Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Yes of course Mama yako kachezea sana kimbotoNayaheshimu sana mawazo yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes of course Mama yako kachezea sana kimbotoNayaheshimu sana mawazo yako
Jana nilikuwa napiga story Na Mama yangu mzazi ....katikati ya mazungumzo akasema laiti kama yeye angekuwa ni mwanaume Basi asingeowa, angezaa tu Na wanawake tofauti apate watoto Na maisha yaendelee..bi mkubwa wangu huyu yupo kwenye miaka 65 Sasa, ninachoamini Mimi hauwezi kuwa Na heshima katika jamii yetu hii ya kiafrika mpaka uwe na familia......hata uongozi wa juu serikalini hauwezi kupewa mfano urais mpaka wahakikishe kwamba Una mke, Na sidhani kama unaweza kuishi kiuchamungu kama unaishi kisela,, naamini ukiwa Na mke ni tiketi kubwa ya kumcha mungu........Una asilimia chache sana za kuwa mzinifu..bi mkubwa wangu anawaza nini? 😎 Au ndio anataka kunithibitishia kuwa ni kweli motoni wamejaa wanawake..
Maana yake mama yako aliolewa na mwanaume wa hovyo na ndio maana ana experience mbaya kwenye ndoa.
Ilipaswa umpe pole mama yako kwa magumu aliyo yapitia kwenye ndoa yake.
😂😂Sijui huyu Daktari alipotelea wapi aisee 🙌
Sijamsikiapo muda mrefu sasa 🤣 🤣 🤣😂😂Sijui huyu Daktari alipotelea wapi aisee 🙌
Mkuu haya ni maneno makali sana kwa mzazi wa mtu mzima mwenzio.Yes of course Mama yako kachezea sana kimboto
Kapiga sana helaa jamaa, mpaka akina dokta mwaka wanakuja kushtukia game jamaa kashazikusanya za kutosha kaamua kutulia kaachia wahuni kaziSijamsikiapo muda mrefu sasa 🤣 🤣 🤣
Kamuanika mwenyewe UCHI Mama yake Mchana kweupe sasa tunafanyaje sasa zaidi ya kuchangia Mada Wewe unasema Mama anasema angekua Mwanaume angezaa na Wanawake tofauti na asingeoa yaan km Mama yake kaolewa basi kaolewa kuficha aibu Ila nje Wahuni wanapiga mashine mfululizoMkuu haya ni maneno makali sana kwa mzazi wa mtu mzima mwenzio.
Ni kwel jamaa kazingua ila ungemsitiri kidogoKamuanika mwenyewe UCHI Mama yake Mchana kweupe sasa tunafanyaje sasa zaidi ya kuchangia Mada Wewe unasema Mama anasema angekua Mwanaume angezaa na Wanawake tofauti
Ana kipindi Redio Uhuru km sijakosea main topic ni Mastabesheni akabadirisha Punyeto anarudi tena Mastabesheni hivyo hivyo Punyeto Mastabesheni hizo ndio topic zakeKapiga sana helaa jamaa, mpaka akina dokta mwaka wanakuja kushtukia game jamaa kashazikusanya za kutosha kaamua kutulia kaachia wahuni kazi
Nimestiri sana Mkuu Ila kamuanika Mama yake akiwa UCHINi kwel jamaa kazingua ila ungemsitiri kidogo
Daaah! Kmmmk aisee 🤣Mama yako bachelor for life yaan anapigwa Sana mbupu huko nje nna wasi wasi na huyo unaemuita Baba yako km ni kweli Baba yako maana Mama yako kwa mujibu wa maelezo 65 inaonekana kashachezea mbupu nyingi Mno ukiondoa mbupu ya huyo unaemuita Baba kwa Jina
Sana maokoto kayapigaKapiga sana helaa jamaa, mpaka akina dokta mwaka wanakuja kushtukia game jamaa kashazikusanya za kutosha kaamua kutulia kaachia wahuni kazi
NduguKamuanika mwenyewe UCHI Mama yake Mchana kweupe sasa tunafanyaje sasa zaidi ya kuchangia Mada Wewe unasema Mama anasema angekua Mwanaume angezaa na Wanawake tofauti na asingeoa yaan km Mama yake kaolewa basi kaolewa kuficha aibu Ila nje Wahuni wanapiga mashine mfululizo
No amemvua Mama yake nguo hakuna Mama anaeweza kumwambia mwanae hivyo km hafanyi huo upuuzi wamama wote wanataka watoto wao waoe na kujenga familia sio kua na watoto mafungu mafungu uchumi wenyewe SifuriNdugu
Mbona unaandika maneno makali kwa mzazi wa mwenzio......mbona alichomuambia mama yake ni maongezi tu ya kawaida.......
Mbona umefika mbali sana mkuu.......