zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Ndio, sasa ulitegemea nini chengine baada ya kufadhiliwa?
Baada ya nan kufadhiliwa? Mbona unaongea kama huo ufadhil haukuhusu [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, sasa ulitegemea nini chengine baada ya kufadhiliwa?
Afrika kuna kila raslimali na hali ya hewa nzuri lakini bado wanaomba misaada kutoka kwa nchi ndogo kabisa zisizo na raslimali! Thibitisha Afrika siyo manyani!
Waafrika wengi sana ni watu wa kujipa umuhimu wasio nao kwenye hela za watu wengine.Ndugu yangu hata mimi nashangaa kelele zote ni za nini. Kwani wanalazimisha nchi nyingine kupokea misaada?
He who feeds you,controls youWao km nani hadi watupangie wa kushirikiana nae?,Halafu hawa wapuuzi wanapenda sana kujipa umuhimu Kwenye Maisha yetu Sisi Waafrika.Kwani Mambo yao sisi huwa tunawaamulia?Uzuri TZ ni wanachama wa Nchi zisizofungamana na upande wowote(NAM).
Hiko hivo anayekulisha,ndie anaekudhibitiTatizo uchumi wetu duni, na kupenda misaada. Ukitegemea misaada lazima uwe mnyonge katika maamuzi yako!
KabisaHe who feeds you control you
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Wanaamua tu kuwapa misaaada watu wanaoendana nao kiitikadi.
Kama hamtaki si mnakataa tu misaada yao?
Uliza Urusi kilimpata nini baada ya kuivamia FinlandSasa nimeelewa kwa nini kametema shudu hizi kwa Afrika......maana mrusi akifikiria kuanza mashambulizi ulaya, haka ka finland ndo target yake ya kwanza, kinachotokea kwao sasa ni kuweweseka.
Wabaki na misaada yao hatuitakiWatu wa rangi nyeupe hata iwe n kawilaya wanajion ni bora kuliko bara zima la Africa