines,Indonesia nk,...
Hizi nchi watu wake wa asilia ni watu wenye ngozi nyeusi kama waafrika lakini sio waafrika,watu wenye ngozi rangi nyeupe ni wahamiaji wa miaka millioni nyingi zilizopita..
Kama hili jambo utalichukulia kisayansi,wanasayansi wana "theory" yao ya "Great human immigration"..yaani uhamiaji mkubwa wa binaadamu wa mwanzo,"theory" inasema kuwa binaadamu wa mwanzo walitokea Afrika halafu wakanza kahama wakeelekea kaskazini,wengine waligeuka wakarudi afrika,wengeni waliendelea na safari..kuelekea kusikojulikana..
Hili jambo ukilichukulia kidini basi unaweza kufananisha na ile ya katika kitabu cha kiislam,katika Sura Al-hajri,sura 15 aya ya 26,...mungu anasema "Hakika tumemuumba binadamu katika udongo mweusi",...kwa wale waumini hii ni uthibitishi tosha kuwa binadamu wa mwanzo walikuwa watu wenye ngozi nyeusi ...
Mabaki ya bufuru la binadamu wa kale kabisa kuishi duniani pamoja na mabaki ya nyayo zake yanapatikana Tanzania sehemu inayoitwa Olduvai Gorge,....
Ukiangalia kwa makini watanzania ni watu wa mwanzo duniani lakini vile vile ni watu wa mwisho duniani,tafakari
Hiyo ya mwisho sio aya mkuu.,naona bora tuiite kitendawili..😀😀Aya ya mwisho nimetafakari sana[emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna madem wazur hvo naenda...
Why amehamia huko???
Mkuu fafanua tunakuaje wa mwisho duniani??Nani kakomaa mkuu,hizo ni stori za mitandaooni sio stori zote ni za kweli,Hawa watu ni wapolonesia,watu kama hawa wanapatikina takribani visiwa vyote vya bahari ya hindi upande wa Australia...kuanzia New zaland,Hawai,Tango,Fiji,Papua New Guinea,Phiilipines,Indonesia nk,...
Hizi nchi watu wake wa asilia ni watu wenye ngozi nyeusi kama waafrika lakini sio waafrika,watu wenye ngozi rangi nyeupe ni wahamiaji wa miaka millioni nyingi zilizopita..
Kama hili jambo utalichukulia kisayansi,wanasayansi wana "theory" yao ya "Great human immigration"..yaani uhamiaji mkubwa wa binaadamu wa mwanzo,"theory" inasema kuwa binaadamu wa mwanzo walitokea Afrika halafu wakanza kahama wakeelekea kaskazini,wengine waligeuka wakarudi afrika,wengeni waliendelea na safari..kuelekea kusikojulikana..
Hili jambo ukilichukulia kidini basi unaweza kufananisha na ile ya katika kitabu cha kiislam,katika Sura Al-hajri,sura 15 aya ya 26,...mungu anasema "Hakika tumemuumba binadamu katika udongo mweusi",...kwa wale waumini hii ni uthibitishi tosha kuwa binadamu wa mwanzo walikuwa watu wenye ngozi nyeusi ...
Mabaki ya bufuru la binadamu wa kale kabisa kuishi duniani pamoja na mabaki ya nyayo zake yanapatikana Tanzania sehemu inayoitwa Olduvai Gorge,....
Ukiangalia kwa makini watanzania ni watu wa mwanzo duniani lakini vile vile ni watu wa mwisho duniani,tafakari
Mkuu unatafuatilia habari za dunia,kama hufatilii juzi tu umetolea utafiti wa nchi gani ina watu wenye furaha duniani,tafuti hizo hutolewa nafikiri kila mwaka kama sikosei,Nchi za scandinavia ndio maisha yote ndio zinachukua nafasi ya kwanza has Denmark na Norway,..Mkuu fafanua tunakuaje wa mwisho duniani??
Tafiti zina walakkni zile...hao watafiti waje waseme wametumia vigezo gani??? Haingii akilini eti baadhi ya nchi zenye vita zina furaha kuliko sisi....sio kila kitu tukibebe kama kilivyo maana nchi zinatofautiana huwez kuwa na vigezo sawa kupima furaha ya wananchi wa kila taifaMkuu unatafuatilia habari za dunia,kama hufatilii juzi tu umetolea utafiti wa nchi gani ina watu wenye furaha duniani,tafuti hizo hutolewa nafikiri kila mwaka kama sikosei,Nchi za scandinavia ndio maisha yote ndio zinachukua nafasi ya kwanza has Denmark na Norway,..
Mwaka huu Finland ndio nchi bora kuishi duniani naona yule mwandishi wa habari kaotea kwenda kuomba ukimbizi Finland,katika tafiti ya mwaka huu Tanzania ni ya mwisho duniani kuwa na watu wenye furaha..,unaonaje hiyo
Kuna mengi tu Tanzania watu wake wanadhibitiwa kuanzia uhuru wa kuvaa,uhuru wa kuongea,uhuru wa kujadili,uhuru wa kuamua nk...Mkuu hivi sasa Tanzania ni mfano wa "jahanam",kama unakuwa unafikiria na kuwaza motoni kutakuwa vipi basi angalia Tanzania ndio mfano wa motoni..
