Marekani kazivamia nchi nyingine kwa ajili ya maslahi yake na Urusi kaivamia Ukraine kwa ajili ya maslahi yake kwa hiyo hakuna mwenye tofauti hapo.
Sema Ukraine ni wazungu ndio maana unaona kelele zote hizo maana wao ndio wanajiona wana haki ya kuishi kwa amani kwa sababu wao ni bora kuliko wengine na nyinyi waafrika vilaza mnajifanya kuwa na uchungu nao.
Sent from my TECNO BB4 using
JamiiForums mobile app