Fikra za Mama yangu kuhusu Ndoa na Familia

Fikra za Mama yangu kuhusu Ndoa na Familia

Kufichiana aibu tena wakati yeye ameiweka aibu wazi wazi mkuu hivi MIMI hapa kosa lipo wapi mtu kasema mwenyewe sasa MIMI kosa langu lipi hapo?
Huna kosa lakini katika mizani ya kibinadamu sio vyema.......watu wema wanajenga sio kubomoa hata kama wao wanabomoa
 
Anaweza kuwa mbinafsi anataka see na kauli na kipato cha wanawe wa kiume.
Anaweza kuwa na siri kubwa ambayo ameona faida kwako ungefanya alichosema kwa manufaa yako kama mwanaume.
 
Na kwa taarifa yako utakayemuoa atapata mitikisiko Sana kutoka kwa ni mkubwa maana mama hataki uoe mke mmoja Ila anaamini kwenye mahusiano na wanawake mbalimbali.....
Wait utakuja kushuhudia
 
Na kwa taarifa yako utakayemuoa atapata mitikisiko Sana kutoka kwa ni mkubwa maana mama hataki uoe mke mmoja Ila anaamini kwenye mahusiano na wanawake mbalimbali.....
Wait utakuja kushuhudia
Mama anataka mwanae awe anazimwagamwaga kwenye kila shimo hizo Mbegu za Maboga ili kuwe na Maboga mengi mengi
 
inategemea na uzoefu wake juu ya ndoa either kwa baadhi ya mambo magumu kuyapitia yeye mwenyewe au kwa kujifunza na kuyaona kwa vijana wa sasa kupitia kutoa ushauri/ kufunda kuhusu migogoro ya ndoa.
Mimi binafsi naona yupo sahihi.
Imagine unaoa mkeo lakini baadae anaanza mambo meusi iwe kwa kupenda au kulipiza kisasi au tamaa tu.

Yaani mkeo huyo... anachapwa na muhuni hadi anakimbia na chupi mkononi.
Na ndio tabia za wanawake wengi wa kisasa huku mitaani, tupu yake si ya mumewe, ndoa ina miaka kumi humohumo kuna wahuni watatu, mmoja anaye kwa miaka 7, mwingine alishakuwaga nae kabla yako wao wana miaka 13 kwenye ndoa yako ya miaka 10, kuna mwingine yupo humo anakula ana mwaka na nusu.
Bi mkubwa ana hoja asikilizwe
Daah 🤣😆😆 ilikutokea nn?
 
Back
Top Bottom