LONE_WOLF
Senior Member
- Nov 21, 2015
- 175
- 257
Unaijua bla bla bla wewe au unaisikia? Kamuulize Makamba hiyo bla bla bla afu aache kujikuta strategist wakati ni bonge la hypocrite na mwambie time will tell ,atalipa kwa betrayal kubwa aliofanya. Everyone will pay his or her due aliehusika kwenye all the shit conspiracy.Kama alipita kwenye chujio la wagombea urais mpaka kufika 5 bora hata kwenye Uwaziri mkuu ana sifa na vigezo vyote.
Sa hivi Nchi inahitaji watendaji sio watu wa blah blah blah tuu huku miaka ikikatika.