Hivi huwa mnatumia kipimo gani kusema huyu mtu ni bora?!JM ni kijana mweledi, upeo na uwezo wa hali ya juu sana. Anaweza kuifanyia makubwa km akipewa nafasi ya Uwaziri Mkuu.
Hata Suleiman Jafo ni kijana kiongozi anayejituma na akipewa uwaziri Mkuu atatenda vema.
Binafsi yangu hawa vijana wawili nawakubali sana
Eti.... Huyu anaesema whatsapp ipandishiwe gharama sababu serikali inakosa mapato ya simu za kimataifa sababu raia kwa sasa wameacha kulipia vifurushi vya sim za kawaida wanatumia sana WhatsApp kupitia data ambayo ni cheap.Ndungulile ndio wa vifurush au nimechanganya???
Hafai uongozi huyo. Maneno mengi na porojo kama baba yake ila ni wapigaji tu.Si kila lisemwalo lazima liwe ila kila liwalo lazima lilisemwa!
Unamfikiria vipi mtu senior kama Makamba kupata nafasi ya Uwaziri Mkuu?
Sifa zake kuu ni zipi? Umahiri na udhaifu wake kwa Nafasi hiyo ni upi?
Keep in mind ni uzi tu wa kumfikiria JM katika nafasi hiyo na ikitokea lolote ichukuliwe ni coincidence tu
Naona CCM mnajpangia Tu warithi WA urais kupitia chama chenu utadhan Taifa hili ni Mali yenu na familia zenu Safari yenu imeiva aiseeNi Rais wa 2030, kama siyo Ndugulile or Mwinyi
Mtu muongo kuwa waziri mkuu ni pigo kubwa sana kwa nchi.Kama alipita kwenye chujio la wagombea urais mpaka kufika 5 bora hata kwenye Uwaziri mkuu ana sifa na vigezo vyote.
Sa hivi Nchi inahitaji watendaji sio watu wa blah blah blah tuu huku miaka ikikatika.
January Makamba ni mwanaccm pekee ambaye angalau huwa ana theory of thinking ukilinganisha na wanaccm wengine wote walioko kwenye siasa kwa sasa.Uko pamoja na mimi. Nimeshindwa kabisa kuona uwezo wake huyo brother.
Huyo mzaramo Jafo anaweza nini zaidi ya kupiga mboyoyo tu ?JM ni kijana mweledi, upeo na uwezo wa hali ya juu sana. Anaweza kuifanyia makubwa km akipewa nafasi ya Uwaziri Mkuu.
Hata Suleiman Jafo ni kijana kiongozi anayejituma na akipewa uwaziri Mkuu atatenda vema.
Binafsi yangu hawa vijana wawili nawakubali sana
Huyo mzaramo Jafo anaweza nini zaidi ya kupiga mboyoyo tu ?
Hivi huwa mnatumia kipimo gani kusema huyu mtu ni bora?
Ni ngumu kumpima waziri katika kipindi cha Magufuli cause Magufuli aliikuwa kila kitu.Hahahaha Mkuu yule anajitahidi Tamisemi kwangu alikimbiza fresh maana wizara ilikuwa nzito kulingana na umri wake
Ni kweli akijikita sana kwenye ujenzi wa stand, hospital za wilaya na hata pia barabara vijijini Tarura ilisimamiwa vzr.Ni ngumu kumpima waziri katika kipindi cha Magufuli cause Magufuli aliikuwa kila kitu.
Hebu tuambie ni kipi ambacho unaweza kuonyesha haya ni matunda ya Jafo pale TAMISEMI zaidi ya stendi za mabasi tu ?
Yaani JM wanamuona watu yuko smart amavyoongea ila kwa taarifa yenu huyo mi empty set hana utendaji wowote kabebwa tu na mazingira ya baba yake kuwa kwenye system! Maneno mengi vitendo sifuri!
January Makamba ana uwezo wa kawaida Sana huyu anafaa kufanya kazi kwenye nchi ikiwa tayali na katiba mpya maana ni mjanjamjanja Sana .Kwa mfumo uliopo ataishia kuwa fisadi kwa Sababu tukiacha ushabiki jamaa Hana maadili ya uongozi.Hayupo smart kama anavowaaminisha watu.
Baada ya Majaliwa aje huyu atatufaa.Si kila lisemwalo lazima liwe ila kila liwalo lazima lilisemwa!
Unamfikiria vipi mtu senior kama Makamba kupata nafasi ya Uwaziri Mkuu?
Sifa zake kuu ni zipi? Umahiri na udhaifu wake kwa Nafasi hiyo ni upi?
Keep in mind ni uzi tu wa kumfikiria JM katika nafasi hiyo na ikitokea lolote ichukuliwe ni coincidence tu