Kitu wanachoashau watawala(CCM) kuwa nchi haiwezi kupata maendeleo kama watu wake hawana furaha,,,,Nchi ya Tanzania inaangamia kwasababu tu kikundi cha watu fulani wanang'ang'ania madaraka,wanafanya kila wanachofanya ili wabaki madarakani...,Mungu ibariki Tanzania
Kaka,matibabu bure,elimu bure,unapewa pesa(welfare) kwa wale wasiokuwa na kazi,maisha bora kwa wazee,kila raia lazima awe na wiki tano za mapuziko kwa mwaka,kwa wale akina mama wene watoto wanalipwa kiasi fulani cha pesa kwa mwezi za kwa ajili ya kuwalea watoto wao na matumizi ya kwa kawaida kwa watoto,kama vile pempas nk ...,kama unafanya kazi ni mwisho masaa 8 kwa siku,haki za kuandamana,haki za vyama vya wafanyakazi kuandamna nk..Tafiti zina walakkni zile...hao watafiti waje waseme wametumia vigezo gani??? Haingii akilini eti baadhi ya nchi zenye vita zina furaha kuliko sisi....sio kila kitu tukibebe kama kilivyo maana nchi zinatofautiana huwez kuwa na vigezo sawa kupima furaha ya wananchi wa kila taifa
Nchi inaweza kuwa na vita lakini wananchi wake wanafuraha,vita sio kigezo cha kufanya raia asiwe na furaha,..,inawezekna raia akawa ana mashaka ya vitu fulani lakini furaha ya kuwa raia anakuwa nayo,watanzania hawana furaha na maisha yaoTafiti zina walakkni zile...hao watafiti waje waseme wametumia vigezo gani??? Haingii akilini eti baadhi ya nchi zenye vita zina furaha kuliko sisi....sio kila kitu tukibebe kama kilivyo maana nchi zinatofautiana huwez kuwa na vigezo sawa kupima furaha ya wananchi wa kila taifa
Ndugu wasyria wanakimbilia kwa maelfu ulaya utasemaje kuna furaha.Nchi inaweza kuwa na vita lakini wananchi wake wanafuraha,vita sio kigezo cha kufanya raia asiwe na furaha,..,inawezekna raia akawa ana mashaka ya vitu fulani lakini furaha ya kuwa raia anakuwa nayo,watanzania hawana furaha namaisha yao
Kama kawaida ya MTZ kujidhalauAcha kufananisha ukarimu wa watu wa Fiji na vitu vya ajabu.
Mwaka fulani nilimsikia bibi mmoja wa Diego Garcia akihojiwa na BBC juu ya kesi yao ya kuhusu kuhamishwa maeneo yao kupisha kambi za jeshi la ********** kisiwani humo.Alitumia neno "Ndabughaa" la Kizanaki lenye maana "Nasema!" Nikahisi huenda alitokea huku Tanganyika vizazi na vizazi.pia kama sijakosea hakuna visa kati ya Tanzania na Fiji wanatumia english kama lugha mama.
Hayo uliyotaja sio kila nchi wanayo hata Marekani na China hawana baadhi ya hayo mambo. Hata kwetu elimu ni bure na matibabu kwa wazee pia. Ila sikatai kuna vitu vingi wametuzidi ila hatustahili kupitwa na manchi yenye vita. Tusiunge mkono kila kitu kisa kimeletwa na wazunguKaka,matibabu bure,elimu bure,unapewa pesa(welfare) kwa wale wasiokuwa na kazi,maisha bora kwa wazee,kila raia lazima awe na wiki tano za mapuziko kwa mwaka,kwa wale akina mama wene watoto wanalipwa kiasi fulani cha pesa kwa mwezi za kwa ajili ya kuwalea watoto wao na matumizi ya kwa kawaida kwa watoto,kama vile pempas nk ...,kama unafanya kazi ni mwisho masaa 8 kwa siku,haki za kuandamana,haki za vyama vya wafanyakazi kuandamna nk..
Sasa nambie serikali ya Tanzania ina takwimu ya vijana wangapi wa kitanzania hawana kazi,!!??Juzi nimesoma sehemu alikuwa raisi wa Tanzania Benjamini Mkapa anataka serikali iingilie kati kwanini shule za serkali hazifanye uzuri kielimu..
Tembea kaka ujionee,watanzania wamelala,lakini iko siku wataamka,...Tanzania ni nchi ya mwisho duniani
Hahahahaaaaa, naona mnalazimisha udugu kwa nguvu! Nimekumbuka kale ka msemo 'hata ukioga, huendi mjini' , hahahaaaaKweli wanamuonekano wa KITANGANYIKA kabisa
Hahahaaaa...nimeona matusi ya kila rangi humu jf ila hili lako ni jipya na kubwa kuliko babuu, hahahaaaa mam...mae...! Halafu mtu anabana pua anauliza eti 'kwa mtumbwi walifikaje mbali kote huko', daaadeki, kamuulize babu yako ilikuwaje hakuchukuliwa 'msukule' na watu weupe! Ikikuuma kaandamane kuanzia leo mpaka 26/4wenye nguvu na akili walibebwa wote tukabaki sie magarasha