Fikra Pevu: Umewahi kumpima January Makamba katika Nafasi ya Uwaziri Mkuu?

Fikra Pevu: Umewahi kumpima January Makamba katika Nafasi ya Uwaziri Mkuu?

Si kila lisemwalo lazima liwe ila kila liwalo lazima lilisemwa!

Unamfikiria vipi mtu senior Kama Makamba Kupata nafasi ya Uwaziri Mkuu?

Sifa zake kuu ni zipi? Umahiri na udhaifu wake kwa Nafasi hiyo ni upi?

Keep in mind ni uzi tu wa kumfikiria JM katika nafasi hiyo na ikitokea lolote ichukuliwe ni Coincidence tu
Hujuwi mfumo jinyamazie tu
 
Bora makamba anaonekana ana ngekewa ya kiuongozi sio hawa wanafiki wanang'ata na kupuliza
 
Njombe ni mkoa katika nchi ya Tanzania. Unavyo vivutio vya utalii. Filimbi imepigwa sote tuwe tayari.
 
Mwamvita umekuja hivi??
Akajiajiri braza, hawezi kitu chochote, zama zake zilishapita. Yeye na Lemutuz wanaelekea kuwa levo moja.

Everyday is Saturday...............................😎
 
Hii ID imezuka ghafla kwa makeke nahisi kuna kitu kinaandaliwa kwa ajili ya huyo mtoto aliezoea kubebwa, wanatuweka sawa kisaikolojia.

ID kutoka kundi lile lile la Msoga kumpamba mshirika wao, nahisi mmeshapenyezewa uteuzi unamkaribia.
 
Kuwa PM sina hakika lakini ndio vijana wanaopikwa sasa yeye na Mwigulu hakuna namna.....rika lao sasa kushika uongozi...Majaliwa hajawahi kuwa full Minister ameweza u PM
 
Si kila lisemwalo lazima liwe ila kila liwalo lazima lilisemwa!

Unamfikiria vipi mtu senior Kama Makamba Kupata nafasi ya Uwaziri Mkuu?

Sifa zake kuu ni zipi? Umahiri na udhaifu wake kwa Nafasi hiyo ni upi?

Keep in mind ni uzi tu wa kumfikiria JM katika nafasi hiyo na ikitokea lolote ichukuliwe ni Coincidence tu
Level ya January ni Urais.
Refer how he managed issue ya plastic bags . He was so smart and brave.
 
Hakuna raisi pale. Porojo nyingi halafu anaonekana ni mtu wa janja janja za chini chini. Ukiona mtu anautafuta uraisi wa taifa lenye changamoto kama hili kwa muda mrefu, basi jua nyuma ya pazia ni kuwa uraisi kwake ni mtaji wa kufanya maisha.
 
Nikiangalia ushabiki wake wa mambo ya mpira(Namna anavyoshabikia kitoto) na ile sheria mbovu ya mawasiliano, namuona mtu wa kawaida sana, i mean the very average Joe.
Makamba Jr hata ubunge Ni kwa sababa tu fever ya Baba yake, ila akisimama yy Kama yy makamba hata uenyekiti wa serikal za mitaa hawezi kupata, kwanza kwa haiba yake si mwanasiasa, Wala hawez kuwaongoza watu, ila anafiti Sana kwenye ile kazi ya kuwachongea watu.... Hyo asee yupo vzr na ndiko hasa kunamfaa.. huku kwingine Ni chai maharagwe..
 
Yaani JM wanamuona watu yuko smart amavyoongea ila kwa taarifa yenu huyo mi empty set hana utendaji wowote kabebwa tu na mazingira ya baba yake kuwa kwenye system! Maneno mengi vitendo sifuri!
Kabisa. Hakuna mtu pale. Ni sifuri. Anakwenda online anacopy vi'quote vya watu wenye IQ anapost Twitter, watu wenye upeo mdogo wanasema jamaa ni very smart.

Ila wanasahau alikuwa ni miongoni ma waziri waliopigia chapuo na kuipitisha sheria ya mitandaoni ambayo sasa inatuletea shida kuzungumzia maswala ya utomvu wa nidhamu za viongozi.
 
Huyu ni mwezi tu hana vigezo na hafai tu hata kuwa kiongozi wa Chama.
Viongozi wenye Akili wanajuwa kaachwa hata kwenye uwaziri
 
Back
Top Bottom