Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Huyu anafaa,ataendana na mama hana mihemko na sio mtu pori 😝😝
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwanasiasa ambaye hana tamaa ya madaraka.Mtu kuingia tu kwenye siasa tayari huyo anahitaji kupata madaraka na maslahi rahisi.Huyo hata hawezi fikriwa maana ana tamaa ya madaraka
Think twice...Makamba angeweza/angekuwa PM bora kuliko Majaliwa. Majaliwa simuelewi kabisa.
Augustino Mrema aligombea kabisa. Lipumba aligombea kabisa. Kuna yule mama aliyechaguliwa kuwa RC aligombea kabisa. Kufika kwenye top 5 siyo kigezo hata kidogo.Ha ha ha siasa tamu sana.
Mh. January Makamba ameshawahi kuingia TOP 5 ya kuomba ridhaa ya Urais ndani ya CCM, hiyo nayo ni CV ya kufanya kazi nafasi yoyote ile.
All and all MAMLAKA HUTOKA MBINGUNI KWA BWANA.
#YetzerHaTov
#NchiKwanza
#KaziIendelee
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
NionavyoSi kila lisemwalo lazima liwe ila kila liwalo lazima lilisemwa!
Unamfikiria vipi mtu senior kama Makamba kupata nafasi ya Uwaziri Mkuu?
Sifa zake kuu ni zipi? Umahiri na udhaifu wake kwa Nafasi hiyo ni upi?
Keep in mind ni uzi tu wa kumfikiria JM katika nafasi hiyo na ikitokea lolote ichukuliwe ni coincidence tu
Bingwa wa mipasho na vibonzo vyakukebehi viongozi, tamaa zaidi ya fisi wenye mabaka!Yaani JM wanamuona watu yuko smart amavyoongea ila kwa taarifa yenu huyo mi empty set hana utendaji wowote kabebwa tu na mazingira ya baba yake kuwa kwenye system! Maneno mengi vitendo sifuri!
Shida kubwa kabisa ya January ni hii kutumia watu wake wa mtandaoni kumuimbia maapambio na kumtukuza.
Hilo kweli analiweza, ana vijana kila kona kwa shughuli hiyo.
Naona hadi dada wa USA alimtumia na bado anamtumia.
January nina uhakika hutakuja kufanikiwa.
Mambo ya ushabiki was mpira usiyaingize kweneye vitu vya maana.. Siku zote mazungumzo ya mpira kama hiz timu zetu simba na Yanga yapo kimatani zaidi.. So acha kumuhukumu kwa hilo, jamaa you very bright na anadeserve kushika hyo nafasiNikiangalia ushabiki wake wa mambo ya mpira (namna anavyoshabikia kitoto) na ile sheria mbovu ya mawasiliano, namuona mtu wa kawaida sana, I mean the very average Joe
Jm ni mediocreSi kila lisemwalo lazima liwe ila kila liwalo lazima lilisemwa!
Unamfikiria vipi mtu senior kama Makamba kupata nafasi ya Uwaziri Mkuu?
Sifa zake kuu ni zipi? Umahiri na udhaifu wake kwa Nafasi hiyo ni upi?
Keep in mind ni uzi tu wa kumfikiria JM katika nafasi hiyo na ikitokea lolote ichukuliwe ni coincidence tu
Muislamu hawezi kupewa tena.Si kila lisemwalo lazima liwe ila kila liwalo lazima lilisemwa!
Unamfikiria vipi mtu senior kama Makamba kupata nafasi ya Uwaziri Mkuu?...
Kwani kuna tatizo gani si atashindanishwa na wengine chini ya tume huru na katiba mpyaNtu ya dili ile! Akipewa ulaji tu anajinoa kuwa president
Nadhani anatosha maana hata katika mbio za urais alifika top 5.Si kila lisemwalo lazima liwe ila kila liwalo lazima lilisemwa!
Unamfikiria vipi mtu senior kama Makamba kupata nafasi ya Uwaziri Mkuu?...