KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Huna kosa lakini katika mizani ya kibinadamu sio vyema.......watu wema wanajenga sio kubomoa hata kama wao wanabomoaKufichiana aibu tena wakati yeye ameiweka aibu wazi wazi mkuu hivi MIMI hapa kosa lipo wapi mtu kasema mwenyewe sasa MIMI kosa langu lipi hapo?
Sijaelewa mkuu quote inanihusu mimi kweli.....?Dadavua maandishi yangu kama kuna point yoyote ya aibu
Ni kweli kabisaKamvua nguo Mama yake
Me hakuna nilipotukana bossNdio utoe matusi !
Yani mama anampenda sana kiasi hataki aoe! 😅😅😅Usitake jamii yote iwaze kwa kufanana boss.
Kila mtu ana maoni yake kwenye issue flani
Hii mbaya Sana na inaogopeshaYani mama anampenda sana kiasi hataki aoe! 😅😅😅
Hivi hii stori umempa Baba yako nae ajiongeze🤣🤣🤣Jana nilikuwa napiga story Na Mama yangu mzazi ....katikati ya mazungumzo akasema laiti kama yeye angekuwa ni mwanaume Basi asingeowa
Mama anataka mwanae awe anazimwagamwaga kwenye kila shimo hizo Mbegu za Maboga ili kuwe na Maboga mengi mengiNa kwa taarifa yako utakayemuoa atapata mitikisiko Sana kutoka kwa ni mkubwa maana mama hataki uoe mke mmoja Ila anaamini kwenye mahusiano na wanawake mbalimbali.....
Wait utakuja kushuhudia
Akimaimulia Baba yake atazua Vita isiyokua na Mwisho maana atafanya defensive mechanism moja ya hatari sana kujibu mashambulizi atakipiga huko njeeHivi hii stori umempa Baba yako nae ajiongeze🤣🤣🤣
Huruma SanaMama anataka mwanae awe anazimwagamwaga kwenye kila shimo hizo Mbegu za Maboga ili kuwe na Maboga mengi mengi
Mama kajivua nguo kwa Mwanae alafu Mwanae kaja kumvua Mama yake huku hadharaniYani mama anampenda sana kiasi hataki aoe! 😅😅😅
NitajaribuHivi hii stori umempa Baba yako nae ajiongeze🤣🤣🤣
Haya mambo yaache kama yalivyo.
" Lakini mimi nawaambia, amtazamaye mwanamke kwa kumtamani, huyo amekwisha kuzini nae rohoni"
Kumbe unaweza kuogopa kuzini kimwili, lakini kiroho ukawa mzinzi uliyekubuhu, tatizo letu wanadamu tunapenda sana kufurahishana machoni.
Jina la Mungu lihimidiweHii ndio point niliyokuwa naitafuta, hongera sana mkuu kwa mungu kukupa uwezo mkubwa wa kufikiri..hatimae umetegua kitendawili kilichowashinda wengi
😀😃😄😁Sisi hatutokupa majibu sahihi ni vyema ungemuuliza bi mkubwa wako.
Daah 🤣😆😆 ilikutokea nn?inategemea na uzoefu wake juu ya ndoa either kwa baadhi ya mambo magumu kuyapitia yeye mwenyewe au kwa kujifunza na kuyaona kwa vijana wa sasa kupitia kutoa ushauri/ kufunda kuhusu migogoro ya ndoa.
Mimi binafsi naona yupo sahihi.
Imagine unaoa mkeo lakini baadae anaanza mambo meusi iwe kwa kupenda au kulipiza kisasi au tamaa tu.
Yaani mkeo huyo... anachapwa na muhuni hadi anakimbia na chupi mkononi.
Na ndio tabia za wanawake wengi wa kisasa huku mitaani, tupu yake si ya mumewe, ndoa ina miaka kumi humohumo kuna wahuni watatu, mmoja anaye kwa miaka 7, mwingine alishakuwaga nae kabla yako wao wana miaka 13 kwenye ndoa yako ya miaka 10, kuna mwingine yupo humo anakula ana mwaka na nusu.
Bi mkubwa ana hoja asikilizwe