Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Dah mkuu hii si vizuri hata kama kakosea kuleta humuYes of course Mama yako kachezea sana kimboto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mkuu hii si vizuri hata kama kakosea kuleta humuYes of course Mama yako kachezea sana kimboto
Salaam nikushauri tu mkuu Ukijibu hasa masuala ya kidini jitahidi sana kuweka na sources au references mbali mbali hasa kwa dini yetu hii ya kiislamu utoe source labda quran, hadith au ijma'a za wanawachuoni ila ukijibu tu juu juu utawapoteza wengi mkuu na ni dhima .kuoa ni sunna sio lazima
Aliiteka sana Star TV miaka ile ya mwanzoni mwa 2000 Kwa matangazo yake ya vyakula Lishe vya Kisabato🙌Sijamsikiapo muda mrefu sasa 🤣 🤣 🤣
Wewe ndio Mimi? ...sijui matusi Mimi....wewe kama umeandika haya ili upate attention kutoka kwa kina ephen_ Mimi sipo huko mkuu😎No amemvua Mama yake nguo hakuna Mama anaeweza kumwambia mwanae hivyo km hafanyi huo upuuzi wamama wote wanataka watoto wao waoe na kujenga familia sio kua na watoto mafungu mafungu uchumi wenyewe Sifuri
Jaman mtamfanya kaka wa watu aukimbie uzi wake
Ila na wewe mamako ushajua alichemsha kwanini uje uyalete humu?
Nikwambie! Tunapokosea ndipo tunapojifunza, siku nyingine angalia kitu cha kuleta humu hasahasa kinachohusu wazazi.Wewe ndio Mimi? ...sijui matusi Mimi....wewe kama umeandika haya ili upate attention kutoka kwa kina ephen_ Mimi sipo huko mkuu😎
Sawa bossHii mada kama mada nyingine wewe changia unavyoweza.......wengine hatuna washauri huku kwenye jamii zetu kwa hiyo hapa nachambua pumba Na mchele
Hata wewe nakuruhusu kutukana, hakuna sehemu nimeandika tusi hapa....ni mjinga pekee anayeweza kubadirisha mawazo yangu Na mchango wake hapa kuwa tusiNikwambie! Tunapokosea ndipo tunapojifunza, siku nyingine angalia kitu cha kuleta humu hasahasa kinachohusu wazazi.
Pia, yeyote aliyekutukania mama yako humu hayupo sahihi ingebidi akuambie tu kwa upendo
Watu wanajisahau sanaa na hizi fake ids
Usiweke kinyongo kwa mtu usiyemjua
mjinga mpe cheo
Moja ya sifa mojawapo ya mtu alieferi maisha ni kutusi au kuandika matusi hapa jamii forum......huyu jamaa ninamzidi kwa Kila kitu😎Dah mkuu hii si vizuri hata kama kakosea kuleta humu
Pamoja na hayo lakini wewe hukupaswa kuyaandika uliyoyaandika....tujifunze kufichiana aibu hata watu wenyewe wanajitia aibuNo amemvua Mama yake nguo hakuna Mama anaeweza kumwambia mwanae hivyo km hafanyi huo upuuzi wamama wote wanataka watoto wao waoe na kujenga familia sio kua na watoto mafungu mafungu uchumi wenyewe Sifuri
Mama ako anamuonea wivu mwanamke utakayemuoa kabla hajamjua, na hii ni kwa sababu amekupenda sana ,anahisi ukioa huyo mwanamke atachukua nafasi yake moyoni mwako, ni tukio la kisaikolojiaJana nilikuwa napiga story Na Mama yangu mzazi ....katikati ya mazungumzo akasema laiti kama yeye angekuwa ni mwanaume Basi asingeowa, angezaa tu Na wanawake tofauti apate watoto Na maisha yaendelee..bi mkubwa wangu huyu yupo kwenye miaka 65 Sasa, ninachoamini Mimi hauwezi kuwa Na heshima katika jamii yetu hii ya kiafrika mpaka uwe na familia......hata uongozi wa juu serikalini hauwezi kupewa mfano urais mpaka wahakikishe kwamba Una mke, Na sidhani kama unaweza kuishi kiuchamungu kama unaishi kisela,, naamini ukiwa Na mke ni tiketi kubwa ya kumcha mungu........Una asilimia chache sana za kuwa mzinifu..bi mkubwa wangu anawaza nini? 😎 Au ndio anataka kunithibitishia kuwa ni kweli motoni wamejaa wanawake..
Pamoja na hayo lakini wewe hukupaswa kuyaandika uliyoyaandika....tujifunze kufichiana aibu hata watu wenyewe wanajitia aibu
Hii ndio point niliyokuwa naitafuta, hongera sana mkuu kwa mungu kukupa uwezo mkubwa wa kufikiri..hatimae umetegua kitendawili kilichowashinda wengiMama ako anamuonea wivu mwanamke utakayemuoa kabla hajamjua, na hii ni kwa sababu amekupenda sana ,anahisi ukioa huyo mwanamke atachukua nafasi yake moyoni mwako, ni tukio la kisaikolojia
Kufichiana aibu tena wakati yeye ameiweka aibu wazi wazi mkuu hivi MIMI hapa kosa lipo wapi mtu kasema mwenyewe sasa MIMI kosa langu lipi hapo?Pamoja na hayo lakini wewe hukupaswa kuyaandika uliyoyaandika....tujifunze kufichiana aibu hata watu wenyewe wanajitia aibu
Usitake jamii yote iwaze kwa kufanana boss.Hii ndio point niliyokuwa naitafuta, hongera sana mkuu kwa mungu kukupa uwezo mkubwa wa kufikiri..hatimae umetegua kitendawili kilichowashinda wengi
Ndio utoe matusi !Usitake jamii yote iwaze kwa kufanana boss.
Kila mtu ana maoni yake kwenye issue flani
Rudia kusoma nilichokiandika mkuu...Kufichiana aibu tena wakati yeye ameiweka aibu wazi wazi mkuu hivi MIMI hapa kosa lipo wapi mtu kasema mwenyewe sasa MIMI kosa langu lipi hapo?
Kamvua nguo Mama yakeUsitake jamii yote iwaze kwa kufanana boss.
Kila mtu ana maoni yake kwenye issue flani